Rais Samia amepoteza ushawishi kwa wananchi

Rais Samia amepoteza ushawishi kwa wananchi

Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Ukweli wanaujua sn kuwa huyu bibi hana mvuto tena
 
Subiri uchaguzi utajua ushawishi umepotea au upo.

Mama hana mda wa propaganda na kujitutumua ,kutukana na kudhalilisha watumishi,kujifanya anamjua Sana Mungu na upuuzi mwingine kama mwendazake.

Anachapa Kazi kimya kimya.
Kukamata watu ndiyo anachapa kazi na kuongeza ugumu wa maisha
 
Nikikumbuka zile siku za mwanzoni mwanzoni nilikuwa napaki boda boda yangu pembeni kusikiliza hotuba natamani kulia walahi, walau zile bukubuku za wateja niliowakosa zingenisaidia kuongezea kwenye mahitaji.[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Hahahaha
 
Hayo ni mawazo yenu Wana chadema
Mama ana wafuasi kibao na tumeridhika na mambo anayoyafanya
kwanza hatuna uchovu wa kisiasa kwani Mwendazake ameshaondoka na tumegundua tulipigwa sana akiwemo Gwajima na Makonda
Pia Mama ni mvumilivu sana kuna ka kitu kanaitwa mfumo dume kanamtaka aondoke
Ungesikiliza Bunge leo ndio ungejua Mama anahitajika kwa miaka mingine 9
hata Clouds 360 huko Mbeya wananchi wanamkubali sana
Mahali wanapomkataa kwa asilimia chache ni JF na Chadema,
lkn TLP, ACT wote wameridhika
Ng'onbe ndama
 
Mwanzo huyu mama alikuwa anenda vizuri sana ila sasa naona lile kundi maarufu limeshampoteza tena kwa makusudi ili aonekane hafai.
Kundi la sukumagang alishaliondoa Sasa ni zenjigang na Msoga gang.
Usihusishe Tena Hilo kundi.
Akifanya mazuri asifiwa yeye akikosea sukumagang inalaumiwa😆😆😆
 
Kundi la sukumagang alishaliondoa Sasa ni zenjigang na Msoga gang.
Usihusishe Tena Hilo kundi.
Akifanya mazuri asifiwa yeye akikosea sukumagang inalaumiwa[emoji38][emoji38][emoji38]
Aukuma gang ni hatari sana
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Kabakia kuimba ngonjera na kudemka tu kama wazanzibari wengi walivyo!
 
Tuko vyuoni tuliaminishwa Mwinyi hafai, tukapoteza tukafukuzwa vyuoni na vyuoni vikafungwa kwa mwaka mzima, akaja Mkapa tukaambiwa hakufai, akaja Kikwete tukaaminishwa hafai, akaja Magufuli tumeambiwa hakufaa. Na sasa yuko Samia tukaambiwa hivyo hivyo, na wote hawa wana staili tofauti ya Uongozi.
Jee nyinyi mnaona nani anafaa Lissu?, Mbowe? au nani?

Mnacho sahau hawa ni kuwa viongozi hawa wote ni wa Tanzania wenzetu tunaongea nao, tunakunywa não, tuna cheka não na tunasikitika não.

Tuna wafahamu uzuri, Ubaya na upungufu wao. Mnapo tushawishi kuwa wanafaa watu pumbavu pumbavu mnafanya kila mnae ona anafaa tumuangilie kwa jicho la tatu, na tunapogundua hafai hatuwasikilizi tena..

Watanzania tunapata viongozi kutoka miongoni mwetu na uwakilishi wa sisi tulivyo na sio kutoka mbinguni.
😍
 
Ukitaka utujue baadhi ya vijana wa kitanzania kuwa tunapenda kuendekeza SIASA zenye "petty issues" na si "substantial" basi angalia tu jana baada ya mh.Spika kuteleza ulimi wake....WATU WAMEACHA YOTE YA MAANA NA "KUSEREREKA" na "ulimi ulioteleza"......

Vijana hao HUTULAZIMISHA ya kuwa kila RAIS ACHAGULIWAYE HANA UZURI....AMA AMEPOTEZA USHAWISHI.....

Ukiwafuatilia utamaizi ya kwamba HUTAFUTA VITU VINAVYOWAFURAHISHA JUU YA KIONGOZI(RAIS)...kinyume na hapo huwa mbaya.....Sasa RAIS ANAONGOZWA NA "RIMOTI ZILIZO MIKONONI" mwao ?!!! 😲😲😲


HASHTAG CCM IENDELEE TU KUITAWALA HII NCHI
 
Vichekesho vikubwa hivi 🤣🤣🤣

Vijana wa upinzani hawatokaa KUISIFU SERIKALI YA CCM....abadaan

Kazi Yao ni kulaumu tu....
Kazi yao ni kushambulia tu...
Kazi yao ni KUZODOA NA KUDHIHAKI tu.......

Kwao akipatikana Rais asiyetokana na CCM atakuwa ni Rais bora aliyetoka "mbinguni".......

ENDELEENI TU KUUFUKUZA UPEPO


Mh.Rais amesaidia kuipunguza TOZO YA MIAMALA YA SIMU KWA 40%....

#SiempreJMT
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani
Anasema kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Unadhani kila mtu ana muda mchafu??? Mama Samia na team yake wapo busy kuwahudumia Watanzania. Nyinyi endeleeni na tafiti
 
Ukitaka utujue baadhi ya vijana wa kitanzania kuwa tunapenda kuendekeza SIASA zenye "petty issues" na si "substantial" basi angalia tu jana baada ya mh.Spika kuteleza ulimi wake....WATU WAMEACHA YOTE YA MAANA NA "KUSEREREKA" na "ulimi ulioteleza"......

Vijana hao HUTULAZIMISHA ya kuwa kila RAIS ACHAGULIWAYE HANA UZURI....AMA AMEPOTEZA USHAWISHI.....

Ukiwafuatilia utamaizi ya kwamba HUTAFUTA VITU VINAVYOWAFURAHISHA JUU YA KIONGOZI(RAIS)...kinyume na hapo huwa mbaya.....Sasa RAIS ANAONGOZWA NA "RIMOTI ZILIZO MIKONONI" mwao ?!!! 😲😲😲


HASHTAG CCM IENDELEE TU KUITAWALA HII NCHI
Wanasema wamefanya tafiti.

Tafiti my fooòooooooooot
 
hata zile siku 100 za mwanzo zilikuwa za kumpamba tu promo ilikuwa nyingi hakika kama Taifa tuna kazi ila tusiache kumuomba Mungu atuvushe.

samia anaweka rekodi ya rais aliechukiwa mapema na wananchi kabla ya kumaliza hata miezi 6 ya uongozi wake.
 
Huu ndiyo ukweli, bila kumung'unya maneno rais Samia hana ushawishi mkubwa kwa wananchi.
Nimezunguuka mitaani na kutaka kujua maoni ya wananchi juu ya Rais Samia, wengi ninaozungumza nao ni kama wamepoteza hope kwa rais Samia.

Lakini kitu kingine nilichonotice ni kuwa wananchi wako aware sana na yanayoendelea nchini ila wengi wana fatigue (uchovu wa kisiasa) baada ya system systematically kutumia nguvu kubwa kuvunja taasisi huru za kisiasa nchini.

Hii systematic approach ya dola kusilence wananchi na Taasisi zao za kisiasa imeanza kupelekea imani kwa wananchi kuwa siasa pengine siyo njia itakayopelekea mabadiliko ya msingi katika nchi yao.

Kuna watu wanawaombea mabaya viongozi wao, wanatamani mabaya yawafike n. k

Pia hali ngumu ya maisha, bei za mafuta ya kula, sukari, tozo, miamala, kodi za Luku na huduma mbalimbali kuwa juu kumeleta kinyongo kikubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali ya Samia.
Pia na kauli zake tata kama vile wananchi wamekubali tozo etc

Pia Chadema ina wafuasi wengi nchini, wananchi wengi wenye kufuata siasa za mrengo wa upinzani wana chuki na Rais Samia, wanamuona kama muonevu, mtu anayeendesha nchi kwa kufuata siasa za kibabe, hii ni kutokana na kuamua kutumia ubabe kuvunja katiba na sheria hasa inapokuja suala la vysma vya siasa kufanya siasa

Huku mtaani, wananchi hawamuelewi kabisa Samia, tofauti na zile siku zake 100.

Kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe namna Samia alivyopoteza Support mtaani

JPM anawacheka huko aliko. Maana zile siku 100 kuna watu walisahau kwamba mambo huwa hayabadiliki kirahisi kama wanavyotaka
 
Anasema kama hawaamini basi wafanye tafiti watajionea wenyewe

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Unadhani kila mtu ana muda mchafu??? Mama Samia na team yake wapo busy kuwahudumia Watanzania. Nyinyi endeleeni na tafiti
🤣🤣

Mh.SSH yeye anawaza yafuatayo-

-Aendelee kutoa ajira zaidi ya zile 8000 za TAMISEMI+ WIZARA YA AFYA(ikumbukwe ilipita miaka mingi mno hazipo)

-Atimize ahadi yake ya kuwaongeza mishahara watumishi wa umma mwaka ujao wa fedha

-Amalize miradi ya kimkakati(BWAWA LA UMEME MWALIMU NYERERE ,SGR ,MELI MPYA ,UPANUZI WA BANDARI n.k

-Ainue kilimo kwa kujenga barabara mpaka mashambani.....

-Aongeze VITUO VYA AFYA maeneo yasiyofikika kirahisi kwa ajili ya UZAZI SALAMA

Mh.SSH hafanyi TAFITI KOKO....ANATENDA......
 
Back
Top Bottom