Rais Samia ameamua kuwatolea uvivu Jeshi la Polisi na kuyaanika hadharani maovu yao!

Rais Samia ameamua kuwatolea uvivu Jeshi la Polisi na kuyaanika hadharani maovu yao!

Kweli Rais amewachoka Polisi na akaeleza wazi kuwa safari ijayo atakitumia kile cheo chale kingine, cha u-amiri jeshi mkuu, kutokana na vitendo vyao vya kutotenda Haki!
Je amewakomboa kutoka mikononi mwa CCM? Kwamba wawalinde raia na mali zao bila ubaguzi, wawatumikie wananchi wote bila ubaguzi, watoe haki na usawa kwa wote bila ubaguzi.
 
Anasema wazi asije akalalamikiwa akianza kuchukua hatua.
Hakuna kitu kama hicho, kama ni kusema ameshasema sana, ukiwa kiongozi maneno kidogo ila vitendo sana, Hapo huwa ndio nachoka unakuta kamanda mnayemtegemea kuchukua hatua na yeye anakuwa sehemu ya kulalamika!!
 
Kwa kweli Katika hotuba aliyoitoa leo huko kwenye Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia ameamua kuyaweka wazi maovu yanayofanywa na Jeshi hilo la Polisi na hivyo nampongeza Sana Rais wetu kwa ujasiri wake huo.

Kwanza amesisitiza kuwa ni lazima Jeshi la Polisi lizingatie Nidhamu, Haki na Weledi Katika utendaji wao wa Kazi za kila siku.

Ameeleza kuwa Jeshi la Polisi, halina sifa nzuri ndani ya jamii ya watanzania.

Akisema kuwa Rushwa imekithiri ndani ya Jeshi hilo, akitoa mifano hai kabisa, kama vile askari wa barabarani ambao huwa wanachukua Rushwa waziwazi!

Anaendelea kusisitiza kuwa hata dhamana, ambayo ni Haki ya mtuhumiwa, lakini Jeshi hilo lingekuwa "likiwakamua" watuhumiwa, ikiwa ni uthibitisho wa kauli mbiu ya sisi raia, kuwa kuingia kwenye selo za Polisi ni bure, lakini kutoka ni kwa Pesa!

Akakemea pia tabia ya Polisi kuwabambikia Kesi raia, ambapo bila kujali, namna wanavyowatesa hao wanaobambikiwa Kesi.

Pia amakemea tabia za Ufisadi, zilizokithiri ndani ya Jeshi hilo la Polisi, akitoa mfano namna Jeshi hilo linavyofanya biashara ya kuuza sare hizo za Polisi kwa Majeshi mengine kama vile kwa Jeshi la zimamoto.

Akaomgeza namna maafisa wa Jeshi hilo, wanavyotumia bajeti ya mafuta ya Jeshi hilo na kuyapeleka kwenye magari yao binafsi!

Nampongeza Sana Rais Samia kwa kuyaanika hadharani maovu hayo ya Jeshi la Polisi, ambapo sisi raia wema, tumekuwa tukiyakemea maovu hayo kwa kipindi kirefu Sana, lakini yamekuwa hayasikilizwi kabisa,
Hizi ndizo issue aanze kuzishugjulikia na siyo kuonhelee nyomi kujaa kwenye mikutano yake
 
Wewe nawe sijui ukoje.

Yaani Rais wa nchi na amiri jeshi mkuu wa majeshi yote kuwaambia ukweli polisi unaona ni kuwa underrate siyo!

Yaani kuna baadhi ya miTanzania kama wewe ni majanga matupu maana Rais akisema uozo hadharani atapondwa kwamba hana utu akiamua kunyanaza kimya utasikia tena amebariki uozo ndo maana yupo kimya.

Hueleweki kama bu.sha kila sehemu linapokaa linalalamika kuumia.
Soma tena,ilitakiwa awaambie wakubwa wa hao watu,au alipokua alikua na watu wa rank moja?
 
Sasa ndiyo wa kuwaamini kweli watu wa aina hiyo?

