greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Kila siku tuwe tunafanya kazi ya kukukumbusha kuweka number ya simu na cv siuungwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri, unatetea Sana mpaka unajitoa ufahamu, Sasa nakwambia KWa utetezi wako humsaidii Rais wako bali unampoteza, acha Mambo haya, nyie anaekaa pale juu basi anakula MUNGU mtu? Tuliwaona wengi kipindi kilichopita, leo wamebaki Kama kuku wa kienyeji, acheni Mambo haya, Rais wajibu wake ni kutekeleza mahitaji ya walipa kodi, na sio ombi maana hatoi pesa yake mfukoni,Rais Ni wa watanzania wote Ndio maana hakuna niliposema mh Rais Ni wa kundi fulani, Ndio maana unaona hata mh Rais mwenyewe anatutumikia wote kwa pamoja kwa usawa bila ubaguzi wowote, Jambo kulikopelekwa mh Rais kupata uungwaji mkono mkubwa Sana kutoka kwa mamilioni ya watanzania
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa Sasa kuwa mh Rais mama Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya Uzalendo kwa watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.
Watanzania kwa Sasa wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu na dhamira yake katika kuijenga Tanzania iliyo Bora, Hii ndio maana watanzania kwa pamoja wameamua kumuunga mkono mh Rais kwa kuchangia kiasi kutoka katika vipato vyao bila shida yoyote.
Watanzania wametambua kuwa nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, na kwamba hata hao walio endelea na kutupatia misaada walianza kwa kuchangishana kupitia vipato vyao, hata hivyo watanzania kwa Sasa wametambua kuwa hatutaweza Kuendelea kwa haraka kupitia misaada na mikopo pekee, ili Tuendelee lazima tubebe mzigo wetu wenyewe na hiyo misaada na mikopo iwe ziada katika juhudi zetu na jukumu la msingi likibaki mikononi mwetu.
Watanzania wametambua kuwa Ni lazima tujinyime, tujibane, Tuwe na vipaombele, tuwa wazalendo, Tuwe na Nidhamu kwa kila sent tuipatayo ili tupeleke katika kuijenga nchi yetu, watanzania wamekuwa na Imani kubwa na mh Rais katika usimamaizi wa fedha za umma.
Sasa watanzania wapo bize katika kuijenga nchi yetu, hawataki kumsikiliza mtu anayewashauri kwamba wasiijenge nchi yao, kwa kuwa kwa Sasa wanaona namna miradi mbalimbali ya maendeleo ilivyojengwa na kusogezwa huduma karibu yao, hawataki mizigo ya madeni hata kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe, hawataki tuwajazie madeni vizazi vijavyo kwa kukwepa wajibu wetu, wanataka wajibu wetu na mzigo wetu tuubebe Wenyewe.
Mh Rais ameongoza njia ya maendeleo na watanzania wameamua kumfuata na kumuunga mkono na hili hata utafiti wa Twaweza umelithibitisha, Tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kila namna bila kumsubili mtu, tujivunie maendeleo yanayotokana na juhudi zetu wenyewe.
Hapa anatoka nduki mtoa hoja! Hii mijambazi imezoea kukwapua kura hii psychological prep yanatufanyia! Hivi utamleta huyu tabula rasa wa mambo yote ya kiuchumi na kisheria mbele ya yule Tiger TAL abaki kweli kwenye uwanja sawa!? Hizi kunguni, chawa na kupe zinahangaika tu!Wekeni Sasa ,leta na Katiba mpya kuruhusu Mgombea binfsi,alafu tuingie mtanange, saa sita mchana kwisha, mnakaa na kumpaka mafuta KWa mgongo wa chupa,WENDA sie ndo tunampenda kuliko team mapambio, huku chini hawamwelewi, sawa Mkuu Waziri
Anasimamia vizuri wizi wa kodi zetu! Ndiyo maana waziri wake wa fedha wa juzi tu ameagiza YU TONG 60 kwa mpigo. Pigeni kampeni ili Mwigu anunue jet kwa hela zetu ahsanteni vilaza wakubwa kama mama yenu/Ndio maana wananchi wanampongeza Sana mh Rais wetu maana wameona kwa vitendo namna mh Rais wetu anavyosimamia vizuri Kodi zetu, wameona matunda ya Kodi zetu na wapo bega kwa bega na mh Rais katika juhudi za kuijenga nchi yetu na bado watanzania tunamhitaji mh Rais wetu aendelee kututumikia
Hao wabunge wa chama chako nenda kapambane nao huko mahakamani kulikopelekwa kesi,
Hakuna mwenye ubavu wa kushindana na mh Rais katika boksi la kura, Ndio maana unaona kwa Sasa upinzani umekosa hoja kwa kuwa ajenda zote za wananchi amezibeba mh Rais na kuzifanyia kaziHapa anatoka nduki mtoa hoja! Hii mijambazi imezoea kukwapua kura hii psychological prep yanatufanyia! Hivi utamleta huyu tabula rasa wa mambo yote ya kiuchumi na kisheria mbele ya yule Tiger TAL abaki kweli kwenye uwanja sawa!? Hizi kunguni, chawa na kupe zinahangaika tu!
