Rais Samia ameingia katika biashara na kuwadekeza wafanyabiashara. Nchi inakufa

Rais Samia ameingia katika biashara na kuwadekeza wafanyabiashara. Nchi inakufa

Nionavyo ni Wa-TZ kuhadaika kiurahisi na kelele za Bungeni. Yaani Bashe anasimulia mambo utadhani ana niya njema. Anajidai kusimulia shida za mkulima ambazo zinafahamika miaka yote na bado anasifiwa. Nyuma yake ana lake jambo. Nimeona aliamua kusimulia mambo ya bei ya mbolea lakini hasemi kwa nini analeta benki ya ushirika wakati benki ya wakulima ipo. ni mpotopshaji tu!
hajawahi kutatua shida yoyote ni anajua tu kuongea lakini si mtendaji
 
Hakuna raisi anayechukia wafanyahiashara.
Tatizo ni pale tu wanapotaka kudekezwa bila kulipa kodi hapo watamchukia raisi na serikali yake! "Mwambie alipe kodi atakuchukia hatari"
 
Ilikuwa kosa kubwa sana kumpa huyu Mama na Kikwete nchi, wanaturudisha nyuma mno kimaendeleo.

Mliwahi kwenda mbele kimaendeleo, au zile propaganda mfu ndio zikllikufanya uone mna maendeleo?
 
Hakuna raisi anayechukia wafanyahiashara.
Tatizo ni pale tu wanapotaka kudekezwa bila kulipa kodi hapo watamchukia raisi na serikali yake! "Mwambie alipe kodi atakuchukia hatari"

Ulipe kodi ikateketezwe kwenye AC za maVX yanayokaa on muda wote, na kulipia misururu ya viongozi isiyo na tija yoyote? Mimi hapa nilipo nalipa kodi za lazima tu, ninazoweza kukwepa nakwepa. Sina muda wa kodi yangu rais kwenda kugawa huko mabarabarani kusaka sifa za kijinga eti fedha za rais, upuuzi mtupu.
 
Hakuna raisi anayechukia wafanyahiashara.
Tatizo ni pale tu wanapotaka kudekezwa bila kulipa kodi hapo watamchukia raisi na serikali yake! "Mwambie alipe kodi atakuchukia hatari"
Kodi zitumiwe kuwasha AC za ma V8 waziri akiwa mkutanoni?
 
Pengine uliishi Bronx, New York kwa mahohehahe wasiojua kitu.
Rais Obama ALIWAKOPESHA the big private car manufacturers alipoingia madarakani ili kuongeza ajira, biashara na kupunguza mdororo wa uchumi Marekani.

Juzi Biden ametumia sheria kikatiba kulazimisha private baby milk manufacturers kutengeneza maziwa ya watoto baada ya soko kuishiwa maziwa.

Wakati wa vita kuu ya pili sekta binafsi iliibeba Marekani kwa kuingia katika utengenezaji usio wa kawaida wa vifaa vyote vya kijeshi, iwe vifaru, ndege, malori, combat za jeshi, mabuti, silaha ainazote, mabomu na hata meli na merikebu za kijeshi.

Huko ndio kuona mbali, sekta binafsi inaibeba nchi na uchumi wake.

Sasa ninyi mbumbumbu mnafikiri mfanyabiashara na wenye viwanda wakifa shauri zao, ninyi ni maafisa wa serikali kutuma tu Task Force kukusanya kodi wakati nyie mnakula kiyoyozi!
Strategic na economical thinking hakuna, zero kabisa.

Mna mawazo ya ujima kutoka vijijini mwenu.
The home of great thinkers! soma tena nilichoandika yaani hujaelewa kabisa!! Unatumia nguvu kulazimisha hoja yako. wasomi halisi hujenga hoja na kuziacha hoja zipingane. nina uhakika umeishi hapa nyumbani miaka yako yote! you need to study "theory of science" and "multidimensions philosophy"

in short si kila unachowaza au kujua wewe as individual ni sahihi, other people have other knowledge and experiences that you will never have

My knowledge comes from living studying and working in very rich European country for ten years ! sio nyie mnaokwenda Ulaya kwenye seminars za wiki moja mnalala hotelini huwezi kuelewa chochote! sie tumeishi nyumba za kupanga uzunguni ten years!
 
Baba yenu alijidekeza kufanya kila kitu mwenyewe, kafa na hakuna aichokikamilisha.
Biashara na ajira nyingi zilikufa, wafanyabiashara waliporwa mchana kweupe na serikali(Task Force za TRA).

