Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zingine bwana acha tu.Rushwa itaongezeka na upigaji vilevile, angalia upigaji ulioko kwa RAS juu ya watumishi ambao ana mamlaka nao juu ys uhamisho.
Huyu ni wa nyumbani kabisa huenda akawa na uchungu na wilaya yakeZahara karibu mwanga tambarare ulete maji,maji ni shida miaka 60 ya uhuru
MaRAS, maDAS, maDED kimsingi si nafasi za kisiasa, hawa ni watumishi wa umma siyo wanasiasa. Ni bahati mbaya huu utaratibu ulikuja kukolezwa na Mwendazake na sasa imekuwa kama nafasi za makada wa CCM.Hizi nafasi (wakuu wa wilaya, wakurugenzi, Makatibu wilaya) wazitoe chini ya mamlaka ya Rais (zisiwe sehemu za teuzi za Raisi).
hapana zibaki huko maana ukitoa kuna baadhi ya maraisi watapyaya kwenye nafasi iyo maana ndo kitu wanaweza fanya tukaona wako kaziniHizi nafasi (wakuu wa wilaya, wakurugenzi, Makatibu wilaya) wazitoe chini ya mamlaka ya Rais (zisiwe sehemu za teuzi za Raisi).
Unafikiri kwa leo kuna mtu atakuelewa? Siku hiyo uelewa ukirudi, utawala wa nchi hii itabidi uanze upya.MaRAS, maDAS, maDED kimsingi si nafasi za kisiasa, hawa ni watumishi wa umma siyo wanasiasa. Ni bahati mbaya huu utaratibu ulikuja kukolezwa na Mwendazake na sasa imekuwa kama nafasi za makada wa CCM.
Tamisemi??? Almanusura nitapike.Ziende Tamisemi watu wa apply au vipi
Kabisa,wa Mchali hukoHuyu ni wa nyumbani kabisa huenda akawa na uchungu na wilaya yake
Umepotea sana mzee sijuwi nini tatizo.Cheo ni dhamana..tumikieni wananchi
Akiwafuta kazi,serikali inaendelea kuwalipa,huoni ni mzigo kwetu sisi?Mimi nikajua amewafuta kazi maana siyo kwa uchafu ule wa ripoti ya CAG!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Una maana wakati wa WM na JK walikuwa watumishi wa umma ki utendaji? Think twice bro.MaRAS, maDAS, maDED kimsingi si nafasi za kisiasa, hawa ni watumishi wa umma siyo wanasiasa. Ni bahati mbaya huu utaratibu ulikuja kukolezwa na Mwendazake na sasa imekuwa kama nafasi za makada wa CCM.
Wilaya ya Mwanga ni kama imelaaniwaZahara karibu mwanga tambarare ulete maji,maji ni shida miaka 60 ya uhuru