Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hayo,;Kuh:Baraza la Vyama la Siasa, Upande mmoja ni kutokana na vuta nikuvute ya yanyojiri nyuma ya pazia ya kinachoitwa "maridhiano"(mashauri) au kwa lugha nyepesi, mikutano ya siri kati ya CHADEMA na CCM na Upande wapili Ni danadana za, Kwanza, Mwenyekiti wa CCM na, Pili, RaisiAmiriJeshiMkuu Dakta Mama. Yaani ndie atakayechukua Credit hapa kama nipe nikupe. [I am assuming A give and take scenario.] CCM au Raisi au Mwenyekiti-take your pick-anatoa maelekezo! pili CHADEMA wanasita-wanakoma kuwa vinara, manake bila hivyo mchakato mzima unaweza kususiwa na Vyama Vingine....CUF, ACT, Umoja?? kwa kutokuhusishwa, kwani tuliona hata pale Bwana Tundu alivyoondoka ghafla kwa kile ninachokiona kama[alijisikia kama mtazamaji]kwani hakuhusishwa na wala hakuwa na usemi kwenye mikutano ya siri(maridhiano) au kwa Lugha ya CHADEMA "Kivutio" tu n.k Ila basi."kikao maalum cha Baraza la Vyama vya Siasa" Yenye lengo..." lakutathmini utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazi kilichokuwa kikiratibu maoni ya watu kuhusu demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini"
Halafu..."wakati wa kikao kilichofanyika Ikulu ya Chamwino, kilichohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali kuhusu kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya."
Mpira upo kwenye "tathmini" ya utekelezaji, ikiwa ina maana Mapendekezo yapo, Je, Vyama Vya Siasa vinakubalina na Mapendekezo ya Kikosi kazi yaliyojumuishwa na mashauri ya CCM CHADEMA? Sasa Vyama vikubaliane, mapendekezo yatekelezwe na kukubaliana, Bunge maalum liitwe(emergency?) muswada wa marekebisho fulani yafanyike, huu wote ni muda(CAG RPTkalaghabao) Uchaguzi ufanyike angalabu wa mitaa halafu ndio Mchakato uanze? Aisee-nakubalina na wengi hapa ni kuchezea muda.Wakati huo huo....
Kumbe katiba ni ya wanasiasa! Siyo ya wananchi?Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhes. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi, kuitisha kikao maalum cha Baraza la Vyama vya Siasa.
Lengo ni kuwashirikisha wadau katika kutathmini utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazi kilichokuwa kikiratibu maoni ya watu kuhusu demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao kilichofanyika Ikulu ya Chamwino, kilichohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali kuhusu kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya.
Kikao hicho kimejadili namna ya kushirikisha wadau mbalimbali na hasa ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato huo kutoka pande zote mbili Tanzania Bara na Zanzibar.
Mbali na mchakato huo wa Katiba mpya, masuala mengine yanayotarajiwa kushughulikiwa ni marekebisho ya sheria mbalimbali zinazohusiana na uchaguzi; zikiwemo Sheria ya Tume ya Uchaguzi, Sheria ya Vyama vya Siasa na Sheria ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria kikao hicho ni pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na watendaji wa taasisi mbalimbali.
View attachment 2612539
Sio kweli, mchakato ukianza mwamko utakuwa mkubwa kweli kweli Watanzania sio wajinga ki vile kama unavyowafikiria.Katiba mpya ni sawa na kutanguliza mkokoteni mbele ya farasi.
Bila kupanua uelewa wa wananchi katika mambo yao ya msingi katiba mpya haitawanufaisha kwa lolote lile zaidi sana ni kwa manufaa ya watu wale wale wanaonufaika nayo kwa Sasa.
Unatangaza ushindi hata game haijaanza ? kweli mmetisha ila msije tena mkasema kocha wa upande wa pili ndio alikuwa refa na kamisaa wa mchezoHUU NI USHINDI MWINGINE MKUBWA KWA CHADEMA. Najua hamtakubali ila ukweli ndio huu
At least, tuweni wakweli, yule jamaa hakua na utuUnatangaza ushindi hata game haijaanza ? kweli mmetisha ila msije tena mkasema kocha wa upande wa pili ndio alikuwa refa na kamisaa wa mchezo
danganya totoRais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhes. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi, kuitisha kikao maalum cha Baraza la Vyama vya Siasa.
Lengo ni kuwashirikisha wadau katika kutathmini utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi Kazi kilichokuwa kikiratibu maoni ya watu kuhusu demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini.
Rais Samia ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao kilichofanyika Ikulu ya Chamwino, kilichohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali kuhusu kuanza kwa mchakato wa Katiba mpya.
Kikao hicho kimejadili namna ya kushirikisha wadau mbalimbali na hasa ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato huo kutoka pande zote mbili Tanzania Bara na Zanzibar.
Mbali na mchakato huo wa Katiba mpya, masuala mengine yanayotarajiwa kushughulikiwa ni marekebisho ya sheria mbalimbali zinazohusiana na uchaguzi; zikiwemo Sheria ya Tume ya Uchaguzi, Sheria ya Vyama vya Siasa na Sheria ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria kikao hicho ni pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na watendaji wa taasisi mbalimbali.
View attachment 2612539
Maoni ya Wananchi anayo Warioba loooongi!Msisahau kuhusisha wananchi katiba sio ya wanasiasa.
Haya mambo ya kila kitu kuhodhiwa na wanasiasa sio sawa.
Tunahitaji katiba ya warioba iboreshwe sio kutumia pesa za walipa kodi kuhudumia matumbo ya wanasiasa tena kwa mara ya pili!!!.
Katiba tunahitaji lakini sio lazima tuandike tena hasara ya mabilioni wakati tulishapata hasara uko nyuma ebu tuendelee mchakato sio kuanza upya.!
[emoji23][emoji23][emoji23].... Huyu ndio Mama wa [emoji1241][emoji1241]
Kiongozi wa mfano ambaye dunia ilikuwa inamsubiri kwa hamu kuu.
Halafu kuna mtu anataka kumfananisha Dr Samia Suluhu Hassani na matakataka mengine yale yaliyopita kuleeee
Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app