Rais Samia amepoteza mwelekeo mapema sana, hawezi kutoboa!

Mkome naona wapinzan mliona mmepata dirisha! Dirisha closed mnahaha.

Aliyekuwa anajua mafanikio mazuri na aliyekuwa anatupeleka vzr ni JPM.

Hakuna kitu kizuri kama unatoa kodi na unaona mabadiliko katika nch yako.
Hapa saivi ni kuombeleza misaada kila siku tumeongea na nchi fulani...tumeongea na nchi fulani wameahid kutisaidia
(Back utumwani)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Tumuombee peke yake hawezi. Yeye ni mwanadamu tuu.Mungu ampe unyenyekevu na busara.
Tumuombee MTU mwenye kiburi?.wewe MTU anatusalimia kwa jina LA jamuhuri tunamuombea kwa Mungu yupi?,wa jamuhuri au?.acha ademke anavyoweza tutakutana 2025
 
Huyu Mama wa kambo tunatakiwa tumuue kama yule Baba wa kambo kutoka Chato.
 
Maneno mengi kumbe essense ni hiyo mambo ya Katiba ya kuibeba Chadema.

Hiyo mtaipata labda 2125, mengine unayoongea ni hadithi za kufikirika unazotaka zitokee unfortunately itaishia kuwa Dua la kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…