Rais Samia amepoteza ushawishi kwa wananchi

Tanzania ina bunge au kikundi cha wahujumu uchumi wa taifa?
 
Hawawezi kukuelewa kamwe.

Hawa ni watu ambao wanapigania maslahi yao binafsi
 
Huwezi kupendwa na kila mtu lakini ukubalike na asilimia kubwa ya unaowaongoza.

Kama asilimia kubwa haikukubali ujue kuna walakini..!
 
95% wanamkataa. Anatumia ubabe, analeta umaskini kwa raia wake yaan ni mateso mateso.

Kapunguza kwenye tozo kaongeza kwenye mafuta....
 
Yesu alichukiwa na baadhi ya watu, Mtume Muhammad (s.a.w) alichukiwa na baadhi ya watu sembuse Mama Samia??

Mama amepikwa akapikika, anajua kwamba hata afanye nini hawezi pendwa na kila mtu.

Kwahiyo yeye anapiga kazi tu.
 
Leo ndio mnajua Bora jiwe alikuwa muwazi????

Mta....mba cheche safari hii.

Si mnajifanya hamuelewi nyie
 
Mm sijawahi hata kukaaa kusikiliza hotuba zake sijui hata kwa nn maana naishiaga kushikwa hasira tu.Mzee wa chato alinifanya mpaka niipende tbc taifa maana ulikua ukisikia mwamba anahutubia unajisikia raha na kupata matumaini kua nchi inakiongozi.
 
Reactions: nao
Mama ameshapoteza usikivu amekuwa kama mtangulizi wake.
Hahaahaahahahahahahaah.

Alipoamua kuwa msikivu na kuongoza kistaarabu mlimtangazia mtamnyoa.

Sasa vilio kila kona. Ni kwa kwaaa kwaaa kwaaa. Ni vilio vya mbwa koko tu huko
 
Tafiti gani ni "pang'ang'a" tu 🤣🤣
Wakimaliza kufanya tafiti itakuwa ni July 2025. Tume ya uchaguzi itatoa masharti na miongozo na wao kwa kuwa kila wakiitwa na tume hawataki basi watakosea masharti na miongozo yote.

Kitakachofuata ni wao mapambano na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. 25th October 2025 wakipasuliwa tutakayoyaskia ni vilio

😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Mama ana mikakati mizito.

Nimepata kuhudhuria tafrija flani huku Mama alivyokuja juzi. Kwa kweli Mama yuko vizuri mno!

ANAUPIGA MWINGIIIIIIIIIIIII

Watakaa tu kudaadeki
 
Tangu julai nilipoteza matumaini maana lile punguzo la Payee ya asilimia 1 kuwa sh 2500/= liliniletea maumivu makali maana ahadi yake aliyoitoa mei mosi ikawa ni uwongo dhahiri
 
Nijuavyo hakuna wakati wowote Tanzania hii kulikuwa na hali nzuri kiasi cha kumridhisha kila mtu lakini wakati wa Magufuli ilikuwa watu wakilalamika waliishia kubezwa na kutukanwa tu.
 
Nijuavyo hakuna wakati wowote Tanzania hii kulikuwa na hali nzuri kiasi cha kumridhisha kila mtu lakini wakati wa Magufuli ilikuwa watu wakilalamika waliishia kubezwa na kutukanwa tu.
Zamani mimi nikiwa natembea barabarani,nikiona noah nyeusi imenipita na kusimama mbele nageuza njia haraka sana,,nikiona imepark mbele hiyo njia sipiti ng'o[emoji23][emoji23]
 
Nakubaliana na wewe kiukweli mama Samia ni kana kwamba Kuna watu kawaachia nchi waongoze and kwakweli atapata tabu Sana 2025, alianza vzuri ila mvuto wake kwa Sasa umeporomoka kafanya tofaut namatarajio ya wengi
 
Sio kweli mimi nimshabiki wa mama na alipoingia nilitegemea makubwa na mabadiliko makubwa ila naona Kuna watu wanampoteza mama wanataka aendeshe nchi kama magufuli hii imempunguzia mvuto Sana na sikweli kwamba ni kwa wapinzan pekee, kumbuka siku 100 za kwanza kila pande ilimkubali ila kwa Sasa Sio siri amepoteza mvuto
 
Zamani mimi nikiwa natembea barabarani,nikiona noah nyeusi imenipita na kusimama mbele nageuza njia haraka sana,,nikiona imepark mbele hiyo njia sipiti ng'o[emoji23][emoji23]
Inatakiwa mtu uwe na amani ya nafsi hata kama huna hela sio kutishana tishana kila wakati,sijasikia muda mrefu viongozi kutia ndani watu hovyo wala mtu kucharazwa bakora hadharani.
 
sasa hivi tunakatwa tozo baada ya hapo tunakatiwa umeme. a collapsing corrupt regime.
 
Umeambiwa Fanya utafiti

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
When she firstly came into power, people were optimistic that maybe the country could return to sanity.

Unfortunately, they didn't know that the newly introduced head of state had inherited the same repressive and utterly ruthless machinery with which her predecessor used to bulldoze the nation with relish.

Now that that has become known to the majority of her subjects is the main reason why her approval rating has quickly plummeted and will definitely continue to fall alongside the party she leads.

For a considerable period of time now, the ruling party has been heavily relying on the brutal state security apparatus to survive in power against the people's will backed by the existing authoritarian constitution.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…