Waziri, unatetea Sana mpaka unajitoa ufahamu, Sasa nakwambia KWa utetezi wako humsaidii Rais wako bali unampoteza, acha Mambo haya, nyie anaekaa pale juu basi anakula MUNGU mtu? Tuliwaona wengi kipindi kilichopita, leo wamebaki Kama kuku wa kienyeji, acheni Mambo haya, Rais wajibu wake ni kutekeleza mahitaji ya walipa kodi, na sio ombi maana hatoi pesa yake mfukoni,
Sasa Kama ndivyo why mapambio yote, eti unasikia mtu mzima anasimama mbele ya kandamnasi kwamba SSH Katoa pesa ya barabara,au kisima au madarasa n.k Hivi nyie CCM mmerogwa na nani, Yani kodi za wananchi ndo mnasema SSH ametoa kweli?
Acheni jipendekeza, pigeni KWa urefu wa kamba zenu ,ila elewa nikiingia Madarakani nitawanyonga mchana kweupe, maana KWa Sasa hamuibi bali mnakwapua,dawa yenu ipo jikoni
Acha kubeba maneno ya watu pasipo ushahidiAnasimamia vizuri wizi wa kodi zetu! Ndiyo maana waziri wake wa fedha wa juzi tu ameagiza YU TONG 60 kwa mpigo. Pigeni kampeni ili Mwigu anunue jet kwa hela zetu ahsanteni vilaza wakubwa kama mama yenu/
Kero za wananchi zinaendelea kupatiwa majibu kila kukicha na mh Rais, Rais alisikia kilio Cha wakulima juu ya Bei kubwa amejibu kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea, ukienda hospital au shuleni au kwenye huduma za maji na umeme unakuta kwote huko mh Rais amefanya kazi kubwa sanaAungwe mkono na nani huyu asiyezisikia kero za wananchi wake?
Waliojinadi kuwa Serikali Sikivu wamethibika kuwa Viziwi
Sawa mh waziriNani kakwambia kuwa Mimi ni Waziri wewe, Mimi Ni mkulima ninayemuunga mkono mh Rais kwa kazi kubwa anazo fanya zilizogusa na kukonga nyoyo za watanzania
Huku sio kujenga nchi ni kuporwa waziwazi kabisaNdugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa Sasa kuwa mh Rais mama Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya Uzalendo kwa watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.
Watanzania kwa Sasa wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu na dhamira yake katika kuijenga Tanzania iliyo Bora, Hii ndio maana watanzania kwa pamoja wameamua kumuunga mkono mh Rais kwa kuchangia kiasi kutoka katika vipato vyao bila shida yoyote.
Watanzania wametambua kuwa nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, na kwamba hata hao walio endelea na kutupatia misaada walianza kwa kuchangishana kupitia vipato vyao, hata hivyo watanzania kwa Sasa wametambua kuwa hatutaweza Kuendelea kwa haraka kupitia misaada na mikopo pekee, ili Tuendelee lazima tubebe mzigo wetu wenyewe na hiyo misaada na mikopo iwe ziada katika juhudi zetu na jukumu la msingi likibaki mikononi mwetu.
Watanzania wametambua kuwa Ni lazima tujinyime, tujibane, Tuwe na vipaombele, tuwa wazalendo, Tuwe na Nidhamu kwa kila sent tuipatayo ili tupeleke katika kuijenga nchi yetu, watanzania wamekuwa na Imani kubwa na mh Rais katika usimamaizi wa fedha za umma.
