Rais Samia amerejesha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni bila woga

Rais Samia amerejesha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni bila woga

Mama anastaili pongezi kwa kurudisha uhuru wa kujieleza na kutoa mwanya wa kutoa maoni nchini ambapo hapo awali hatukupata fursa hiyo ya kuona mambo yakijadiliwa kwa uhuru hasa kwenye bunge letu tukufu now tunaona bunge likienda live bila chenga....Hongera sana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan
20230329_103848.jpg
 
Kuuza nchi kwa Waarabu kwa sababu ya uvivu wa kufikiri na kutenda kuna uzuri wowote au manufaa yoyote kwa nchi kizazi hiki na kijacho?
Ujue sehemu ya nyuma ya mwili wako chini ya kiuno ni kwa ajili ya kukalia, usiitumie kufikiri
 
Samia na ccm wanajivunia sana upumbavu kama huu!

Ndugai kilimkuta kitu gani?

Kwa maoni waliyotoa wale mazuzu pale bungeni ndio uhuru huo.
Hata haya unayoyatoa Zuzu wewe ni maoni
 
Mama anastaili pongezi kwa kurudisha uhuru wa kujieleza na kutoa mwanya wa kutoa maoni nchini ambapo hapo awali hatukupata fursa hiyo ya kuona mambo yakijadiliwa kwa uhuru hasa kwenye bunge letu tukufu now tunaona bunge likienda live bila chenga....Hongera sana Mhe. Rais Samia
Wote walewale kasoro mama amekuwa mbaya zaidi.
 
Hii ndio hulka ya waislam kusikiza, kuthamini na kujali wananchi sio wale wa upande uleee, ukipinga tu kama hujazushiwa kesi unapotezwa mazima
Hongera sana
#MAMAWATAIFA
Anajifanya yupo busy na yanga kutafuta popularity tunamchora tu cjui alijichagua kwajil ya yanga. Sasa nasema Must go
Samia had 2040, wagalatia hatuwapi tena nchi wauaji
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Badi hakuna Uhuru niambie Gazeti au Tv au Radio inayo pinga haya mambo ya DP
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Kwa hili kwa kweli mhe. Rais Anapaswa kupongezwa. Watu full povu hakuna anayetekwa mambo swaaafi kabisa. Atakayegombea kumpinga mwaka 2025 atapata radhi ya albert chalamila.
 
Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.

Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.

Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.

Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,

Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.


Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Heko mama Samia, tunampa maua yake.
 
Back
Top Bottom