Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi

Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi

Mjomba Magufuli alishindwa kuwawezesha wajasilimali kuwapa mitaji ya kutosha ili wajitegemee,Zile pesa alizotumia kujenga megaproject (na mengine ni white elephant)laiti angewakopesha malaki ya wajasili mali baada ya miaka kumi Tanzania ingegeuka Toronto.
Hao malaki ya wajasilimali wangeibua malaki wengine wajasilimali na kuleta ajira kwa mamilioni na kuongeza mamilioni ya walipa kodi.
Tupe mifano ya white elephant projects halafu tuongee how white they are!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli alirithi nchi yenye mzunguko wa pesa imara na Ukuaji ulioimarika toka kwa Jakaya Kikwete, Uchumi wa Jakaya Kikwete wa kuajiri maelfu ya watu kila mwaka, na kulipa malimbikizo, Kuongeza mishahara, Kulipa wastaafu kwa wakati, Biashara na wawekezaji kushamiri. Ilituchukua zaidi ya miaka ishirini kufika uchumi wa Jakaya Kikwete.

Faida aliyoipata Jakaya Kikwete hakuvuruga miundo mbinu na matajiri ambao Rais Mkapa aliwajenga ambao ndio wazalishaji wakubwa Nchini bali aliboresha na Kutengeneza mazingira bora zaidi ya kuajiri na kulipa kodi.

Rais Magufuli aliamua Yeye kuvuruga na kufilisi nchi, Hakuishia kuvuruga akaamua na kujaza wasukuma ili waongee kisukuma kwenye sekta muhimu, Bora ingekuwa wasukuma smart wenye ABC za uchumi bali aliwajaza chawa wa kusifu, kuimba na Wengine kama kangi Lugola na Kabudi wakaamua kukufuru kabisa kuwa Rais Magufuli Yeye ni Alfa na Omega.

Rais Samia amepokea nchi ambayo haina uwezo wa kujenga miradi ya SGR na Bwawa la umeme la Nyerere.

Magufuli alikopa pesa za miradi ya SGR na Bwawa la Nyerere kwa pesa ambayo hata nusu ya miradi haiwezi kukamilika, Wakati watu wanahoji kuhusu gharama za mikopo hii na itakuaje baadae waliitwa hao watu sio wazalendo na Wanatumika na Mabeberu, Alipoulizwa Bwawa la zaidi ya Trilioni tano pesa za kumalizia zitatoka wapi alijibu pesa za ndani na nchi ni tajiri huku akishindwa kulipa wastaafu na malimbikizo.

Nani yupo tayari tukakope pesa zingine matrilioni ya pesa kumalizia Bwawa la umeme ambalo maji yake hayana uhakika na mabadiliko ya tabia nchi tayari yanaonekana kwa mkoa wa Dar es Salaam kuwa na baridi ya kutosha na watu kuvaa makoti asubuhi na jioni kama tupo Iringa au Mbeya.

Chawa wakuu walikuwa hawajasoma uchumi wala hawajui maana ya Demand and Supply, Chawa kama Bashiru Ally na Humprey Polepole hawakuwa na ABC za uchumi au mambo yanayohusu mikopo lakini hawa ndio waliaminiwa kama wa shauri wa kujenga SGR.

Rais Magufuli baada ya kuona uchumi ni imara na wawekezaji wanaiamini Tanzania akaanza kuvuruga mifumo ya demokrasia na uwekezaji.

Rais Magufuli alifilisi viwanda na kufilisi wamiliki wa hivyo viwanda walioajiri watu wengi kwa ahadi yake Wataishi kama mashetani.

Ni kweli wazalishaji wakubwa kwenye uchumi wetu waliishi kama mashetani wakati wa Magufuli, Kodi inaongezeka kutokana na uzalishaji, Sasa kama miaka mitano unatumia kuua uzalishaji wa nchi baadae ukimaliza muda wako au ukaondoka kama alivyo Ondoka tunapata wapi kodi.

Leo ameacha nchi yenye madeni kila kona kuanzia madeni ya ndani kwa wastaafu wa PSSf na NSSF, Wazee wastaafu walilimia meno awamu ya tano.

Wafanyakazi waliishia pia kama mashetani kwa kuamua kutolipa malimbikizo yao baada ya kuona uchumi unaporomoka na Yeye ndie Chanzo akabaki anaimba Tazara Interchange na Kijazi Interchange wakati hayo ni madaraja ya kawaida ambayo hakuifuata ramani halisi ya ujenzi kama ilivyotakiwa.

IMF na World Bank waliionya awamu ya tano kuhusu Ukuaji wa uchumi, Lakini Rais aliyekuwepo kushirikiana na ofisi za Takwimu hapa Tanzania waligoma kuhusu Ukuaji wake wakaja na data zao feki kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 7 kuelekea 8%, Takwimu za IMF na Bank ya dunia zilionyesha uchumi wetu umeporomoka na kufika asilimia 4%.

