Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Ila walimu mna shida kubwa sana kwenye ubongo
 

Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja​

Kwa hiyo unamaanisha wafanyakazi wamepigwa na kitu kizito, yaani waliuziwa mbuzi kwenye junia?🙄🤔
 
Hakuna waliposema salary zimeongezwa kwa 23.3% bali kima cha chini na ambacho ndio basic ya calculation ya salary..

Na tayari wachambuzi wameshasema ongezeko halizidi 50,000.
Roho mbaya sana zimewajaa.Na mishahara ikitoka msiukimbie huu uzi.
 
Wachangiaji wengi kwenye huu uzi mko nje ya mada, issue ni 33.3% kwenu wote au wale wa kima cha chini? Jibuni acheni blah blah
 
Wewe pia ulifundishwa na walimu,au mama zako?
 
1. Mtoa mada, uwaombe radhi walimu kwa kuwashambulia bila kuweka bayana uthibitisho wa kada hiyo ilivyolaumu.

2. wewe mwenyewe ktk mada hii umedhihirisha kuwa haujui lolote juu ya Namna nyongeza za mishaha zinavyokokotolewa, vinginevyo basi ungeweza kuwaelimisha hao unaowalaumu zaidi tu umewashambulia kwa maneno ya ujinga wako.

3. Labda tu ufahamu kuwa hata hawa wanaojadili humu wengi si walimu hivyo punguza mtazamo hasi juu ya walimu huku ukikumbuka kuwa hata huu ujinga unaowarushia pengine unatumia vibaya maarifa yao waliyokupatia.

4. Nikufahamishe kuwa walimu wanajua vema namna mishahara inavyoongezwa na walilielewa vema tangazo la Rais.

Kwa ufupi tu ni kwamba wanaposema nyongeza ni 23.3% kwa kima cha chini ni kwamba atakayeongezewa hizo asilimia kama zilivyo ni mtumishi wa Daraja la kima cha chini, madaraja mengine yatakuwa yanapata nyongeza pungufu kutokana na kanuni yahesabu itakavyokuwa imepigwa (hii nayo utapewa elimu ukiihitaji). Hufanyika hivi ili kuweza kuwa na nyongeza inayokaribiana kwa madaraja yote maana wakifanya sawia walio na daraja la juu Sana watapanua wigo wa tofauti kubwa ya mshahara.
 

kuna watu wameongezewa 250k.

kama kuna watu atawaongezea 50k na mishahara yao duni basi ni tapeli.
 
"...ameridhia ongezeko la mshahara, ikiwemo kima cha chini..."


Sijui wewe ulielewa nini hapa ?
 

Hapo haujaeleweka unataka kusema nini?
Kama ni kijana Taifa linahitaji maombi, kama ni mzee akili imechoka.
1.Uchumi wa dunia
Rais
Walimu
 
Bila shaka wewe ni Mwalimu, huo mshahara unaopewa unakutosha. Mwalimu hana kazi ya kufanya ya kulipwa mshahara mkubwa. Ukiona mshahara kidogo, acha kazi, hujalazimishwa
Acha kejeli kijana watu wanafanya kazi kwa uvumilivu wa dhiki sio uzalendo
1)wengi wetu tumetoka familia duni,huo ualimu ndo cheo kikubwa kwenye familia
2)ujasilia mali unahitaji mtaji na wakati mwingine unajionea wezio wanaofanya ujasiliamali wanavyonyanya kwa kubomolewa vibanda na kufukuzwa unakataa tamaa na unaamua kubaki kufundisha

Kama wewe umebahatika kutoka kwenye familia nzuri na unapata maslahi mazuri mshukuru Mungu kwa kukupa upendeleo katika maisha na wengine tuliokosa tuhurumie na kutuombea ni watu tuliokosa tumaini na maisha.maana siku uvumilivu wa dhiki ikitoka mioyoni mwetu na kusema bac inatosha sijuwi kama tutabaki salama(watu wanamaumivu na haya maisha acheni kejeli)
 
Imeonekana kwenye salary portal?
Salary slip portal for salary slips
Human capital management information system.. (HCMIS) /LAWSON
Tofautisha hiyo muite na popoma Countrywide ambaye alikuwa hajui tofauti ya payroll na salaryslip ajifunze 😁

Mmoja hapo umewapa access watumishi wote kuangalia hati za mishahara yao wakati mwingine ni for officials ma HR na walio juu yao kwa ajili ya mambo kadhaa ya kiutumishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…