Rais Samia amemuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa kuitisha kikao maalum cha Baraza la Vyama vya Siasa kuhusu kuanza kwa mchakato wa Katiba Mpya

Wapinzan ndiyo walioharibu mchakato sasa hivi tungekuwa na Katiba mpya walisusa wakatoka nje
Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani. Kwa taarifa yako mchakato wa katiba mpya haukusimama bali uliendelea hadi kupatikana katiba pendekezwa. Ikawa imebaki hatua ya kura ya maoni, ambayo ilisimama kupisha uchaguzi mkuu wa 2015, kisha rais ajaye amalize kura ya maoni.

Cha ajabu dhalimu alipoingia akasema katiba mpya sio kipaombele chake maana hakuahidi kwenye kampeni! Hivyo nakushauri usiwe bendera fuata upepo kwa upotoshaji kuwa wapinzani ndio walikwamisha upatikanaji wa katiba mpya, ukweli kuhusu katiba mpya ulikuwa ni huo na hapo ndio mchakato ulikwamia.
 
Hakuna katiba ya Warioba. Ile ilikuwa rasimu tu.
 
Habari kama hizi Tukia Ackson anaweza kutoroka nchi kwa kihoro.
 
Nani kama mama!
 
Kwan watu wanakula katiba jamani .mbona matatizo mengi ya watanzai you yale ya msingi sana
 
Mama anaupiga mwingi. Ni matumaini yangu kwa mwezi huu mzima CHADEMA wataimba na kusifu matendo makubwa anayofanya Mama Samia kwa demokrasia ya Tanzania. Binafsi ninashauri mchakato uanzie kwenye bunge la mabadiliko ya Katiba ili rasimu ya Warioba ijadiliwe upya na kufanyiwa marekebisho. Rasimu ya Warioba ilikuwa na baadhi ya mambo ya hovyo ikiwemo ishu ya serikali 3. Lskini kuliko kuipitisha katiba pendekezwa bora tuendelee na hii iliyopo. Ile katiba pendekezwa chini ya Chenge ilikuwa sio kabisa. Ina mapungufu mengi.
 
Kwa hiyo Rasmu ya Katiba ya Jaji Warioba imezikwa rasmi?
 
Ana play Smart kuna kitu ame target...
 
Ulitaka afanye haraka nani!? Kwani mama ameingia lini mjengoni!? Kw nini tusishukuru hata kwa mawazo yake tu ya kufikiria kurejesha mchakato wa katiba mpya kwa kipindi hiki kifupi tu cha uongozi wake!?
Mama anastahili pongezi kubwa saaana


Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
Endelezeni hoja zenu zisizo na mashiko halafu mgomee mchakato wa katiba mpya Kama mlivyofanya kipindi kile
Hakuna hoja ambayo haina mashiko kwasababu hoja zote zinajadilika.Katiba sio ya wapinzani ni katiba ya nchi.
 
Inahitaji maboresho kwasababu mambo mengi yalishajadiliwa.
Mi naona sehemu ambayo italetea taifa shida ni swala la 50/50 kuna vihiyo wengi watapita na itakuw ahasara kwa taifa
 
Wapinzan ndiyo walioharibu mchakato sasa hivi tungekuwa na Katiba mpya walisusa wakatoka nje
Wapinzani waliharibu vip wakati wao walikua wajumbe tu?.Mwenye mamlaka yakuanzisha mchakato ndiye aliyeharibu mchakato.Aliyeanzisha mchakato angekua na nia yakuuendeleza mchakato katiba mpya ingepatikana kwasababu katiba mpya ni ya nchi sio wapinzani au wanasiasa.Wanaotakiwa kuulizwa ni Ccm na serikali yake,kwasababu wao ni wa kwanza wanaotakiwa wanaipatia nchi katiba bora.
 
Takataka ya chooni inatupotezea muda wetu bure[emoji90][emoji90][emoji90]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…