Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi

Kuongoza nchi sio kuongea ongea tu.
 
Kwa hiyo umeamuwa kuja na point thaifu z kutuaminisha kuwa anko alikuwa anatupiga dah kwel hii nd bong bhna
 
Uwe mkweli sio ushabiki wa kishamba Kama hivi
Bwawa la nyerere JPM kaliacha likiwa limefikia 30% kwa Sasa ilipo 60+% ,sekta ya kilimo ndio ilishakufa kabisa kahawa,korosho,ufuta,mbaazi n.k ,kikubwa zaidi alituaminisha kuwa anatumia pesa ya ndani kumbe Anakopo
 
Rais anaeshindwa kuwa na Mtu sahihi wakumuachia nchi huyo rais ameshindwa kabisa.
Na Kama JPM alishindwa basi alieshindwa kabisa ni Rais aliemtangulia kwakushindwa kujua ni Nani anapaswa kuachiwa nchi na chama chake kinakua na lawama kubwa zaidi.
 
Tunajitahidi sana kuandika kuhusu uozo wa nchi hii lakini wanaojiita wazalendo wameweka pamba masikioni
 

Hauna Akili, na kama unayo ipo ya kuvukia barabara yaan yakutizama kulia na kushoto hamna gari, unavuka.


Aliyekuambia Sasa JNHEPP Sasa imefika 60% sindio huyo huyo alisema Mara Kuna makosa ya uchimbaji ,Mara Kuna Cranes ,Mara vile...

Baada ya kuona Watanzania hawaelewi akaja na hii ya Sasa limefikia 60%?.



Una BICHWA kubwa lkn ni BICHWA jepesi kurubuniwa ,halina kitu, haliwez hata KUFACE THE REALITY!!!.
 
Wapiga debe wote wa Maza walikuwa ni wapiga debe wa JPM.... Kwa Sasa wanaexpose rangi zao tu. Naamini hata Bashiru akipewa jukwaa atasifia.....!!
 
Tuache hizi hadithi maana hazina tija. People want solutions. Sio maneno maneno mengi ambayo hayana lolote la kuchangia.
Uhswahi kuona mtu mwenye njaa ana furaha na matumaini? Unafikiri ukimwambia shida ni JPM, wakati ameshakufa atakuelewa?
Times change. Tupambane na hali zetu
 
Haingii akili eti JPM aliiacha nchi ikiwa haina hela,

Hela ilikuwepo shida hakuna tena kiongozi anaeweza kumanage nchi,

Mabilioni ya fedha yanapigwa kila siku alafu unasema magufuli kaua uchumi,

Mama yenu hana uwezo wa kuongoza nchi
 
Sasa huyu mama yako anaependa ushauri nchi ikoje Sasa hivi?
Mtaimba mapambio yote mpaka akili ziwakae sawa malofa nyie
 
Ficha upumbavu wako
 
Upumbavu nao ni kipaji
 
Sukuma Gang

Ahaaa nilijua tu mtajitokeza hapa
Pinga hoja kwa hoja

Kwi kwi kwi

Jiwe limetupwa gizani ukisikia paaa limewapata Sukuma Gang
Tozo wanalipa wasukuma pekee na nyie wamakunduchi mnakula au sio?
 
Hapo unaona umeandika cha maana?
Matajiri wasiyozalisha ila wanapiga tu hela ya umma sio matajiri wa kujenga nchi. Kuzalisha matajiri wezi wa kodi na misaada toka nje haileti maendeleo kwa nchi ila kuweka tabaka la mabwanyenye kuwanyonya wananchi.
Hatutaki kua Haiti. Kama ni mjuzi wa mambo ya siasa utaijua nchi ya kwanza ya watu weusi kua huru na jamhuri karibu miaka 200 iliyopita. Bado ndio nchi maskini iliyoko magharibi ya dunia. Ni maskini kuliko nchi za afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…