Rais Samia amerejea Tanzania na hakuwa na barakoa

Rais Samia amerejea Tanzania na hakuwa na barakoa

..kuna uwezekano mkubwa huyu mama alishachanjwa..labda chanjo za wachina walipokuja kipindi kile..au akipenda kimya kimya ulaya kuchanja Kama kina mbowe...hawa viongozi wetu kuna mambo mengi hawatuambii...
 
Vifo bado vingi tu viko mitaani na wengi ni watu wa kawaida ndio maana hizioni Tanzia himu.
Sio kweli,kama vifo ni vingi,hao wafiwa wanafurahia watu wao waendelee kufa huku wakiwa kimya?unaweza kuvumilia kuona mke na watoto wako wamekufa halafu ukaa kimya...?
 
Kidiplomasia ni lazima uheshimu matakwa ya mwenyeji wako.

Ni bahati mbaya sana hapa mwanzoni tu, tayari Uongozi wa Mama huyu washenzi na walio na upungufu wa hikma wameunajisi na kufitinisha kwa Watanzania walio wenge kwa kuamua kumnanga mwendazake JPM.
 
Nyie fanyeni kumzarau Rona tu,endereeni ivo ivo ,yaani msije mkauriza yuko wapi nani na anafanya nini ,mnajibiwa yupo wapi na anachapa kazi ikimaliziwa na saraamu anawasarimu sanasana anasema endereeni kuchapa kazi yupo pamoja.
Siku ya siku mwimbo wa taifa saa sita za usiku yaani watu wanarisiana tu ,bonge la mtindo.
halafu mzarau mwiba mguu huvimba au hugeuka tende kabisa ,Jamani si aibu kuvaa barakowa.
 
Kuna mijitu imezoea aibusana, eti ndege ziuzwe zote, alafu rais angepanda nini.
Ivi hamuoni fahari rais wetu natimuyake anavyo tumia ndegezetu??.

Au mnataka tuwetunakodi ili mpige ten pasent kwenye malipo??.

Daah wapiga dili ni cansa kwenye Africa yetu hii.

R.i.p. Magu
 
Amerudi tena Dar es salaam si angetua Dodoma Ikulu au ndiyo amehamia kabisa Dsm?​
Arudishe na jiji letu kabisa. Kwenda kuungua Dodoma na maji ya chumvi. Kaa Magogoni mama. Taratibu tutaelewana tu.
 
Unaweza kuja na viraant tofauti na huu tulionao.
 
..kuna uwezekano mkubwa huyu mama alishachanjwa..labda chanjo za wachina walipokuja kipindi kile..au akipenda kimya kimya ulaya kuchanja Kama kina mbowe...hawa viongozi wetu kuna mambo mengi hawatuambii...
Hahaha Jiwe pia alisemwa kuwa kachanjwa chanjo ila sisi anatuzuga na kututoa kafara, lakini Museven kachanjwa ila bado anavaa barakoa. Nakumbuka pia tuliambiwa hawa viongozi hawavai barakoa kwa kumuogopa Magufuli ila Magu kafa na ila bado hawavai.

Kwamba Rais Samia awe anajua kabisa kuwa Jiwe kafa kwa corona ila bado yeye havai hata barakoa,hii ngumu kumeza.
 
Ni ubishi tu Wa mwendazake.. ILA kiukweli IKULU YA DODOMA HAIJAKAMILIKA .. KIUSALAMA HAIFAI KUTUMIWA NA RAIS KWA MAKAZI na utendaji wa KILA siku.. Hivyo ni Bora mara Mia Kubaki Dar. Hadi Ikulu mpya Itakapokamilika Na kufunguliwa rasmi ndipo Amir Jeshi mkuu Atahamia.. KWA watendaji wengine wa Selikali ni Sawa Kuhamia DODOMA maana hawaishi OFISINI wanarudi majumbani mwao tofauti na RAISI.
Kwa mawazo ya hivi acha Ibrahimovic aendelee kutuita Child Monkeys.All in All They want to destroy all Projects that were Implemented by Late Magufuli.
 
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
Tumwombee afya na kazi njema.

Nashauri Mama unaposoma hotuba usijishikeshike usoni na puani maana wadudu waharibifu wanaweza kupandikizwa kwenye hotuba.

Tunakupenda Mama Samia
 
Sio kweli,kama vifo ni vingi,hao wafiwa wanafurahia watu wao waendelee kufa huku wakiwa kimya?unaweza kuvumilia kuona mke na watoto wako wamekufa halafu ukaa kimya...?

Watu wanakufa mmoja mmoja. Wingi au uchache ni suala la sera ya nchi kuhusu thamani ya uhai wa raia wake. Marekani vifo vilipofikia laki moja, suala la covid-19 lilikuwa nyeti serikalini. Hapa kwetu sijui kama hata kuna critical point.

Anyway, misiba na mazishi ni ya familia sio jumuia au mitaa. Inaishia huko. Wala sio suala la media. Kama serikali haihitaji takwimu za vifo hivi haviwezi kujulikana. Hakuna haja ya kubishana wala hakuna faida inayopatikana.

Wiki iliyopita nilikuwa na msiba wa ndugu yangu aliyeugua hospitali kwa wiki moja. Aliwekewa ventilator lakini baada ya kuhangaika sana hakuweza kupona. Tumeweka msiba, kilio na kuzika. Tumemaliza. Wanaofikiri ni suala la kushinda ubishi waendelee.
 
Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea

Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa

What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna.

Sisi watu wa Mungu, Tanzania hakuna korona! There is a huge god which looks after the United Republic of Tanzania. That is the crap we are fed. Wakifa wanasema homa ya mapafu.
 
Watu wanakufa mmoja mmoja. Wingi au uchache ni suala la sera ya nchi kuhusu thamani ya uhai wa raia wake. Marekani vifo vilipofikia laki moja, suala la covid-19 lilikuwa nyeti serikalini. Hapa kwetu sijui kama hata kuna critical point.

Anyway, misiba na mazishi ni ya familia sio jumuia au mitaa. Inaishia huko. Wala sio suala la media. Kama serikali haihitaji takwimu za vifo hivi haviwezi kujulikana. Hakuna haja ya kubishana wala hakuna faida inayopatikana.

Wiki iliyopita nilikuwa na msiba wa ndugu yangu aliyeugua hospitali kwa wiki moja. Aliwekewa ventilator lakini baada ya kuhangaika sana hakuweza kupona. Tumeweka msiba, kilio na kuzika. Tumemaliza. Wanaofikiri ni suala la kushinda ubishi waendelee.
Death certificate iliandikwa vipi? Leaders are playing with Covid-19, it is horrible.
 
Vifo bado vingi tu viko mitaani na wengi ni watu wa kawaida ndio maana hizioni Tanzia himu.
Mkuu hata vifo vya watu wakawaida huwa tunakutana na Tanzia na tahadhari za kutosha kwenye magroup ya whatsapp na social media nyinginezo. Kipindi hiki zimepungua sana huenda ni kweli wimbi la pili limeisha tujiandae na lijalo.
 
Back
Top Bottom