James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Nimefurahishwa sana na kitendo cha Rais wetu mpendwa cha kutangaza bayana azma yake ya kukalia kiti cha urais kwa muhula mwingine.
Binafsi nafikiri amefanya kitu cha msingi kwa kuwakatisha tamaa wale wenye uchu wa madaraka ili wapate kuendelea na shughuli zao za kawaida.
Bila shaka sasa watu wataanza kufanya kazi za kujenga nchi na kuachana na mawazo ya kugombea urais 2025.
Binafsi nafikiri amefanya kitu cha msingi kwa kuwakatisha tamaa wale wenye uchu wa madaraka ili wapate kuendelea na shughuli zao za kawaida.
Bila shaka sasa watu wataanza kufanya kazi za kujenga nchi na kuachana na mawazo ya kugombea urais 2025.