Baadae awamu ya tano kupitia Spika Ndugai wakatunga sheria bungeni kudhibiti utoaji wa Takwimu ili kuwafunga mdomo wachambuzi kama Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe alimuonya Rais Magufuli na hata kumuandikia barua kuhusu Madhara ya anachokifanya kwenye uchumi wetu kuwa itachukua miaka zaidi ya kumi tena kujenga Uchumi aliouacha Jakaya Kikwete.

Tutapata wapi pesa za kuendesha nchi tena, Ni miaka mingapi itatuchukua tena kurudisha uchumi aliouacha Jakaya Kikwete wa asilimia 6.5%-7.5%

Rais Samia ana mapungufu yake lakini suala la kutuweka wazi anatuweka wazi kila kitu kinachoendelea, Suala la ushauri, Rais Samia anapokea ushauri na amewaacha watanzania waongee wanavyotaka.

Tunamlalamikia Mama Tozo lakini ukweli watu waliovuruga nchi hii kwa Mamlaka waliyopewa ni kiongozi wa awamu ya Tano yaani Rais.

Kwa principal za uchumi mkubwa itatuchukua miaka zaidi ya kumi tena nchi kukaa sawa na hata Rais Samia atamaliza muda wake uchumi wa Kikwete hatutaufikia kabisa.

Rais Samia anahangaika na nchi ambayo uzalishaji umeshuka, Uwezo wetu wa kuuza nje umeshuka, Rais Samia atakusanya wapi kodi wakati uzalishaji ndani ya nchi umeshuka?

Hussein Bashe anajitahidi kumsaidia Rais Samia uzalishaji ukue kwa kuja na mbinu mbalimbali lakini Kumbuka uchumi ulivurugwa na tukarudi hatua zaidi ya miaka kumi nyuma.

Rais Samia na Hussein Bashe watapambana kwenye kuboost uzalishaji lakini wataondoka bado uchumi wetu hautafika asilimia alizoziacha Jakaya Kikwete.

Katiba ni muhimu sana ili kudhibiti watawala wanaoturudisha nyuma.

Huu uchawa wenu ndio unaodumaza taifa letu. Serikali ya JK kwa upigaji ilikuwa iko vizuri. Other than that, ilikuwa haina hata uwezo wa kulipa watumishi on time. Mishahara ya watumishi wa Serikali ilikuwa inalipwa tarehe 39! Pia, mpaka budget ya recurrent expenditure nayo ilikuwa inategemea support ya donors. Ujuha wa aina yake!
 
Rais Magufuli alirithi nchi yenye mzunguko wa pesa imara na Ukuaji ulioimarika toka kwa Jakaya Kikwete, Uchumi wa Jakaya Kikwete wa kuajiri maelfu ya watu kila mwaka, na kulipa malimbikizo, Kuongeza mishahara, Kulipa wastaafu kwa wakati, Biashara na wawekezaji kushamiri. Ilituchukua zaidi ya miaka ishirini kufika uchumi wa Jakaya Kikwete.

Faida aliyoipata Jakaya Kikwete hakuvuruga miundo mbinu na matajiri ambao Rais Mkapa aliwajenga ambao ndio wazalishaji wakubwa Nchini bali aliboresha na Kutengeneza mazingira bora zaidi ya kuajiri na kulipa kodi.

Rais Magufuli aliamua Yeye kuvuruga na kufilisi nchi, Hakuishia kuvuruga akaamua na kujaza wasukuma ili waongee kisukuma kwenye sekta muhimu, Bora ingekuwa wasukuma smart wenye ABC za uchumi bali aliwajaza chawa wa kusifu, kuimba na Wengine kama kangi Lugola na Kabudi wakaamua kukufuru kabisa kuwa Rais Magufuli Yeye ni Alfa na Omega.

Rais Samia amepokea nchi ambayo haina uwezo wa kujenga miradi ya SGR na Bwawa la umeme la Nyerere.

Magufuli alikopa pesa za miradi ya SGR na Bwawa la Nyerere kwa pesa ambayo hata nusu ya miradi haiwezi kukamilika, Wakati watu wanahoji kuhusu gharama za mikopo hii na itakuaje baadae waliitwa hao watu sio wazalendo na Wanatumika na Mabeberu, Alipoulizwa Bwawa la zaidi ya Trilioni tano pesa za kumalizia zitatoka wapi alijibu pesa za ndani na nchi ni tajiri huku akishindwa kulipa wastaafu na malimbikizo.

