Kwa JPM ilitokea kama golden chance tu lkn hatukuitumia vizuri. Na hii golden chance huwa haiji mara 2.Hujamwelewa!
Refer Kennedy, JPM n.k
Je mamlaka zao zilizuia kilichowapata!?
Kuna mungu pia na n.k!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa JPM ilitokea kama golden chance tu lkn hatukuitumia vizuri. Na hii golden chance huwa haiji mara 2.Hujamwelewa!
Refer Kennedy, JPM n.k
Je mamlaka zao zilizuia kilichowapata!?
Kuna mungu pia na n.k!
Huenda hujui maana na matumizi ya neno milele, wahenga walishasema kubwa kila chenye mwanzo kina mwisho. Mungu pekee hana mwanzo na hatakuwa na mwishoMkuu Gulwa , it's true, no research no right to speak. Mimi kwa upande wangu I did my homework well, siku zote nawaambia watu humu kuwa Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
hawaamini!.
Mtu ukiishamjua ni chizi, usimshauri chochote bali jitahidi tuu kumsitiri.
P
Nani wa kushindana nae?Hayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali.
Tuombe uzima
Mama ni neno la heshima usikasirike wewe kwenu hamna wakubwa?Acheni kumwita 'mama' mnaendeleza hisia za mfumo dume, inapotokea dosari kwake inavishwa kundi la wanawake badala ya kumtreat kama Rais wa nchi.
Mtuambie, ninyi ndio mnamsanifu, kwa kumwita 'mama' ili kumjengea mtazamo kwamba ni 'dhaifu'.
Nani asiefahamu kwamba Afrika ukisema 'mama' unamuhusianisha na udhaifu, ulegevu na kushindwa kujisimamia mpaka awepo baba?
Utamshinda kwa tume ambayo kaiteua yeye mwenyewe?Hayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali.
Tuombe uzima
Kama tume itakuwa huru CCM itaondoka mchana kweupeMkuu Gulwa , humu JF, rukhsa kujifurahisha!, kama unaamini 2015 na 2020, CCM ilishindwa ikapiga bao la mkono!, endelea kuamini hivyo!, hicho chama cha kuishinda CCM kwenye sanduku la kura, kwa Tanzania bara, bado sana!.
Sababu inayoifanya CCM isishindwe ni kwasababu CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! hivyo CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali?
P
Kama muundo wa tume utabadilika nakubaliana na wewe, ila kama NEC ni hii hii tusahauHata Trump alikuwa na hayo mamlaka,hata edger chagwa lungu alikuwa nayo,lakini hata Peter mutharika alikuwa nayo. Lakini waliondoshwa wote. Huyu mwepesi mno
Yeye ni mfia dini wala hana maoni yoyoteFaizaFoxy nasubilia maoni yako hapa
Si nasikia walitaka kuitumia former mkuu wa mabaka akatibua!!?Kwa JPM ilitokea kama golden chance tu lkn hatukuitumia vizuri. Na hii golden chance huwa haiji mara 2.
Wapo, ijapokuwa kwenye vyombo vya dola hakuna nafasi inayoitwa 'mama'.Mama ni neno la heshima usikasirike wewe kwenu hamna wakubwa?
Kuitumia vizuri unamaanisha nini mkuu?Kwa JPM ilitokea kama golden chance tu lkn hatukuitumia vizuri. Na hii golden chance huwa haiji mara 2.
Well said!Mimi huko kwingine koote, siko. Isipokuwa niko hapa na nataka tujadiliane based on these grounds.
1. Kwanza, hicho ulichokisema hapo sio fact bali ni maoni (opinion) yako tu. Hii ni kwa sababu, unachokiita kuwa ni "fact" actually ni kauli tu ya kujipa moyo na kutoa tiba ya hofu ya muda mfupi ya walio madarakani kufurushwa kuachia hayo madaraka yaliyokwisha kuwashinda..
2. TANU ya kina Julius K. Nyerere ilipokuwa inapigania uhuru wa Tanganyika, actually mazingira yalikuwa magumu kweli. Hakuna mtu aliyeweza kuwaamini kina Nyerere kirahisi kuwa inawezekana siku moja utawala wa wazawa kuu - replace utawala wa kikoloni chini ya Mwingereza..
Watu kama wewe na kauli kama za, "...hakuna watu mbadala kum - replace mkoloni mwingereza" walikuwepo na leo wapo ukiwemo wewe unayesema na kuamini kuwa "...hakuna wa kui - replace CCM" ..
Lakini by then, out of nowhere, Mwingereza alifungasha virago na kuiacha huru Tanganyika..!
##Na actually kwa akili na ufahamu wa upeo wenu mko sahihi kabisa kufikiri hivyo kuwa "haya mambo hayawezekani, hakuna mbadala" maana ndivyo mnavyoona...
Yaani mnaiona CCM kama Goliath mwenye silaha zote na kina CHADEMA na kina Boniface Mwabukusi mnawaona kama Daudi mchunga kondoo wa porini anayeingia kwenye vita na Goliath akiwa na manati (kombeo) tu..
3. Mimi naamini kuwa, anguko la utawala wa CCM litakuja very unnoticed na watu watabaki na mdomo wazi wakijiuliza, hii kitu imekuaje..!!!
Mr Pascal Mayalla hii sasa ndiyo fact kwa sababu iko supported na;
√ Ukweli kuwa viumbe huzaliwa, kukua, kuzeeka na kisha hufa. CCM actual kimeshapita steps hizi zote. Kilishakufa kitambo. Kilichopo ni kivuli tu lakini nacho kinatoweka kwa sababu jua limekaribia kuzama..!
√ Historia ya vyama vya Ukombozi inakishitaki. Mfano hakuna aliyedhaniaga kuwa KANU ya Kenya ingeweza kupotea kirahisi vile..
Je, sasa yaweza kuwa kipindi hiki ni zamu ya CCM? Bila shaka maana ishara zote zinaonesha hivyo...
Wewe hunaga hoja zaidi ya udiniNani wa kushindana nae?
Mdudu au mwambulukuku?
Upo sahihi.Wewe hunaga hoja zaidi ya udini
Ameshasema hatogombea Ngoma ngumu kakumbuka kulea.wajukuu!!Nani wa kushindana nae?
Mdudu au mwambulukuku?
Mods hamjanitendea haki, mmehariri na kupotosha kichwa cha uzi wangu bila kunipa sababu.Hayo mawili ya mwanzo yako wazi, ila hili tatu linahitaji watu wenye akili tulivu kulikubali na kulielewa. Hatakuwa rais wa kwaza kushindwa uchaguzi kwani wapo walioshindwa na kuendelea kubaki madarakani. 2015, 2020 ni mifano hai, ila kwa sasa hali imebadilika, atalazimika kukubali na kuyapokea matokeo halali.
Tuombe uzima
Hawatendi haki tena, hii siyo JF tuliyoizoea, kama imekuwa compromised vileMods tena katika moja na mbili.
Kama vipi moderators ndiyo wawe wanaanzisha mada.
Mada ililetwa nzuri mnajikuta wajuaji wa kuedit.
Of course, mwenyew nimehisi hivo.imekuwa compromised vile
Utawala wa jiwe ulitupa somo juu ya ubovu wa katiba yetu. Hivyo ilibidi tuibadili baada ya kupewa hiyo golden chance. Lkn tunaleta mbwembwe.Kuitumia vizuri unamaanisha nini mkuu?