Nyie manundu mlifurahia ama hamna akili nzuri, sasa tuna mtu mweye akili Chamwino.
Mnafikiri maisha ni lelemama kwa kutaka kutukuzwa "unyonge", na ninyi kutaka kupewa vya bure.
Hawa watu ni wapuuzi sana, wote unaoona wanalalamika ni wale waliokuwa wamepewa kazi ya kwenda kukwapua hela za wafanyabiashara na kujichukulia percent zao,

Sasa hizo njia haramu hamna ndo maana wanarukaruka kama mahindi ya popcorn kwenye chungu,
 
Ni vigumu kuamini lakini ndo ukweli kwamba rais wetu naye sasa ni mfanyabiashara mashuhuri nchini na anamiliki magari mengi ya usafirishaji. Sasa aamini nchi itaendelea kwa ushirika na wafanyabiashara. Haiwezekani! Wafanyabiashara wetu ni misheni tauni. Wapigaji wa serikali kama ilivyokuwa IPTL. Kwa kuwapa nguvu wafanyabiashara sasa wako kwenye mashirika ya uma kama ilivyo bodi ya Tanesco.

Wafanyabiashara sasa wanasafiri na Rais kusaini mikataba kama tulivyoona Rostam akifanya. Sasa wafanyabiashara hawagusiki tena. Bahati mbaya wafanyabiashara sasa wanaingiza vijana wao ktk siasa na kuwasimamia kupata uwaziri. Ilikuwa hivyo kwa akina Ngereja na Rostam wake, sasa kamchukuwa Bashe, wamo akina makamba, nk.

Tatizo linaanza kujitokeza kwenye bwawa la umeme la Mwl. Nyerere na reli ya SGR. Tunamuona rais akianza kuzungumza lugha kwamba watashirikiana na sekta binafsi. Watu binafsi waingie kuzalisha umeme kwa bwawa liliojengwa na serikali! FOOOL! SGR nayo inajengwa na serikali, eti na wafanyabiashara wanunue mabehewa binafsi kama shares zao, kama Ndugai alivyowahi ropoka Bungeni. Nchi inakufa!!

Uhusiano wa wafanyabiashara na serikali siyo wa aina hii. Wao walipe kodi tu! Mfanyabishara makini hahitaji safari ya rais ili akasaini bishara zake, huo ni mtego wa kuingiza mkono Ikulu kama ilivyo sasa hivi. Huu ni wizi na ufisadi unaoanzia Ikulu na rais naye akionesha tamaa ya kufanya biashara.

Ndo maana tunaona lugha za kusema TRA wazungumze na wafanyabiashara, mazungumzo yapi badala ya kufuata sharia za miaka yote? Ktk kilimo Bashe anakuja na hadithi za ruzuku ya mbolea tena ambayo ilitumika kupiga pesa ya serikali. Waagizaji tayari wapo wanasubili GO! Waziri Mkenda alipolinda viwanda vya sukari akaambiwa na rais hiyo ni nonsense! What a hell president is this?
Wafanyabiashara ndio wanaolipa kodi na kipatia serikali pesa za kulipa wafanyakazi !
Hilo ukae ukijua
mama anadekeza wafanyabiashara kwa sababu anajua ndo life line yake
 
Ni vigumu kuamini lakini ndo ukweli kwamba rais wetu naye sasa ni mfanyabiashara mashuhuri nchini na anamiliki magari mengi ya usafirishaji. Sasa aamini nchi itaendelea kwa ushirika na wafanyabiashara. Haiwezekani! Wafanyabiashara wetu ni misheni tauni. Wapigaji wa serikali kama ilivyokuwa IPTL. Kwa kuwapa nguvu wafanyabiashara sasa wako kwenye mashirika ya uma kama ilivyo bodi ya Tanesco.

Wafanyabiashara sasa wanasafiri na Rais kusaini mikataba kama tulivyoona Rostam akifanya. Sasa wafanyabiashara hawagusiki tena. Bahati mbaya wafanyabiashara sasa wanaingiza vijana wao ktk siasa na kuwasimamia kupata uwaziri. Ilikuwa hivyo kwa akina Ngereja na Rostam wake, sasa kamchukuwa Bashe, wamo akina makamba, nk.

