Rais Samia ameingia katika biashara na kuwadekeza wafanyabiashara. Nchi inakufa

Rais Samia ameingia katika biashara na kuwadekeza wafanyabiashara. Nchi inakufa

Wananufaika watu gani ; isipokuwa nyinyi Wapambe na mabwana zenu mliopanga ghorofa tatu za Ritz Carlton wakati wananchi kwenu watakufa na njaa!! Mama yako hana hata khanga unakubali kutumiwa na mafisadi kwa mshahara wa kulala hotel!
Ukifa njaa kama wewe mjinga ni faida kwa Nchi..

Faida za uwekezaji hizi 👇

Screenshot_20220520-082313.png


Screenshot_20220520-082721.png


Screenshot_20220520-154023.png
 
"Ndinani, post: 42672067, member: 25719"]
Ngedere walizalishwa na mjomba wenu wa Msoga msinsingizie Jiwe!
[/QUOTE]

Sasa kwa nini Jiwe wenu hakuwaondosha Kama wewe unaona hawafai?
 
"Ndinani, post: 42672067, member: 25719"]
Ngedere walizalishwa na mjomba wenu wa Msoga msinsingizie Jiwe!

Sasa kwa nini Jiwe wenu hakuwaondosha Kama wewe unaona hawafai?
[/QUOTE]
Hiyo kazi iliishaanza lakini haikumalizika ndio maana wameona kuna upenyo sasa wanarudi!
 
Dhalimu alikuwa anasifiwa mpaka inakuwa kinyaa, labda haukuwepo hapa nchini. Sehemu pekee alikuwa anapewa ukweli wake ni huku mitandaoni, lakini ulikuwa ukisikiliza redio, TV, magazetini nk, ilikuwa kama kapatikana masiha wa nchi hii.
Hujaona Chongolo anadai usifiaji uanze Tena vinginevyo baadhi wakosa kazi
 
Sasa kwa nini Jiwe wenu hakuwaondosha Kama wewe unaona hawafai?
Hiyo kazi iliishaanza lakini haikumalizika ndio maana wameona kuna upenyo sasa wanarudi!
[/QUOTE]

Kaianza wapi, Mapolisi majaji , ndio walewale wasukuma wenzake akina Sirro & company?
 
Ukifa njaa kama wewe mjinga ni faida kwa Nchi..

Faida za uwekezaji hizi 👇

View attachment 2231830

View attachment 2231831

View attachment 2231832
You are fooled by believing those numbers bring substantial revenue to your country not knowing that those tourists pay for a big portion of their expenses in their home countries before coming to your country !! What you get when they are in the country are just a few coins!! Mlivyokuwa wajinga hamuwezi kuelewa machinations za Hawa tourist agents!!
Mtapiga propaganda ya hiyo Royal Tour we mpaka sauti iwakauke lakini ukweli uko pale pale!!
 
You are fooled by believing those numbers bring substantial revenue to your country not knowing that those tourists pay for a big portion of their expenses in their home countries before coming to your country !! What you get when they are in the country are just a few coins!! Mlivyokuwa wajinga hamuwezi kuelewa machinations za Hawa tourist agents!!
Mtapiga propaganda ya hiyo Royal Tour we mpaka sauti iwakauke lakini ukweli uko pale pale!!
Ulitaka ni believe propaganda? Tuna believe namba wewe kenge 👇

Screenshot_20220520-083624.png


Screenshot_20220520-083547.png
 
Hiyo kazi iliishaanza lakini haikumalizika ndio maana wameona kuna upenyo sasa wanarudi!

Kaianza wapi, Mapolisi majaji , ndio walewale wasukuma wenzake akina Sirro & company?
[/QUOTE]
Ndio maana nikamwambia Hawa wali toka kwa mjomba wenu wa Msoga!
 
Kaianza wapi, Mapolisi majaji , ndio walewale wasukuma wenzake akina Sirro & company?
Ndio maana nikamwambia Hawa wali toka kwa mjomba wenu wa Msoga!
[/QUOTE]
Alishindwa nini kumuondoa Sirro Na genge lake au alimlinda msukuma mwenzake?
 
Zuzu ni yule anaelalamika kwa miayo ya njaa
I wish you were informed!! You should be guided by well defined principles kwenye Kazi yako ya ushauri usifanye au kushauri vitu kwa mazoea hata kama Vitu hivyo huviamini!! Huko mbele unaweza kuja kujuta ; hawa wanasiasa leo hapo kesha hawapo!
 
Ni vigumu kuamini lakini ndo ukweli kwamba rais wetu naye sasa ni mfanyabiashara mashuhuri nchini na anamiliki magari mengi ya usafirishaji. Sasa aamini nchi itaendelea kwa ushirika na wafanyabiashara. Haiwezekani! Wafanyabiashara wetu ni misheni tauni. Wapigaji wa serikali kama ilivyokuwa IPTL. Kwa kuwapa nguvu wafanyabiashara sasa wako kwenye mashirika ya uma kama ilivyo bodi ya Tanesco.

Wafanyabiashara sasa wanasafiri na Rais kusaini mikataba kama tulivyoona Rostam akifanya. Sasa wafanyabiashara hawagusiki tena. Bahati mbaya wafanyabiashara sasa wanaingiza vijana wao ktk siasa na kuwasimamia kupata uwaziri. Ilikuwa hivyo kwa akina Ngereja na Rostam wake, sasa kamchukuwa Bashe, wamo akina makamba, nk.

Tatizo linaanza kujitokeza kwenye bwawa la umeme la Mwl. Nyerere na reli ya SGR. Tunamuona rais akianza kuzungumza lugha kwamba watashirikiana na sekta binafsi. Watu binafsi waingie kuzalisha umeme kwa bwawa liliojengwa na serikali! FOOOL! SGR nayo inajengwa na serikali, eti na wafanyabiashara wanunue mabehewa binafsi kama shares zao, kama Ndugai alivyowahi ropoka Bungeni. Nchi inakufa!!

Uhusiano wa wafanyabiashara na serikali siyo wa aina hii. Wao walipe kodi tu! Mfanyabishara makini hahitaji safari ya rais ili akasaini bishara zake, huo ni mtego wa kuingiza mkono Ikulu kama ilivyo sasa hivi. Huu ni wizi na ufisadi unaoanzia Ikulu na rais naye akionesha tamaa ya kufanya biashara.

Ndo maana tunaona lugha za kusema TRA wazungumze na wafanyabiashara, mazungumzo yapi badala ya kufuata sharia za miaka yote? Ktk kilimo Bashe anakuja na hadithi za ruzuku ya mbolea tena ambayo ilitumika kupiga pesa ya serikali. Waagizaji tayari wapo wanasubili GO! Waziri Mkenda alipolinda viwanda vya sukari akaambiwa na rais hiyo ni nonsense! What a hell president is this?
Dah!

Nilijizuia sana kukusoma. Siku mbili nzima nikawa naona "Heading" ya mada yako, nazunguka pembeni ili nisiiangalie, kwa maana nilihisi kutakuwa na mengi yatakayonihudhunisha roho yangu juu ya nchi yetu hii pendwa Tanzania.

Nilipopata ujasiri wa kuifungua mada yako, nikaona hofu yangu ilikuwa sahihi. Ni mada inayosimulia kunajisiwa kwa waTanzania na nchi yao.

Huu utawala uliopo sasa, tena utawala ambao haukupigiwa kura na yeyote, na kwa hiyo hauna radhaa ya kufanya yanayofanyika wakati huu; ni wazi umeamua kuipeleka nchi kinyume kabisa na mwelekeo uliowekwa toka mwanzo, wa kujali maslahi zaidi ya wananchi walio wengi kwa kuinua maslahi ya wachache.
Huu utawala, umeamua bayana, liwalo na liwe; lakini binafsi naamini "LITAKUWA".
 
Ndiyo maana mijadala ya nchi hii haina manufaa. Kuna watu wanshabikia mtu kwa sababu ya urafiki wao binafsi bila kujali uharibifu unaoletwa nchini. Yaani hadi leo watu hawajaona uharibifu na mafanikio ya Magufuli. Hadi leo kuna watu hawajaona uharibifu wa Samia maana sioni alichokwisha fanikiwa. Au Royal Tour? Samia hana ufahamu wa kutufikisha kokote kwa sababu hajawahi kuwa exposed mazigira ya kufikilia kwa nguvu. Ni mtu wa taarabu na hina mikononi, basi!
 
Ndiyo maana mijadala ya nchi hii haina manufaa. Kuna watu wanshabikia mtu kwa sababu ya urafiki wao binafsi bila kujali uharibifu unaoletwa nchini. Yaani hadi leo watu hawajaona uharibifu na mafanikio ya Magufuli. Hadi leo kuna watu hawajaona uharibifu wa Samia maana sioni alichokwisha fanikiwa. Au Royal Tour? Samia hana ufahamu wa kutufikisha kokote kwa sababu hajawahi kuwa exposed mazigira ya kufikilia kwa nguvu. Ni mtu wa taarabu na hina mikononi, basi!

tuwekee mafanikio Na uharibifu wa kila Raisi, usilaumu watu

Mimi Hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliyeleta mafanikio yoyote labda kidogo saaaaana Mwinyi
 
Dah!

