Rais Samia alitoa Kitendawili, kama hadi sasa hujategua wewe hujui siasa

Rais Samia alitoa Kitendawili, kama hadi sasa hujategua wewe hujui siasa

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Hivi Karibuni rais Samia alitega kitendawili na akawataka Watanzania Wategue.

Kama wewe ni mtu wa kusoma na kufuatilia Siasa za Nchi ya Tanzania na bado huwezi tegua hiki kitendawili, Tutamuita Maua Sama akupe somo. Na jijengee uwezo wa kuelewa Siasa za nchi.

 
Hahaha kijungu hakina moto, ndugai hata madaraka yoyote anajifanya mwamba
 
Kiswahili cha pemba bwana...
Kijungu cha pwaga>chungu chatokota/chemka

Chungu chatokota bila moto jikoni..
Hahahaaa jibu lake analo mpishi.
 
Cha wanga hutokota bila kuni!
1641500307920.png
 
Ccm is a stumbling block
Should be abolished for good
 
"Cheza na kitu nyingine yoyote lakini sio Ndugai" by Jobo Yustino Ndugai
 
"... aliyesima hapa ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye maumbile yake ni mwanamke"; Samia S. Hassan.

soon therefater ...

"... anayejihisi mwanamke ni wewe! Na ajenda ya kusema mimi mwanamke, mimi mwanamke achana nayo; nani hajui?"; Job Y. Ndugai.

Kisa na mkasa vilianzia hapo!
 
Back
Top Bottom