Mdudu Mende
Member
- Mar 31, 2021
- 78
- 120
Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna.
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna.