Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Tume huru inakuja, tukutane November 2025 tukumbushane.Kama tume itakuwa huru CCM itaondoka mchana kweupe
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume huru inakuja, tukutane November 2025 tukumbushane.Kama tume itakuwa huru CCM itaondoka mchana kweupe
Vp kuhusu kina Jenerali Ulimwengu au Kwa mbali Saed Kubenea??Tasnia ya habari Tanzania ni kama Gaza ilivyokaliwa na Israeli.
Israeli wana uwezo wa kuzima maji, umeme na internet.
Hivyo ikiwa vyombo vya habari vyote viko chini ya uangalizi wa wizara ya habari, TCRA na MAELEZO, basi hapo hatuna vyombo huru vya habari.
Pia waandishi wengi wa habari wa sasa wameweka uandishi wa habari na miiko yake, kanuni na miongozo kapuni na wamebaki kuwa chawa na wapokea bahasha za khaki yaitwa “chequebook journalism”.
Mnataka muibadili kwamba yote imeoza? Be specific mkuu! Kipi hasa ni kikwazo cha maendeleo kwa Watanzania ndani ya katiba?Utawala wa jiwe ulitupa somo juu ya ubovu wa katiba yetu. Hivyo ilibidi tuibadili baada ya kupewa hiyo golden chance. Lkn tunaleta mbwembwe.
Kwa sasa Mzee Jenerali Ulimwengu ndie mwandishi bora kabisa kuwahi kutokea na ni ile timu yake ya akina Johnson Mbwambo, Ayubu Rioba na wengine walokuwa wakiandika kwenye gazeti lao la RAI (original).Vp kuhusu kina Jenerali Ulimwengu au Kwa mbali Saed Kubenea??
Kikwazo ni kikubwa ni rais kuwa juu ya katiba na kumfanya awe na uwezo wa kuikamata mihimili yote 3 na hivyo kutowajibishwa alikosea.Mnataka muibadili kwamba yote imeoza? Be specific mkuu! Kipi hasa ni kikwazo cha maendeleo kwa Watanzania ndani ya katiba?
Muda ni mwalimu!Bangili ukizichoma ukivuta moshi wake sio mzuri madampo yakae mbali!
Uchambuzi mujarab!Mimi huko kwingine koote, siko. Isipokuwa niko hapa na nataka tujadiliane based on these grounds.
1. Kwanza, hicho ulichokisema hapo sio fact bali ni maoni (opinion) yako tu. Hii ni kwa sababu, unachokiita kuwa ni "fact" actually ni kauli tu ya kujipa moyo na kutoa tiba ya hofu ya muda mfupi ya walio madarakani kufurushwa kuachia hayo madaraka yaliyokwisha kuwashinda..
2. TANU ya kina Julius K. Nyerere ilipokuwa inapigania uhuru wa Tanganyika, actually mazingira yalikuwa magumu kweli. Hakuna mtu aliyeweza kuwaamini kina Nyerere kirahisi kuwa inawezekana siku moja utawala wa wazawa kuu - replace utawala wa kikoloni chini ya Mwingereza..
Watu kama wewe na kauli kama za, "...hakuna watu mbadala kum - replace mkoloni mwingereza" walikuwepo na leo wapo ukiwemo wewe unayesema na kuamini kuwa "...hakuna wa kui - replace CCM" ..
Lakini by then, out of nowhere, Mwingereza alifungasha virago na kuiacha huru Tanganyika..!
##Na actually kwa akili na ufahamu wa upeo wenu mko sahihi kabisa kufikiri hivyo kuwa "haya mambo hayawezekani, hakuna mbadala" maana ndivyo mnavyoona...
Yaani mnaiona CCM kama Goliath mwenye silaha zote na kina CHADEMA na kina Boniface Mwabukusi mnawaona kama Daudi mchunga kondoo wa porini anayeingia kwenye vita na Goliath akiwa na manati (kombeo) tu..
3. Mimi naamini kuwa, anguko la utawala wa CCM litakuja very unnoticed na watu watabaki na mdomo wazi wakijiuliza, hii kitu imekuaje..!!!
Mr Pascal Mayalla hii sasa ndiyo fact kwa sababu iko supported na;
√ Ukweli kuwa viumbe huzaliwa, kukua, kuzeeka na kisha hufa. CCM actual kimeshapita steps hizi zote. Kilishakufa kitambo. Kilichopo ni kivuli tu lakini nacho kinatoweka kwa sababu jua limekaribia kuzama..!
√ Historia ya vyama vya Ukombozi inakishitaki. Mfano hakuna aliyedhaniaga kuwa KANU ya Kenya ingeweza kupotea kirahisi vile..
Je, sasa yaweza kuwa kipindi hiki ni zamu ya CCM? Bila shaka maana ishara zote zinaonesha hivyo...
Mkuu kwa wanaoelewa na ukweli unaouficha ni kwamba, the real chance ni 2025! Shida unatumika kama hutumiki!Kwa upande wa urais, wapinzani wanashiriki kujifurahisha tuu, ila ubunge, udiwani, na serikali za mitaa ndio stahiki zao.
Kuelekea uchaguzi wa 2020 niliuliza, Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Kwa uchaguzi wa 2025 tumeisha shauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
The real chances ni kuanzia 2030!, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Hayo ni mapenzi ya MUNGUTume huru inakuja, tukutane November 2025 tukumbushane.
P
AmenHayo ni mapenzi ya MUNGU
TupambaneAmen
P
Kasi ipi are you blind?umeme shida,maji shida, safari za ovyo kila mara Nk we need changes.Kwa kasi hii ya maendeleo huyu mama tuomuongezee miaka anayotaka hapo ikulu.