Tatizo linaanza kujitokeza kwenye bwawa la umeme la Mwl. Nyerere na reli ya SGR. Tunamuona rais akianza kuzungumza lugha kwamba watashirikiana na sekta binafsi. Watu binafsi waingie kuzalisha umeme kwa bwawa liliojengwa na serikali! FOOOL! SGR nayo inajengwa na serikali, eti na wafanyabiashara wanunue mabehewa binafsi kama shares zao, kama Ndugai alivyowahi ropoka Bungeni. Nchi inakufa!!

Uhusiano wa wafanyabiashara na serikali siyo wa aina hii. Wao walipe kodi tu! Mfanyabishara makini hahitaji safari ya rais ili akasaini bishara zake, huo ni mtego wa kuingiza mkono Ikulu kama ilivyo sasa hivi. Huu ni wizi na ufisadi unaoanzia Ikulu na rais naye akionesha tamaa ya kufanya biashara.

Ndo maana tunaona lugha za kusema TRA wazungumze na wafanyabiashara, mazungumzo yapi badala ya kufuata sharia za miaka yote? Ktk kilimo Bashe anakuja na hadithi za ruzuku ya mbolea tena ambayo ilitumika kupiga pesa ya serikali. Waagizaji tayari wapo wanasubili GO! Waziri Mkenda alipolinda viwanda vya sukari akaambiwa na rais hiyo ni nonsense! What a hell president is this?
Umetumia haki yako kikatiba
 
Nchi haiwezinkwenda bila private sector, mosi ndo walipa kodi na pili ndo watu wanatoa ajira kuliko serikali yenyewe,
Mama acha ajenge mahusiano mazuri na wafanyabiashara
 
The home of great thinkers! soma tena nilichoandika yaani hujaelewa kabisa!! Unatumia nguvu kulazimisha hoja yako. wasomi halisi hujenga hoja na kuziacha hoja zipingane. nina uhakika umeishi hapa nyumbani miaka yako yote! you need to study "theory of science" and "multidimensions philosophy"

in short si kila unachowaza au kujua wewe as individual ni sahihi, other people have other knowledge and experiences that you will never have

My knowledge comes from living studying and working in very rich European country for ten years ! sio nyie mnaokwenda Ulaya kwenye seminars za wiki moja mnalala hotelini huwezi kuelewa chochote! sie tumeishi nyumba za kupanga uzunguni ten years!
Pamoja na kuishi ghetto huko majuu, you have not made your point!
Ni mawazo ya ujima kutoshirikisha sekta binafsi katika mipango ya uchumi na maendeleo.
Kufikiri nchi itaendelea kwa kukamua kodi tu ni uhayawani!
 
Wengi wenye akili sasa na mama watakushangaa kama mama!

Eti Marekani, nchi zilizoendelea, wafanyabiashara n.k kweli uko hapa TZ halafu unajitia upofu kwakuwa unapata vya mseleleko sasa?

Opulesi tanganyikani
 
Ni vigumu kuamini lakini ndo ukweli kwamba rais wetu naye sasa ni mfanyabiashara mashuhuri nchini na anamiliki magari mengi ya usafirishaji. Sasa aamini nchi itaendelea kwa ushirika na wafanyabiashara. Haiwezekani! Wafanyabiashara wetu ni misheni tauni. Wapigaji wa serikali kama ilivyokuwa IPTL. Kwa kuwapa nguvu wafanyabiashara sasa wako kwenye mashirika ya uma kama ilivyo bodi ya Tanesco.

Wafanyabiashara sasa wanasafiri na Rais kusaini mikataba kama tulivyoona Rostam akifanya. Sasa wafanyabiashara hawagusiki tena. Bahati mbaya wafanyabiashara sasa wanaingiza vijana wao ktk siasa na kuwasimamia kupata uwaziri. Ilikuwa hivyo kwa akina Ngereja na Rostam wake, sasa kamchukuwa Bashe, wamo akina makamba, nk.

Tatizo linaanza kujitokeza kwenye bwawa la umeme la Mwl. Nyerere na reli ya SGR. Tunamuona rais akianza kuzungumza lugha kwamba watashirikiana na sekta binafsi. Watu binafsi waingie kuzalisha umeme kwa bwawa liliojengwa na serikali! FOOOL! SGR nayo inajengwa na serikali, eti na wafanyabiashara wanunue mabehewa binafsi kama shares zao, kama Ndugai alivyowahi ropoka Bungeni. Nchi inakufa!!

