Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Mimi ndio Countrywide, ni Kama Msumari wa moto, kadri unavyoukalia ndio utavyokua unaumia. Hij JF mmeifanya kuwa kama darasa, kila mara mnakuja na mambo ya ajabuajabu tu ni.lazima tuwachane na kuwaweka sawa mpaka mbadilike


Alafu umesema hakuna pimbi wa kupambana na ww humu! So,huko ndio kuchana ukweli? Huna uwezo wa kiakili wa kumchana zaidi ya kujitapa na kutukana
 
Alafu umesema hakuna pimbi wa kupambana na ww humu! So,huko ndio kuchana ukweli? Huna uwezo wa kiakili wa kumchana zaidi ya kujitapa na kutukana
Nina akili nyingi sana. Niliyokueleza ni kweli mtupu na unajua. Kila walimu mkitokeza kichwa nitakua nachapa
 
Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia Rais. Hii haikubaliki hata kidogo.

Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.

Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa Rais wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%? Kwa kazi gani hasa unazofanya?

Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?

Narudia tena acheni lawama kwa Rais mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Washukuru kwani ni hisani?
 
Mtoa post naomba nikukumbushe kuwa wote ile barua tuliiona pengine yatakayotokea ni ujanja ujanja tu na kuwapuuza watumishi wa umma wa nchi hii. Barua ilisema Rais ameridhia nyongeza ya mshahara kwa 23.3% ikiwemo kima Cha chini. Barua haikusema ameridhia nyongeza ya mshahara kwa 23.3% kwa kima cha chini.
 
Mtoa post naomba nikukumbushe kuwa wote ile barua tuliiona pengine yatakayotokea ni ujanja ujanja tu na kuwapuuza watumishi wa umma wa nchi hii.Barua ilisema Rais ameridhia nyongeza ya mshahara kwa 23.3% ikiwemo kima Cha chini.BBaruahaikusema ameridhia nyongeza ya mshahara kwa 23.3% kwa kima Cha chini.
Uzuri nimesema hapo juu, akili hamna. Hata sijui mliajiriwa vipi
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Sensa itawaua wachumia tumbo kama nyie mnajipendekeza. Unajisikiaje kumsemea Raisi?

Njaa mbaya sana
 
Sensa itawaua wachumia tumbo kama nyie mnajipendekeza. Unajisikiaje kumsemea Raisi?

Njaa mbaya sana
Mwalimu again, hivi ni kweli hakuna mwenye akili? Hata kujificha tu hamuwezi?
Screenshot_20220721-183313_1.jpg
 
Kujificha kwa lipi? Kutoa taarifa tu ya kitu flani ukahisi na mtoa taarifa ni mwalimu? Unajidanganya mkuu. Huu uzi wako ni wakinafiki sana
Unaona Sasa? Hapo nimekuwekea Uzi wako unaonyesha wewe ni Mwalimu alafu bado huelewi chochote. Mlisoma nini huko vyuoni kwenye kozi za ualimu? Mnafundishwa kuwa wajinga?
 
Unaona Sasa? Hapo nimekuwekea Uzi wako unaonyesha wewe ni Mwalimu alafu bado huelewi chochote. Mlisoma nini huko vyuoni kwenye kozi za ualimu? Mnafundishwa kuwa wajinga?
Sina elimu ya kuungaunga kama yako Mkuu. Unamuwekea nani uzi humu ndani kama hutaki kukosolewa? Ni bora ungemuwekea mkeo au mmeo kama huitaji kukosolewa.

Mada yenyewe nyepesi sana na ingependeza kama ungeweka mstari wa barua wenye tafsiri pana kwa ulichokiandika.
 
Sina elimu ya kuungaunga kama yako Mkuu. Unamuwekea nani uzi humu ndani kama hutaki kukosolewa? Ni bora ungemuwekea mkeo au mmeo kama huitaji kukosolewa.

Mada yenyewe nyepesi sana na ingependeza kama ungeweka mstari wa barua wenye tafsiri pana kwa ulichokiandika.
Hili sasa ni janga, sijui serikali ichukue hatua. Kwani kabisa kabisa hamna mwenye akili?
 
Kuna watu kazi yao ni kupinga tu, hata wafanyiwe nini. Raisi Samia Suluhu ni muungwana sana ila kuna watu wanajitoa akili na kutafuta sehemu ndogo yakutupia lawama
Kwa hiyo umejiunga jana JF?
 
Hili sasa ni janga, sijui serikali ichukue hatua. Kwani kabisa kabisa hamna mwenye akili?
Uzi wako unaona umeandikwa na mwenye akili? Nimekwambia lete mstari hata mmoja kutoka katika barua inayomnukuu Mama Samia ili tukuelewe kwa ulichokiandika .

Unakimbia kimbia tu unafikiri wote tunauelewa sawa ??
 
Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia Rais. Hii haikubaliki hata kidogo.

Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.

Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa Rais wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%? Kwa kazi gani hasa unazofanya?

Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?

Narudia tena acheni lawama kwa Rais mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Labda wewe ndio unalaumu
 
Tunawaita "Academicians" kwenye shule ambayo Watoto wangu wanasoma. Sijui wewe utaamua kuwaitaje.

Walimu ni hao wa kundi la pili, Ila nao ukiamua kuwaita Academicians ni sawa tu japo nafsi yako itakusuta.
Nikuulize, wewe ulisomeshwa na walimu wa kundi lipi kati ya hao uliowacategorise? Kama ni WA kundi la pili basi nawe utakuwa uliambukizwa na kujazwq ujinga wao. Learn to appreciate their efforts acha makasiriko!
 
Back
Top Bottom