Nilijizuia sana kukusoma. Siku mbili nzima nikawa naona "Heading" ya mada yako, nazunguka pembeni ili nisiiangalie, kwa maana nilihisi kutakuwa na mengi yatakayonihudhunisha roho yangu juu ya nchi yetu hii pendwa Tanzania.

Nilipopata ujasiri wa kuifungua mada yako, nikaona hofu yangu ilikuwa sahihi. Ni mada inayosimulia kunajisiwa kwa waTanzania na nchi yao.

Huu utawala uliopo sasa, tena utawala ambao haukupigiwa kura na yeyote, na kwa hiyo hauna radhaa ya kufanya yanayofanyika wakati huu; ni wazi umeamua kuipeleka nchi kinyume kabisa na mwelekeo uliowekwa toka mwanzo, wa kujali maslahi zaidi ya wananchi walio wengi kwa kuinua maslahi ya wachache.
Huu utawala, umeamua bayana, liwalo na liwe; lakini binafsi naamini "LITAKUWA".

Mliivamia wenyewe Zanzibar Leo karma ya kutoa roho Za watu kwa maelfu inawatafuna
 
tuwekee mafanikio Na uharibifu wa kila Raisi, usilaumu watu

Mimi Hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliyeleta mafanikio yoyote labda kidogo saaaaana Mwinyi
Muhimu kabisa tofautisha maana ya rais na mwenyekiti wa chama cha siasa. Unapomtaja Mwinyi yaonekana ulikuwa na akili timamu wakati akiwa madarakani, tatizo hukuwa na ufahamu wa maana ya rais. Mwinyi ndiye aliyesababisha anguko la hata hayo aliyoyasema Bashe.

1-Hakuna 'structure' yoyote unayoweza kuonesha kwamba ilijengwa wakati wa Mwinyi. Hata barabara hakuna! Bora Mkapa na barabara; Kikwete na UDOM, terminal 3; Magufuli na barabara, SGR, madawati mashuleni na Nyerere Hydro.
2-Enzi ya Mwinyi Viwanda vikaanguka kwa kuruhusu biashara holela. Rukhsa!
3--Enzi ya Mwinyi ndo tuliona waarabu wakichukua Loliondo .
4-Wakati wa mwinyi ndo sehemu zote za wazi Dar zilijengwa majumba na hata shule zikanyang'anywa maeneo; Shule ya Msingi mapipa ilipiga kelele sana lakini ikapoteza eneo kwa kituo cha mafuta.
5--Enzi ya Mwinyi Mihadhara ya kutukanana kidini ilianza wakati huo
6-I-Enzi ya Mwinyidadi ya wanafunzi wasiokwenda shule ilianzia utawala wake.
7--Enzi ya MwinyiAkaruhusu madaktari kutoa huduma hospitali za binafsi na kwa Dar Muhimbili ikawa ni sehemu ya kutafuta wagonjwa tu
8-Ni rais Mwinyi aliyeongoza msafara wa TZ kwenda Rio mkutanoni kila mtu akiwa na nyumba ndogo yake kwa gharama za serikali
9--Enzi ya Mwinyi Madini yetu yalisafirishwa bila kizuizi kupitia DIA na yeyote aliyefahamiana naye
10--Enzi ya Mwinyi Uwindaji wa Tembo ulizidi hata enzi za Kikwete
11-Unafahamu sababu ya Mrema kujiuzuru uwaziri??????
n.k.
------Baadaye akaishia kupigwa kofi kwenye baraza la Idd.
 
Muhimu kabisa tofautisha maana ya rais na mwenyekiti wa chama cha siasa. Unapomtaja Mwinyi yaonekana ulikuwa na akili timamu wakati akiwa madarakani, tatizo hukuwa na ufahamu wa maana ya rais. Mwinyi ndiye aliyesababisha anguko la hata hayo aliyoyasema Bashe.

