Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishambuliwa na wanufaika ambao mnakaa nao kwenye vikao vya chama.Mtu wa kwanza kuitoa hii kauli alikuwa Bashiru Ally na alishambuliwa kila kona
Hii kumbe we manzi mtumishi😁Hili bunge la chama kimoja ndio utaratibu??? Wabunge wasio na vyama wanaotafuna tu kodi zetu ndio kafata sheria?
Watumishi hatutamsahau hadi na sie tukizikwa miaka 6 bila bila.... Kweli alijua kufata sheria na taratibu.
Sio manzi sio mtumishi.Hii kumbe we manzi mtumishi😁
Nyumbu ndio Kitu gani? 🐼Hata nyumbu wanamkumbuka sana tu shujaa maana kama ni bandari imeuzwa ya wote, bei ya korosho imeshuka kwa wote
??Mchiambirwa msirye jaba tamtaki
🤣🤣🤣🤣Hii kumbe we manzi mtumishi😁
Nyumbu ndio Kitu gani? [emoji209]
Mmeambiw msile jaba hamtaki.