Polisi ni kioo cha jamii, kwa hiyo ni lazima wafanye Kazi yao kwa Weledi mkubwa
Kiukweli ingekuwa ni amri yangu police ingefumuliwa na ajira zianze upya kabisa na kwa kuwaacha wale wenye maadili wachache na kuajiri wengine.
 
Kuyaanika NI jambo la kawaida kwani sote tunajua ila je hatua gani za kuchukua angesem hata alivunje jeshi kwa muda Kisha vituoni wakae wanajeshi ingekuwa safi
Sijawahi liamini Jeshi la Polisi. Iwe Kifo au Ajali kwa Raia kwao Fedha kwanza katika taratibu zozote zitakazowahusu.
 
Kuyaanika NI jambo la kawaida kwani sote tunajua ila je hatua gani za kuchukua angesem hata alivunje jeshi kwa muda Kisha vituoni wakae wanajeshi ingekuwa safi
Hitimisho baada ya kufanya ivyo iwe ni nini katika kuleta jeshi jipya la polisi
 
Kwa kweli Katika hotuba aliyoitoa leo huko kwenye Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia ameamua kuyaweka wazi maovu yanayofanywa na Jeshi hilo la Polisi na hivyo nampongeza Sana Rais wetu kwa ujasiri wake huo.

Kwanza amesisitiza kuwa ni lazima Jeshi la Polisi lizingatie Nidhamu, Haki na Weledi Katika utendaji wao wa Kazi za kila siku.

Ameeleza kuwa Jeshi la Polisi, halina sifa nzuri ndani ya jamii ya Watanzania.

Akisema kuwa Rushwa imekithiri ndani ya Jeshi hilo, akitoa mifano hai kabisa, kama vile askari wa barabarani ambao huwa wanachukua Rushwa waziwazi!

Anaendelea kusisitiza kuwa hata dhamana, ambayo ni Haki ya mtuhumiwa, lakini Jeshi hilo lingekuwa "likiwakamua" watuhumiwa, ikiwa ni uthibitisho wa kauli mbiu ya sisi raia, kuwa kuingia kwenye selo za Polisi ni bure, lakini kutoka ni kwa Pesa!

Akakemea pia tabia ya Polisi kuwabambikia Kesi raia, ambapo bila kujali, namna wanavyowatesa hao wanaobambikiwa Kesi.

Pia amakemea tabia za Ufisadi, zilizokithiri ndani ya Jeshi hilo la Polisi, akitoa mfano namna Jeshi hilo linavyofanya biashara ya kuuza sare hizo za Polisi kwa Majeshi mengine kama vile kwa Jeshi la zimamoto.

Akaomgeza namna maafisa wa Jeshi hilo, wanavyotumia bajeti ya mafuta ya Jeshi hilo na kuyapeleka kwenye magari yao binafsi!

Nampongeza Sana Rais Samia kwa kuyaanika hadharani maovu hayo ya Jeshi la Polisi, ambapo sisi raia wema, tumekuwa tukiyakemea maovu hayo kwa kipindi kirefu Sana, lakini yamekuwa hayasikilizwi kabisa.
I am not convinced kama Yuko serious na hii, huwezi kuwa serious huku unam-promote KINGAI kuwa DCI
 
Akiishia kuongea tu na hakuna kitakachobadilika ni kazi bure, watu wapo huko wamekubuhu kwa kutokutenda haki
 
Kwa madudu wanayofanya maafisa wa polisi itoshe kusema wana bahati sana.
 
Kwa kweli Katika hotuba aliyoitoa leo huko kwenye Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia ameamua kuyaweka wazi maovu yanayofanywa na Jeshi hilo la Polisi na hivyo nampongeza Sana Rais wetu kwa ujasiri wake huo.

Kwanza amesisitiza kuwa ni lazima Jeshi la Polisi lizingatie Nidhamu, Haki na Weledi Katika utendaji wao wa Kazi za kila siku.

Ameeleza kuwa Jeshi la Polisi, halina sifa nzuri ndani ya jamii ya Watanzania.

