Alpaslan Bey
Senior Member
- Nov 4, 2023
- 121
- 163
Hongera sana Bi Regina Bieda, hakika umefanya kazi kubwa sana Momba pamoja na changamoto nyingi zilizopo. Ombi langu kwako ni kwamba usiache kumfunda mgeni (Mkurugenzi anayechukua nafasi yako) namna ya kuishi na yule bwana wa kidato kile...... Zaidi nakutakia kila la kheri huko uendako