MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 924
- 1,096
Hapa tu ndio penye shida,Kuuza nchi kwa Waarabu
Wote walewale kasoro mama amekuwa mbaya zaidi.Mama anastaili pongezi kwa kurudisha uhuru wa kujieleza na kutoa mwanya wa kutoa maoni nchini ambapo hapo awali hatukupata fursa hiyo ya kuona mambo yakijadiliwa kwa uhuru hasa kwenye bunge letu tukufu now tunaona bunge likienda live bila chenga....Hongera sana Mhe. Rais Samia
Hii ndio hulka ya waislam kusikiza, kuthamini na kujali wananchi sio wale wa upande uleee, ukipinga tu kama hujazushiwa kesi unapotezwa mazima
Hongera sana
#MAMAWATAIFA
Samia had 2040, wagalatia hatuwapi tena nchi wauajiAnajifanya yupo busy na yanga kutafuta popularity tunamchora tu cjui alijichagua kwajil ya yanga. Sasa nasema Must go
Badi hakuna Uhuru niambie Gazeti au Tv au Radio inayo pinga haya mambo ya DPWiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.
Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.
Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.
Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,
Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.
Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Kwa hili kwa kweli mhe. Rais Anapaswa kupongezwa. Watu full povu hakuna anayetekwa mambo swaaafi kabisa. Atakayegombea kumpinga mwaka 2025 atapata radhi ya albert chalamila.Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.
Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.
Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.
Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,
Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.
Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Heko mama Samia, tunampa maua yake.Wiki hii Tanzania imekuwa na aJenda moja kubwa tu kuanzia vijiweni, kwenye vyombo vya habari, kwenye vyombo vya usafiri mpaka kwenye sehemu za kupiga pombe.
Kila mmoja amekuwa akijadili mkataba ulioridhiwa na Bunge leo kati ya Serikali ya Tanzania na ile ya UAE kuhusu masuala ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari.
Baada ya mijadala mingi, ikiwemo ya kujenga, kukosoa, kupotosha, kuelimisha, kufundisha mimi nimetoka na jambo moja kubwa sana.
Baada ya kupitishwa kwenye tanuru la moto na kuminywa kwa wale wote waliokuwa wakiikosoa na kuisema serikali wakati wa awamu ya mwendazake, hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameirudisha nchi katika mstari ambao watanzania wanaweza kutoa maoni bila woga wa kutekwa wala kupotea,
Rais Samia amerudisha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni nchini, ambapo leo kupitia bunge live ambalo aliridhia kurejeshwa kwake tumeshuhudia mjadala wa wazi wenye kujenga na kusimamia maslahi ya taifa.
Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha:
Maua ya kusitisha Mkataba sawa.Ndugu zangu wanajamvi, kwa hili Rais Samia tumpe maua yake ya kutosha: