Rais Samia amepoteza mwelekeo mapema sana, hawezi kutoboa!

Rais Samia amepoteza mwelekeo mapema sana, hawezi kutoboa!

Hakuna lolote! Mama yuko njia sahihi kwa agenda alizojiwekea.

Kawafanyia CHADEMA mengi kwa muda mchache mkaanza dharau na matusi...
Hivi yupo pale kwa ajili ya CHADEMA na si kwa maslahi ya Mtanzania mpenda Uhuru na maendeleo?Jitahidi kutumia huto tu-akili tuchache ulizobakiwa nazo!😝😝😝😝
 
Hizo ni fikra zako na mtazamo wako South Africa wana katiba bora kabisa cha ajabu mtu aliyefanya ufisadi anatetewa na wafuasi wake katiba siyo muarubaini, Kenya pia kuja katiba mpya lakini ufisadi kama kawaida.
Yaani South Africa wanamtetea mwizi kwa kufanya wizi mkubwa zaidi!.

Wale jamaa kama wasingekuwa wanaishi na watu weupe kutoka nje ya bara hili wangekuwa malofa tu kama kina Tanzania, Malawi, Zambia na wengine wa ukanda huu.
 
Ukishaona Rais fulani wa Afrika marafiki zake na nchi wahisani wake wakuu ni Burundi na Zimbabwe jua kuwa hamna Rais humo.

AUUsW.jpg
 
Ukishaona Rais fulani wa Afrika marafiki zake na nchi wahisani wake wakuu ni Burundi na Zimbabwe jua kuwa hamna Rais humo.

View attachment 1857880
Huwezi kuchagua jirani yako kwa maana ya nchi zinazokuzunguka ndio jiografia ya dunia ilivyo.

Unachotakiwa kukifanya ni kuangalia fursa za kiuchumi zilizopo ndio serikali inachofanya.

Huo ukanda wa DRC, Rwanda na Burundi unazo fursa nyingi sana za kiuchumi na bandari yetu inahesabu faida nyingi za miaka michache ijayo.
 
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe, bila ya kujali kada zetu na kwa wakati huu haswa viongozi wa chama tawala na serikali ndiyo waonyeshe mfano katika kuchangia uchumi wa nchi wajitolee hali na mali kwani wao ndiyo wawakilishi wa wananchi na ndiyo wenye vipato vya uhakika.
Uongozi ni jukumu kubwa, na miongoni mwa majukumu hayo ni kuhakikisha hali za wanao ongozwa zina kuwa nzuri, CCM inabidi ijitathmini kwani takriban miaka 60 inaongoza nchi bado wananchi wanalalamika kuhusu maisha, bali tunawaona viongozi wa chama na serikali ndiyo wanakuwa na maendeleo, kwa kweli inatia uchungu kuona nchi iliyokuwa na kila neema lakini asilimia kubwa ya watu wake wapo kwenye umasikini mkubwa. Na tatizo lingine ni kutumia kila kitu kuwa ni siasa, tumepika takwimu za ajabu na sasa tunaambiwa kuwa tupo kwenye uchumi wa kati, tukaamini uongo wetu, sasa inatugharimu kwa uongo huo, tungekuwa tuna uchumi wa kati tusingesikia haya malalamiko mitaani.
 
Huyu mama wengine tunamjua since day one kwamba ni mweupe, hauna kitu tukawa tukisema tunaonekana ni team mwenda zake tusiomtakia mama mema, tukajinyamazia.

Sasa ona hata miezi 4 hajamaliza ni malalmiko kila kona.

Mama hakua amejipanga kwa uongozi mkubwa wa nchi na wala hakutarajia ndio maana hana sera wal hoja anayoisimamia.

Watu mlikimbilia kumsifu eti anaupiga mwingi, sasa hivi anafanyaje, anapiga penalti?😂 Na bado.
 
Hakuna lolote! Mama yuko njia sahihi kwa agenda alizojiwekea.

Kawafanyia CHADEMA mengi kwa muda mchache mkaanza dharau na matusi.

Tukawaonya ya kuwa mtafanya mama akaze kamba na wahanga mtakuwa nyie!

Mama endelea kuupigia mwingi. HAKI, NIDHAMU, NA WAJIBU!

Kazi Iendelee!
Mjazeni upepo tu, mwisho wake mwaujua
 
Hizo ni fikra zako na mtazamo wako South Africa wana katiba bora kabisa cha ajabu mtu aliyefanya ufisadi anatetewa na wafuasi wake katiba siyo muarubaini, Kenya pia kuja katiba mpya lakini ufisadi kama kawaida.
Kwahiyo sisi ni wajinga kiasi ambacho hatuwezi kutengeneza katiba yetu bora itakayorekebisha mapungufu uliyoyaona kwenye hizo nchi.au hujui maana ya katiba?
 
Back
Top Bottom