Watu wa kawaida ambao hawana umaarufu wowote huwezi ukaziona Tanzia zao humu sio kwamba Ugonjwa hatari wa Covid19 unaua kwa zamu laa hashaKwa sasa hivi vimeamia Kwa watu wa kawaida?.
Corona yetu nzuri inapiga Kwa zamu.
Au Tanzania hakuna Corona? Wananchi TuambiweJana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna
View attachment 1749803
Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna
View attachment 1749803
Mama kaamua asivae , na siku akitaka atavaa, lakini sio kwa kelele zenu ni mpaka atake mwenyeweMama aanze kuvaa Barakoa
Kweni ni fashion anatakiwa aonyeshe mfano mbona Maraisi wenzie wanaonyesha mfano kwa Wananchi wao.Mama kaamua asivae , na siku akitaka atavaa, lakini sio kwa kelele zenu ni mpaka atake mwenyewe
Yeye mfano huo unaoutaka wewe yeye hautaki, ataonyesha mifano kwenye mambo mengine, tena wala hakuna ulazimaa wa Rais Samia kufanana na Marais wengine, kila mtu na nchi yake na mambo yakeKweni ni fashion anatakiwa aonyeshe mfano mbona Maraisi wenzie wanaonyesha mfano kwa Wananchi wao.
Huoni kama ni uzembe, na sio matakwa yake ni kwa ajili ya wapigakura anaowaongoza.Yeye mfano huo unaoutaka wewe yeye hautaki, ataonyesha mifano kwenye mambo mengine, tena wala hakuna ulazimaa wa Rais Samia kufanana na Marais wengine, kila mtu na nchi yake na mambo yake
Neno chanjo nikiangalia tafsiri yake linanipa shida sana kwasasaAjabu ya hiyo chanjo, mtoa chanjo mwenyewe anavaa barakoa!!!!
nilitegemea kwa vile wanachanjo tayari CORONA hawata pata tena, hivyo baroka haina nafasi kwa mtu mwenyewe chanjo
Iwapi gulf stream? mbona wanatumia ndege ya biashara?Jana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna
View attachment 1749803
Vitu vidogo hivyo.....Nimependa tu alivyo wasalimu hao wadada .. Habari ya barakoa kwetu haina kazi tunasubiri maoni ya kikosi cha wataalamu
Watu wa kawaida ambao hawana umaarufu wowote huwezi ukaziona Tanzia zao humu sio kwamba Ugonjwa hatari wa Covid19 unaua kwa zamu laa hasha
Nikiangalia eneo la kata ninaoishi na jamaa zangu wa mikoani misiba ni mingi na mingine inanihusu.Hizo taarifa za misiba za watu wa chini unazipata wewe tu
nilimwona akiwa uganda na m7 alivaa barakoaJana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna
View attachment 1749803
Ila hayati Dr JPM aliwahi kusema kuwa kuna baadhi ya maofisa wa serikali walienda nje kudunga chanjo. Labda hata wengine walidungia humu humu nchini.
Ila kama ni ukaidi tu, dude lipo, ingawaje mazingira yanakuwa magumu kwa hilo virus mpaka Des, Jan, Feb, na March hivi!
Hv huyu Nchimbi Bado yupo nchini namuona kila siku airport anaposafiri au kumuaga mama samia ,yupo likizo auJana Rais Samia alionekana nchini Uganda akiwa amevaa barakoa kwa mara ya kwanza wakenya wakaandika uhuni kama walivyozoea
Alivyorejea kutoka Uganda hakuna aliyetaka kujua kama mama alivyaa barakoa au la, lakini kiukweli mama amepokelewa akirejea nchini bila barakoa
What does this mean? Mama aliamua kufuata sheria za Uganda, au aliogopa Uganda kuwa inavirusi na Tz hakuna
View attachment 1749803
Huwezi kumfurahisha kila mtu, Ata mimi mpiga kura vile vile, Sina tatizooo na mama akitaka atavaa, akiona inamnyima raha atupilie mbaliHuoni kama ni uzembe, na sio matakwa yake ni kwa ajili ya wapigakura anaowaongoza.
Unataka mwenzako akalale site?Amerudi tena Dar es salaam si angetua Dodoma Ikulu au ndiyo amehamia kabisa Dsm?