Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Kwa mwaka au Kwa mweziwatumishi wasiwe na wasiwasi hela ipo nyingi watapata, trion 1 na bilion mia tano tisini ukigawa kwa idadi ya watumishi wa umma laki sita unapata kwa wastani Kila mtumishi anapata ongezeko la laki mbili
Upo idara gani?
😂😂😂😂😂😂😂😂Kwani mzigo tayari?
kwa mwezi, chukua trilion 1 na bilion 590 gawanya kwa 12 utapata bilion 132 na million kadhaa gawanya tena kwa laki sita utapata laki mbili na pointKwa mwaka au Kwa mwezi
Unahisi kwa nn Majaliwa aliacha ualimu?Halafu kuwa mwalimu sio big deal wala sio laana. Watu wengi ni walimu na wanaendesha maisha yao vizuri pengine kukuzidi wewe uliyepungukiwa na akili. Waziri wako mkuu walimtoa kwenye vikorido vya hapo tamisemi akiwa kama nani? Samia mwenyewe unaye muinamishia kichwa na kuacha makalio nyuma mmoja wa wazazi wake alikuwa mwalimu.
WALIMU CHAPENI KAZI ACHANENI NA PSYCHOPATHS KAMA HAWA
Ndio maana mnadharaulika, bado kusoma na kuelewa hamjui. Mna shida gani nyie watu?Unaposema shida ni walimu kuwa na uelewa mdogo wewe ulifundishwa na Nani ili uwe na uelewa mkubwa? Hivi kauli " serikali imeridhia ongezeko la mishahara kuwa 23.3% kwa watumishi ikiwemo kima Cha chini kunahitaji PHD kujua maana yake? Acha dharau ndg, kuwa mwalimu usidhani ndo watu hawana uelewa wa mambo ndo maana Mwl aliitoa nchi hii chini ya ukoloni, ni kada ipi nyingine ilidhubutu kuzungumzia uhuru wa nchi tofauti na kulamba miguu ya wazungu?
Siyo juu Yako kujua mwalimu anapatikanaje!Walimu mna shida gani? Unajua nashindwa kuelewa hadi Sasa, ukiwa Mwalimu lazima uwe juha?
Kwanza ilikuaje ukawa Mwalimu?
Mbona mna waonea walimu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia Rais. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa Rais wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Rais mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Kamuulize yeye maana unamjua zaidi! Una hoja za kipuuzi na za kitoto mno na haya ndio madhara ya kupuuza walimu!Unahisi kwa nn Majaliwa aliacha ualimu?
Mkisha chukua nawashauri msiende kukopa NMB....mtaliwaa .
Hivi walimu mna shida gani? Hii mbona kama sio akili ya kawaida?kwa mwezi,chukua trion 1 na bilion Mia 590 gawanya kwa 12 utapata bilion 132 na million kadhaa gawanya tena kwa laki sita utapata laki mbili na point
Natunza hii comment tuone Kama yaliyomo yamo. Hkna asiyependa Kitu kizuri. Tusubirkwa mwezi,chukua trion 1 na bilion Mia 590 gawanya kwa 12 utapata bilion 132 na million kadhaa gawanya tena kwa laki sita utapata laki mbili na point
Ikiwa unayajua hayo kwa nini mmeamua kuwa wajinga?Siyo juu Yako kujua mwalimu anapatikanaje!
Nawachukia watu wa aina Yako wanaobeza walimu ilihali walimu hao walikufundisha kujisafisha na kuongea Kwa kueleweka!
Unachotwa akili na mwalimu? Mwalimu hajui hata maana ya bajeti, Pili payroll ipo tayariNatunza hii comment tuone Kama yaliyomo yamo. Hkna asiyependa Kitu kizuri. Tusubir
Hamna la maana mkuu.Kwani ni Siri? Salary slip zipo tayari
Basi post hapa hiyo salary slip tuone kwani shida ni nini?Salary slip zipo tayari, au unataka kusema mshahara wa kwenye salary slip ni tofauti na utakaoingia bank? Mshahara unakua posted mapema kwenye mfumo, then pesa iniangia bank baadae
Upo idara gani? Tuanzie hapo kwanzaBasi post hapa hiyo salary slip tuone kwani shida ni nini?