Nani yupo tayari tukakope pesa zingine matrilioni ya pesa kumalizia Bwawa la umeme ambalo maji yake hayana uhakika na mabadiliko ya tabia nchi tayari yanaonekana kwa mkoa wa Dar es Salaam kuwa na baridi ya kutosha na watu kuvaa makoti asubuhi na jioni kama tupo Iringa au Mbeya.

Chawa wakuu walikuwa hawajasoma uchumi wala hawajui maana ya Demand and Supply, Chawa kama Bashiru Ally na Humprey Polepole hawakuwa na ABC za uchumi au mambo yanayohusu mikopo lakini hawa ndio waliaminiwa kama wa shauri wa kujenga SGR.

Rais Magufuli baada ya kuona uchumi ni imara na wawekezaji wanaiamini Tanzania akaanza kuvuruga mifumo ya demokrasia na uwekezaji.

Rais Magufuli alifilisi viwanda na kufilisi wamiliki wa hivyo viwanda walioajiri watu wengi kwa ahadi yake Wataishi kama mashetani.

Ni kweli wazalishaji wakubwa kwenye uchumi wetu waliishi kama mashetani wakati wa Magufuli, Kodi inaongezeka kutokana na uzalishaji, Sasa kama miaka mitano unatumia kuua uzalishaji wa nchi baadae ukimaliza muda wako au ukaondoka kama alivyo Ondoka tunapata wapi kodi.

Leo ameacha nchi yenye madeni kila kona kuanzia madeni ya ndani kwa wastaafu wa PSSf na NSSF, Wazee wastaafu walilimia meno awamu ya tano.

Wafanyakazi waliishia pia kama mashetani kwa kuamua kutolipa malimbikizo yao baada ya kuona uchumi unaporomoka na Yeye ndie Chanzo akabaki anaimba Tazara Interchange na Kijazi Interchange wakati hayo ni madaraja ya kawaida ambayo hakuifuata ramani halisi ya ujenzi kama ilivyotakiwa.

IMF na World Bank waliionya awamu ya tano kuhusu Ukuaji wa uchumi, Lakini Rais aliyekuwepo kushirikiana na ofisi za Takwimu hapa Tanzania waligoma kuhusu Ukuaji wake wakaja na data zao feki kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 7 kuelekea 8%, Takwimu za IMF na Bank ya dunia zilionyesha uchumi wetu umeporomoka na kufika asilimia 4%.

Baadae awamu ya tano kupitia Spika Ndugai wakatunga sheria bungeni kudhibiti utoaji wa Takwimu ili kuwafunga mdomo wachambuzi kama Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe alimuonya Rais Magufuli na hata kumuandikia barua kuhusu Madhara ya anachokifanya kwenye uchumi wetu kuwa itachukua miaka zaidi ya kumi tena kujenga Uchumi aliouacha Jakaya Kikwete.

Tutapata wapi pesa za kuendesha nchi tena, Ni miaka mingapi itatuchukua tena kurudisha uchumi aliouacha Jakaya Kikwete wa asilimia 6.5%-7.5%

Rais Samia ana mapungufu yake lakini suala la kutuweka wazi anatuweka wazi kila kitu kinachoendelea, Suala la ushauri, Rais Samia anapokea ushauri na amewaacha watanzania waongee wanavyotaka.

Tunamlalamikia Mama Tozo lakini ukweli watu waliovuruga nchi hii kwa Mamlaka waliyopewa ni kiongozi wa awamu ya Tano yaani Rais.

Kwa principal za uchumi mkubwa itatuchukua miaka zaidi ya kumi tena nchi kukaa sawa na hata Rais Samia atamaliza muda wake uchumi wa Kikwete hatutaufikia kabisa.

Rais Samia anahangaika na nchi ambayo uzalishaji umeshuka, Uwezo wetu wa kuuza nje umeshuka, Rais Samia atakusanya wapi kodi wakati uzalishaji ndani ya nchi umeshuka?

Hussein Bashe anajitahidi kumsaidia Rais Samia uzalishaji ukue kwa kuja na mbinu mbalimbali lakini Kumbuka uchumi ulivurugwa na tukarudi hatua zaidi ya miaka kumi nyuma.

Rais Samia na Hussein Bashe watapambana kwenye kuboost uzalishaji lakini wataondoka bado uchumi wetu hautafika asilimia alizoziacha Jakaya Kikwete.

Katiba ni muhimu sana ili kudhibiti watawala wanaoturudisha nyuma.
Unaposema uwezo wetu wa kuuza nje ulishuka, leta takwimu. Huwezi kuchambua uchumi kwa maneno matupu na ukaeleweka. Kutaja majina ya watu haitoshi kuchambua uchumi.
Uchumi ambao unaishia kulipana mishahara, posho za safari bila projects za maana hauna future hata kidogo. Ni kudanganyana kwa kubembelezana.
Hata katika ngazi ndogo kabisa ya Taifa kwa maana ya familia au kaya, mkiwa kazi yenu ni kutumia hela zote kwa ajili ya mahitaji ya kila siku kama chakula, mavazi na matanuzi, ujue kabisa mnajiandalia umaskini kwa vizazi vijavyo.
 
