Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Alishambuliwa na wanufaika ambao mnakaa nao kwenye vikao vya chama.Mtu wa kwanza kuitoa hii kauli alikuwa Bashiru Ally na alishambuliwa kila kona
Hii kumbe we manzi mtumishi😁Hili bunge la chama kimoja ndio utaratibu??? Wabunge wasio na vyama wanaotafuna tu kodi zetu ndio kafata sheria?
Watumishi hatutamsahau hadi na sie tukizikwa miaka 6 bila bila.... Kweli alijua kufata sheria na taratibu.
Sio manzi sio mtumishi.Hii kumbe we manzi mtumishi😁
Nyumbu ndio Kitu gani? 🐼Hata nyumbu wanamkumbuka sana tu shujaa maana kama ni bandari imeuzwa ya wote, bei ya korosho imeshuka kwa wote
??Mchiambirwa msirye jaba tamtaki
🤣🤣🤣🤣Hii kumbe we manzi mtumishi😁
Nyumbu ndio Kitu gani? [emoji209]
Mmeambiw msile jaba hamtaki.