Rais Samia amefeli wapi? Gerson Msigwa amkumbuka shujaa wa Afrika hayati JPM

Rais Samia amefeli wapi? Gerson Msigwa amkumbuka shujaa wa Afrika hayati JPM

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
1000023360.jpg
 
Hili bunge la chama kimoja ndio utaratibu??? Wabunge wasio na vyama wanaotafuna tu kodi zetu ndio kafata sheria?

Watumishi hatutamsahau hadi na sie tukizikwa miaka 6 bila bila.... Kweli alijua kufata sheria na taratibu.
 
Hili bunge la chama kimoja ndio utaratibu??? Wabunge wasio na vyama wanaotafuna tu kodi zetu ndio kafata sheria?

Watumishi hatutamsahau hadi na sie tukizikwa miaka 6 bila bila.... Kweli alijua kufata sheria na taratibu.
Hii kumbe we manzi mtumishi😁
 
Back
Top Bottom