Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

Mwalimu again....
Ndiyo maana nimekupa angalizo mapema, siyo kila anayechangia uzi huu ni mwalimu.

Kwa kauli hii bado hapa ndipo unadhihirisha kuwa wewe siyo mjinga tu bali ni zaidi maana nilijua ungekuja na hoja ya kuwapa elimu hao unaowakejeli kumbe wewe ndiye "punga" kabisa.


Ok assume mimi ni mwalimu leta udhaifu wa hoja yangu au maelezo kinzani juu ya maelezo niliyokupa vinginevyo wewe utaendelea kuwa kituko.
 
Najua una nia ya kuhujumu morali ya wafanyakazi wa Umma lakini hautafanikiwa. Wafanyakazi wa Umma wana uzalendo sana na nchi Yao. Wamevumilia miaka sita huku stahiki zao zikitumika kufanya miradi ya maendeleo bila kunung'unika. Kwa hiyo kupanda kwa asilimia 23.3 si issue kwao.
Kwanza hilo wazo la 23.3 liondoe. Pili kama unaona mshahara mdogo si uache kazi? Lini mliwahi kuwa na morali?
 
Mtoa mada ni mfuasi wa mwendazake..hapa yuko kwenye ramli. Atafurahi ikiwa ongezeko litakuwa dogo. Atachukia ikiwa ongezeko litakuwa kubwa.
Ndio maana nasema nyie walimu kichwani ni watupu Sana
Mimi ndio niliopanga ongezeko? Alafu napigaje ramli ikiwa uhalisia unaonekana?
Ndio maana nimegundua kwa nn sasa hivi mtu akipata pesa kidogo tu anapeleka Watoto wake shule za English medium. Huko Kuna walimu wanaojielewa
 
Unaweza kinipa mchango mmoja uliotolewa na walimu ambao unaonyesha kuwa upeo wao mdogo sana.
Naomba uelewe kuwa walimu wanatumika kwenye kazi nyingi za serikali kutokana na uwingi wao na utii wao katika kazi
Kwahiyo usione kundi la walimu au mwl fulani fulani katoa mchango kwenye ghafla ya serikali ukamwona ana upeo mdogo hawezi kwenda kinyume na matakwa ya serikali na wakati mwingine hotuba unaandaliwa na kuambiwa ukasome na mkiandaa wenyewe watu wa serikali wanaichukua na kuisoma na kufanyiwa editing baadhi ya mambo ambayo yako kinyume na serikali
Hujawaona mawaziri na wanasiasa wengine wakitoa matamko ambayo hata mtoto wa darasa la saba anashangaa unafikiri ni akili yao au wnapenda? Ni maelekezo ya serikali
Kiufupi bado mchanga sana kwenye mambo ya serikali huyajuwi ni bora ukakaa kimya kuliko kukera wa2
Ndio maana nikasema mna upeo mdogo, Mimi nimezungumzia mchango kwa maana ya mawazo kuhusu mambo mbalimbali. Wewe unaleta habari za pesa
 
Ndiyo maana nimekupa angalizo mapema, siyo kila anayechangia uzi huu ni mwalimu.

Kwa kauli hii bado hapa ndipo unadhihirisha kuwa wewe siyo mjinga tu bali ni zaidi maana nilijua ungekuja na hoja ya kuwapa elimu hao unaowakejeli kumbe wewe ndiye "punga" kabisa.


Ok assume mimi ni mwalimu leta udhaifu wa hoja yangu au maelezo kinzani juu ya maelezo niliyokupa vinginevyo wewe utaendelea kuwa kituko.
Kuna mmoja nimekueleza huko, huwa sifanyi mjadala na nyie
 
Wewe ndo msemaji wa serikali au unawashwa washwa tu kwakujifanya unajua na kudharau walimu.
 
Ndio maana nasema nyie walimu kichwani ni watupu Sana
Mimi ndio niliopanga ongezeko? Alafu napigaje ramli ikiwa uhalisia unaonekana?
Ndio maana nimegundua kwa nn sasa hivi mtu akipata pesa kidogo tu anapeleka Watoto wake shule za English medium. Huko Kuna walimu wanaojielewa
Wewe ulisomea kwenye hizo English medium schools? Ndio zinafundisha ujinga wa kubeza professions za watu?
 
Sasa na nyie mmekaa mnajibizana na mtu mjinga mjinga si mnamuacha na ujinga wake?
 
Salary slip portal for salary slips
Human capital management information system.. (HCMIS) /LAWSON
Tofautisha hiyo muite na popoma Countrywide ambaye alikuwa hajui tofauti ya payroll na salaryslip ajifunze 😁

Mmoja hapo umewapa access watumishi wote kuangalia hati za mishahara yao wakati mwingine ni for officials ma HR na walio juu yao kwa ajili ya mambo kadhaa ya kiutumishi
Nimekuelewa comrade
 
Back
Top Bottom