Sasa watanzania wapo bize katika kuijenga nchi yetu, hawataki kumsikiliza mtu anayewashauri kwamba wasiijenge nchi yao, kwa kuwa kwa Sasa wanaona namna miradi mbalimbali ya maendeleo ilivyojengwa na kusogezwa huduma karibu yao, hawataki mizigo ya madeni hata kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe, hawataki tuwajazie madeni vizazi vijavyo kwa kukwepa wajibu wetu, wanataka wajibu wetu na mzigo wetu tuubebe Wenyewe.
Mh Rais ameongoza njia ya maendeleo na watanzania wameamua kumfuata na kumuunga mkono na hili hata utafiti wa Twaweza umelithibitisha, Tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kila namna bila kumsubili mtu, tujivunie maendeleo yanayotokana na juhudi zetu wenyewe.
Kero za wananchi zinaendelea kupatiwa majibu kila kukicha na mh Rais, Rais alisikia kilio Cha wakulima juu ya Bei kubwa amejibu kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea, ukienda hospital au shuleni au kwenye huduma za maji na umeme unakuta kwote huko mh Rais amefanya kazi kubwa sana
Mkuu hivi umeandika huu uzi ukiwa usingizini, maana mpira unachezwa kushoto wrwr umedaka kuliaNdugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa Sasa kuwa mh Rais mama Samia amefanikiwa kupanda mbegu ya Uzalendo kwa watanzania katika kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe.
Watanzania kwa Sasa wanaridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais wetu na dhamira yake katika kuijenga Tanzania iliyo Bora, Hii ndio maana watanzania kwa pamoja wameamua kumuunga mkono mh Rais kwa kuchangia kiasi kutoka katika vipato vyao bila shida yoyote.
Watanzania wametambua kuwa nchi yetu itajengwa na sisi wenyewe, na kwamba hata hao walio endelea na kutupatia misaada walianza kwa kuchangishana kupitia vipato vyao, hata hivyo watanzania kwa Sasa wametambua kuwa hatutaweza Kuendelea kwa haraka kupitia misaada na mikopo pekee, ili Tuendelee lazima tubebe mzigo wetu wenyewe na hiyo misaada na mikopo iwe ziada katika juhudi zetu na jukumu la msingi likibaki mikononi mwetu.
Watanzania wametambua kuwa Ni lazima tujinyime, tujibane, Tuwe na vipaombele, tuwa wazalendo, Tuwe na Nidhamu kwa kila sent tuipatayo ili tupeleke katika kuijenga nchi yetu, watanzania wamekuwa na Imani kubwa na mh Rais katika usimamaizi wa fedha za umma.
Sasa watanzania wapo bize katika kuijenga nchi yetu, hawataki kumsikiliza mtu anayewashauri kwamba wasiijenge nchi yao, kwa kuwa kwa Sasa wanaona namna miradi mbalimbali ya maendeleo ilivyojengwa na kusogezwa huduma karibu yao, hawataki mizigo ya madeni hata kwa vitu tunavyoweza kufanya wenyewe, hawataki tuwajazie madeni vizazi vijavyo kwa kukwepa wajibu wetu, wanataka wajibu wetu na mzigo wetu tuubebe Wenyewe.
Mh Rais ameongoza njia ya maendeleo na watanzania wameamua kumfuata na kumuunga mkono na hili hata utafiti wa Twaweza umelithibitisha, Tuendelee kuijenga nchi yetu kwa kila namna bila kumsubili mtu, tujivunie maendeleo yanayotokana na juhudi zetu wenyewe.
Kama huduma zipi mkuu.Kwani huoni namna mh Rais alivyoibadilisha Tanzania kwa kuifanya kuwa na maendeleo karibu ya mwananchi, huoni namna ambavyo mwananchi amepunguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma
Ningejua ulipo mkuu ningekupiga risasi nipunguze kura mojaKwa uungwaji mkono alionao mh Rais na namna anavyokubalika nakuhakikishia kuwa mh Rais anakwenda kuzoa kura Zote uchaguzi ujao, maana amebeba na anatekeleza Sera na ajenda zinazogusa maisha ya mtanzania mnyonge