Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
ukiwa na akili zako tmamu huwezi kukumbuka muaji na mtekajiHata nyumbu wanamkumbuka sana tu shujaa maana kama ni bandari imeuzwa ya wote, bei ya korosho imeshuka kwa wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiwa na akili zako tmamu huwezi kukumbuka muaji na mtekajiHata nyumbu wanamkumbuka sana tu shujaa maana kama ni bandari imeuzwa ya wote, bei ya korosho imeshuka kwa wote
Hata Gerson ni mmoja wa wanufaika na utawala wa Magu, hakuna namna atamsahau Magu.
Kinachosikitisha ni kuendekeza tabia ya kuabudu watu na siyo Mungu.
Mandera ndani ya miaka mitano aliyotawala Afrika ya kusini, aliitumia fursa hiyo kujenga taasisi imara na katiba nzuri. Leo hayupo tunashuhudia nchi inakwenda kwa kufuata sheria haiangalii wewe ni nani au mtoto wa nani. Ukiboronga na urais wako wanakung'oa na unaweza hata kufungwa kitu ambacho huku ni ndoto.
Uharibifu wowote tunaoshuhudia Sasa humtoi Magu, maana hawa wote waliopo ni chaguo lake,kuanziq bungeni mpaka serikalini.
Ukipanda bangi usitarajie kuvuna Mahindi. Kifupi yeye ni sehemu ya madhira tunayopitia, alipaswa kutengeneza mfumo imara utakaolinda raslimali zetu bila kujali atakuwepo ama hatakuwepo. Tatizo ni kujifanya mungu kumbe siku zako zinahesabika.
" Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Na hata sio 'sio' etiSio manzi sio mtumishi.
Kwanini babdari ya Zanzibar isibinafshwe?Hata nyumbu wanamkumbuka sana tu shujaa maana kama ni bandari imeuzwa ya wote, bei ya korosho imeshuka kwa wote
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa!Hili bunge la chama kimoja ndio utaratibu??? Wabunge wasio na vyama wanaotafuna tu kodi zetu ndio kafata sheria?
Watumishi hatutamsahau hadi na sie tukizikwa miaka 6 bila bila.... Kweli alijua kufata sheria na taratibu.
Wewe ni mjinga sana, Wala hujielewi kabisa!