Akisema kuwa Rushwa imekithiri ndani ya Jeshi hilo, akitoa mifano hai kabisa, kama vile askari wa barabarani ambao huwa wanachukua Rushwa waziwazi!

Anaendelea kusisitiza kuwa hata dhamana, ambayo ni Haki ya mtuhumiwa, lakini Jeshi hilo lingekuwa "likiwakamua" watuhumiwa, ikiwa ni uthibitisho wa kauli mbiu ya sisi raia, kuwa kuingia kwenye selo za Polisi ni bure, lakini kutoka ni kwa Pesa!

Akakemea pia tabia ya Polisi kuwabambikia Kesi raia, ambapo bila kujali, namna wanavyowatesa hao wanaobambikiwa Kesi.

Pia amakemea tabia za Ufisadi, zilizokithiri ndani ya Jeshi hilo la Polisi, akitoa mfano namna Jeshi hilo linavyofanya biashara ya kuuza sare hizo za Polisi kwa Majeshi mengine kama vile kwa Jeshi la zimamoto.

Akaomgeza namna maafisa wa Jeshi hilo, wanavyotumia bajeti ya mafuta ya Jeshi hilo na kuyapeleka kwenye magari yao binafsi!

Nampongeza Sana Rais Samia kwa kuyaanika hadharani maovu hayo ya Jeshi la Polisi, ambapo sisi raia wema, tumekuwa tukiyakemea maovu hayo kwa kipindi kirefu Sana, lakini yamekuwa hayasikilizwi kabisa.
Na yeye analalamika? Hajui chakufanya? Na hili pia muende mkalitizame
 
Anawaanika wakati ndio hao hao baadae watamsaidia kuingiza kura zilizopigwa tayari kwenye mabegi?
 
Wale ni walarushwa tangia miongo na miongo tangu Nyerere amalize utawala wake. Solution ni kukagua mmoja bada mwingine, watakao baki tutakuwa na jeshi imara.
 
Kwa kweli Katika hotuba aliyoitoa leo huko kwenye Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia ameamua kuyaweka wazi maovu yanayofanywa na Jeshi hilo la Polisi na hivyo nampongeza Sana Rais wetu kwa ujasiri wake huo.

Kwanza amesisitiza kuwa ni lazima Jeshi la Polisi lizingatie Nidhamu, Haki na Weledi Katika utendaji wao wa Kazi za kila siku.

Ameeleza kuwa Jeshi la Polisi, halina sifa nzuri ndani ya jamii ya Watanzania.

Akisema kuwa Rushwa imekithiri ndani ya Jeshi hilo, akitoa mifano hai kabisa, kama vile askari wa barabarani ambao huwa wanachukua Rushwa waziwazi!

Anaendelea kusisitiza kuwa hata dhamana, ambayo ni Haki ya mtuhumiwa, lakini Jeshi hilo lingekuwa "likiwakamua" watuhumiwa, ikiwa ni uthibitisho wa kauli mbiu ya sisi raia, kuwa kuingia kwenye selo za Polisi ni bure, lakini kutoka ni kwa Pesa!

Akakemea pia tabia ya Polisi kuwabambikia Kesi raia, ambapo bila kujali, namna wanavyowatesa hao wanaobambikiwa Kesi.

Pia amakemea tabia za Ufisadi, zilizokithiri ndani ya Jeshi hilo la Polisi, akitoa mfano namna Jeshi hilo linavyofanya biashara ya kuuza sare hizo za Polisi kwa Majeshi mengine kama vile kwa Jeshi la zimamoto.

Akaomgeza namna maafisa wa Jeshi hilo, wanavyotumia bajeti ya mafuta ya Jeshi hilo na kuyapeleka kwenye magari yao binafsi!

Nampongeza Sana Rais Samia kwa kuyaanika hadharani maovu hayo ya Jeshi la Polisi, ambapo sisi raia wema, tumekuwa tukiyakemea maovu hayo kwa kipindi kirefu Sana, lakini yamekuwa hayasikilizwi kabisa.
Rais Samia Suluhu anazingatia haki za binadamu na hataki viongozi wazembe
 
Back
Top Bottom