Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Dodoma inaelekea kwa mwenyewe.Amerudi tena Dar es salaam si angetua Dodoma Ikulu au ndiyo amehamia kabisa Dsm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma inaelekea kwa mwenyewe.Amerudi tena Dar es salaam si angetua Dodoma Ikulu au ndiyo amehamia kabisa Dsm?
Awe makini asituletee tanzia jingine hapa.Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna.
Kwa maoni yako hata yeye kupotea ni sawa? Au wewe kupotea?Kwa covid nitamshukuru JPM daima kutupa imani, wacha wachache wetu wapotee,wengi wapone.Hatuna uwezo control hiyo kitu mbali ya kupoteza rasmali,muda ,pesa...Kama PM UK,German waliugua iweje sisi huku?
Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna.
Nani anataka kukaa kwenye vumbi kule [emoji1][emoji1] maji yenyewe yanachumviAmerudi tena Dar es salaam si angetua Dodoma Ikulu au ndiyo amehamia kabisa Dsm?