1-Hakuna 'structure' yoyote unayoweza kuonesha kwamba ilijengwa wakati wa Mwinyi. Hata barabara hakuna! Bora Mkapa na barabara; Kikwete na UDOM, terminal 3; Magufuli na barabara, SGR, madawati mashuleni na Nyerere Hydro.
2-Enzi ya Mwinyi Viwanda vikaanguka kwa kuruhusu biashara holela. Rukhsa!
3--Enzi ya Mwinyi ndo tuliona waarabu wakichukua Loliondo .
4-Wakati wa mwinyi ndo sehemu zote za wazi Dar zilijengwa majumba na hata shule zikanyang'anywa maeneo; Shule ya Msingi mapipa ilipiga kelele sana lakini ikapoteza eneo kwa kituo cha mafuta.
5--Enzi ya Mwinyi Mihadhara ya kutukanana kidini ilianza wakati huo
6-I-Enzi ya Mwinyidadi ya wanafunzi wasiokwenda shule ilianzia utawala wake.
7--Enzi ya MwinyiAkaruhusu madaktari kutoa huduma hospitali za binafsi na kwa Dar Muhimbili ikawa ni sehemu ya kutafuta wagonjwa tu
8-Ni rais Mwinyi aliyeongoza msafara wa TZ kwenda Rio mkutanoni kila mtu akiwa na nyumba ndogo yake kwa gharama za serikali
9--Enzi ya Mwinyi Madini yetu yalisafirishwa bila kizuizi kupitia DIA na yeyote aliyefahamiana naye
10--Enzi ya Mwinyi Uwindaji wa Tembo ulizidi hata enzi za Kikwete
11-Unafahamu sababu ya Mrema kujiuzuru uwaziri??????
n.k.
------Baadaye akaishia kupigwa kofi kwenye baraza la Idd.

Mwinyi alichukuwa Nchi ikiwa ni muflis. Tulikuwa tukipanga foleni mpaka ya sigara .Nguo ndio hamna , viwanda vilikufa toka wakati wa Nyerere. Kiwanda kwa mfano cha kutengeza vioo kilijengwa bila kufanya kazi hata siku moja Na watu walipelekwa kusoma Holland wakarudi hamna kazi.
Ilikuwa ukionekana Na pesa ya kigeni unafungwa. Ukivaa jeans unafuatwa Na usalama wa taifa. Colgate , miswaki ilikuwa ni kipusa. Hata sembe ilikuwa kipusa , tukaletewa mahindi ya njano ya kulishia farasi kutoka marekani. Wakati wa Nyerere hata Tv kuwa nayo ilikuwa ni luxury tena labda uitoe kutoka Zanzibar. Nchi ilipelekwa kuzimu Na Nyerere. Mwinyi akaja kuihuisha.
 
Hilo lipo ila sasa Sukuma gang wanatake advantage hiyo kwa kupotosha ukweli ionekane ni uzembe wa Serikali hii au hizo shida zimeletwa na Serikalini hii ndio maana unaona mpina anapotosha Bungeni kwamba mbolea zilipanda kwa sababu serikali iliondoa bulk procurement kwenye mbolea..

Anasahau kwamba kwenye mafuta kuna bulk procurement sijui bei zimeshuka au? Ameambiwa bei zimepanda toka Uchumi wa Dunia ulivyofunguka ,balaa likaja kuongezewa na vita ila anapotosha ukweli..

Ameambiwa akapewe tenda ya kutuletea tan 400,000 za mbolea ya Bei nafuu kaufyata..

Kama tuu Makamba JR alivyowaambia ambae anajua mafuta yanakopatikana Kwa bei rahisi aende ofisini apewe kibali alete wameufyata..Watu wa hivi Mwendazake alikuwa anawapiteza sema wamekuta Samia Muungwana.
Wewe kwa sababu ni shabiki wa huu utawala hivyo una jukumu la kusifia unayoona mazuri kwenye huu utawala na kujaribu kutetea malalamiko, hakuna kipya malalamiko na ukosoaji lazima uwepo iwe ni kutoka sukuma gang au wanaojiita wapinzani.

Wakosoaji hawakuanza kipindi cha Magu bali walikuwepo kabla na hadi sasa wapo, kuna kipindi hadi JK aliwahi kuuliza kwamba "...kwani mazuri hamuyaoni?" Maana toka huko kuna watu walikuwa wanaeleza mabaya tu wao, naona safari hii hao watu huitwa sukuma gang.
 
Dhalimu alikuwa anasifiwa mpaka inakuwa kinyaa, labda haukuwepo hapa nchini. Sehemu pekee alikuwa anapewa ukweli wake ni huku mitandaoni, lakini ulikuwa ukisikiliza redio, TV, magazetini nk, ilikuwa kama kapatikana masiha wa nchi hii.
Nani sasa hivi anaweza kumpa ukweli Samia kwenye tv au radio?
 
Back
Top Bottom