Uhusiano wa wafanyabiashara na serikali siyo wa aina hii. Wao walipe kodi tu! Mfanyabishara makini hahitaji safari ya rais ili akasaini bishara zake, huo ni mtego wa kuingiza mkono Ikulu kama ilivyo sasa hivi. Huu ni wizi na ufisadi unaoanzia Ikulu na rais naye akionesha tamaa ya kufanya biashara.

Ndo maana tunaona lugha za kusema TRA wazungumze na wafanyabiashara, mazungumzo yapi badala ya kufuata sharia za miaka yote? Ktk kilimo Bashe anakuja na hadithi za ruzuku ya mbolea tena ambayo ilitumika kupiga pesa ya serikali. Waagizaji tayari wapo wanasubili GO! Waziri Mkenda alipolinda viwanda vya sukari akaambiwa na rais hiyo ni nonsense! What a hell president is this?
Samia anawajua vizuri sana nyie tumbili na Wala hajali upuuzi wenu,She is focused kujenga Nchi..

Soma hizi statements utapata majibu 👇

2935085_FB_IMG_16307140795615105 (1).jpg


Screenshot_20220520-080847.png
 
Mawazo mgando kama haya hakika yanazidi kuididimiza nchi yetu.
Labda hizo hadithi za kijinga akawahubirie mburula wenzie ila kwa watu makini hakuna atakayemsikiliza na tutampuuza na kusonga mbele..

Rais anajua anaongoza kundi la watu wajinga na wapuuzi kwa hiyo huwa hana mda nao.
 
Je Bashe anajua kuwa huko nyuma tuliwahi kuwa na benki ya ushirika hapa nchini? Hatima yake ilikuwa nini?
Kabla ya kuridhia kuanzisha hiyo benki Ijulikane tu kuwa benki ya wakulima inaweza kuwahudumia wana ushirika kwani ni hao hao wakulima!
Bashe asome historia ya benki ya ushirika nchini kabla ya kuleta duplication ya institutions just to achieve personal gain , that will be misallocation of resources.
Duplication ya Taasisi haikubaliki na lipingwe vikali ..

Tuna Bank ya Kilimo na ile TADB kwa nini zisiwe na windows za kuwezesha wakulima? Kama kuna shida ya kisheria si wapeleke Sheria Bungeni Ili kuruhusu mabadiliko wanayoyataka badala ya kinda taasisi nyingine?..

Pili kuna banks nyingi tuu ndogo ndogo za Wananchi ,kwa nini wasianze na hizo?

Kwa hapa tuko pamoja,mimi huwa napinga Sana utitiri wa Taasisi za Umma zisizo na tija.
 
Sijazingumzia udhaifu ila nimezungumzia ujanja na ushamba, Mwendazake alikuwa mshamba watu wakalalamika ila kaja mjanja tena kazungukwa na watoto wa mjini ila bado watu wanalalamika.
Malalamiko ya Sasa ni ya mda mfupi ,kwa sababu uchumi ulioharibiwa miaka 6 haujengwi kwa mwaka mmja
 
Maoligarchies walianza kutengenezwa awamu ya nne, mwendazake akawanyamazisha na sasa wanatengenezwa upya kupitia uwekezaji kwenye miradi ya serikali, what a classical economy growth is this?!
Haya yetu macho kwa ushauri anaopewa mama.
Bora Ma olirgachi Wana faida kuliko maskini kama wewe..

Fukara kama wewe ndio umeua kilimo Zimbabwe kwa mausaha mliyojaza vichwani.
 
Umaskini ni laana. Unachukia matajiri na unasahau kuwa wao ndiyo waajiri wakubwa wa wafanyakazi kuliko Serikali.

Magufuli kwa upumbavu wake alimfilisi Yusuf Manji na akasahau kuwa Manji anaajiri watu 3,000 wanaopata mishahara moja kwa moja kupitia makampuni yake ya Quality Group na wengine zaidi ya 300,000 indirectly kupitia ununuzi wa mazao kama korosho, mbaazi na ufuta.

Hawa machinga wanaohangaika kuuza barabarani bidhaa kwa asilimia kubwa ni zao la upumbavu wa Magufuli. Kadri sekta binafsi itakavyoimarika ndivyo ajira zitatengenezwa. Rais SSH yuko vizuri kiuchumi
Tena maskini kama huyu mtoa mada wasipewe nafasi na ikibidi watokomezwe kabisa..

Kwanza waliharibu Sana biashara na kilimo yaani kila mtu akawa maskini
 
Back
Top Bottom