Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Sijui imetokeaje lakini ni dhahiri nchi yetu inaongozwa na under age wengi hasa kwenye institutions za uongozi wa nchi, naamini unaelewa uwezo wa kufikiri wa mtoto, kijana na mtu mzima...mambo mengi yanavyofanyika yanaonyesha tunaongozwa na vijana vijana...akili yao inaona vitu vichache sana na umakini wa kazi wanazofanya ni mdogo.
 
Huyo Peter (pil:ar) alichiwa sana! Yaani Wamasai ni Primitive!!! Rais wetu aliona ni sawa tu! Nadhani tukubali, mchakato wa kupata viongozi wetu uko dhaifu sana, na udhibiti wa marais wetu ni dhaifu sana!

Imenijia kumbukumbu ya rais Mwinyi kwenda kuangalia mziki wa Kanda Bongoman wakati madaktari wamegoma. Nimekumbuka Mkapa Kualikwa arusi ya mhindi mmoja na akaoneshwa anakamata rumba na Anna Mkapa.
Nimekumbuka Kikwete kusukumwa kichwa aingie kwenye gari wakati akimzubalia binti wa pembeni yake.
Sikuwahi kumuona Magufuli at that belittled level.
Sikuwahi kumuona Nyerere kwa mambo kama hayo wakati ndiye aliyeshika madaraka akiwa mdogo kwa umri kuliko hawa wote!!!
 
Wivu tu sukuma gang
Hi Peter (Pila)!
Ukiona mtu anaiga matamshi ya kimarekani uzeeni wakati hajawahi hata kuishi kwa mwezi mmoja, ni dalili ya "lack of character". Ukiwa wa aina hiyo unahangaika bila kueleweka; Ukiishi na mvuta sigara, unaanza kuvuta. Ukiishi na mpenda disko, unakwenda. Ukiishi na mpenda swara, unaingia msikitini. Sijui ukikutana na mashoga inakuwaje! Kila kitu wewe ni kuiga tu! Jamani, rais anaiga hata matamshi?????? Shiiida!

sasa filamu inatangazwa mkoa kwa mkoa kwa wa-TZ, wasiojua kiingereza, ili waiangalie kama katuni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…