Magufuli ni akili tope!!!
Long live Samia....
Huwezi kumlaumu Samia kwa mfumuko wa bei wkt ni mfumuko wa Dunia nzima ...mlaumu Putin, USA na Ukraine.

Kwa mfumuko unaoikumba dunia sijui like jinga la chato lingetupelwka wapi

Jk ni akili kubwa maradufu in terms of macro & micro economy
 
Huu uchawa wenu ndio unaodumaza taifa letu. Serikali ya JK kwa upigaji ilikuwa iko vizuri. Other than that, ilikuwa haina hata uwezo wa kulipa watumishi on time. Mishahara ya watumishi wa Serikali ilikuwa inalipwa tarehe 39! Pia, mpaka budget ya recurrent expenditure nayo ilikuwa inategemea support ya donors. Ujuha wa aina yake!
Achaga ujinga....1.5 trillion alipiga Jk au magufuli?
 
Magufuli ni akili tope!!!
Long live Samia....
Huwezi kumlaumu Samia kwa mfumuko wa bei wkt ni mfumuko wa Dunia nzima ...mlaumu Putin, USA na Ukraine.

Kwa mfumuko unaoikumba dunia sijui like jinga la chato lingetupelwka wapi

Jk ni akili kubwa maradufu in terms of macro & micro economy
Ona hii takataka nayo!

Bado mtanena sana tu kwa lugha wapumbavu nyie!

Njooni huku field mseme haya maneno muone raia watakachowafanya!

Ni vile tu tz ni taifa la makondoo lakini huyu bibi yenu angesharudi kula urojo mapema tu.
 
Uchumi uliharibikia mikononi mwa marehemu. Mama anajitahidi sana sana, Kwa uharibigu ule itatuchukua muda Sana kurekebisha uchumi.
Kipindi cha marehemu hichohicho ndo World Bank waliiweka Tanzania kwenye uchumi wa kati, Now tumerudi kulekule tukikotoka kwenye uchumi wa chini katika kipindi cha Hangaya.
 
Ona hii takataka nayo!

Bado mtanena sana tu kwa lugha wapumbavu nyie!

Njooni huku field mseme haya maneno muone raia watakachowafanya!

Ni vile tu tz ni taifa la makondoo lakini huyu bibi yenu angesharudi kula urojo mapema tu.
Niambie bei ya mbolea soko la dunia haijanda, mafuta, gesi? Mafuta ya kula, ngano?
Misaada toka USA na EU haijapungua bcs of hali ya dunia?
Sasa hayo mambo lile jiwe la chato lingefanyaje? Tuwe wakweli japo kidogo?
 
Kipindi cha marehemu hichohicho ndo World Bank waliiweka Tanzania kwenye uchumi wa kati, Now tumerudi kulekule tukikotoka kwenye uchumi wa chini katika kipindi cha Hangaya.
Uchumi wa Kati au recategorizing ndio ulitutupa uchumi wa kati
Benki ya dunia ilichofanya ni 20% badala ya kuitwa F, ikaitwa G.
Kwa hiyo madaraja ndio yaliyobadilika....daraja la uchumi wa Kati na daraja la uchumi wa Kati wa chini.
Uchumu wa Kati upo sawa na South Africa au hata jirani njaa Kenya?
 
We nawe ni zuzu.raisi kikwete hata kama kulikuwa na ufisadi katika utawala wake lakini kila mtu alikuwa anapata pesa as long as unajidhughulisha..ila Jpm alipoingia tu mambo yalibadilika sana biashara nyingi zilifungwa kwa kukosa wateja.kiukweli mama tunamlaumu bure ila nchi kaikuta haina pesa..usimlimganishe kikwete na raisi yeyote katika uchumi wa mtu mmojammoja.sisi wengine hatujawahi kuajiliwa tangu 2000..so tunajua kila kitu kuhusu maisha magumu ya awamu ya Mkapa,kikwete,magufuli na mama Samia.kikwete alikuwa ni the best president
Watu mnasahau sana! Hivi ilikuwaje kipindi cha Kikwete exchange ya Usd to Tsh ilikuwa inabasilika kwa speed? Unajua thaman ya pes a yetu ilikuwa inashuka kwa speed kali sana kupitia biashara harabu ya maduka ya kubadilishia fedha?

Samia anaewawekea tozo wananchi alafu anapandisha posho wa watumishi kutoka 150,000 perday mpaka 250,000 per day! Mfumuko wa bei nao Mtamsingizia Magufuli? Sio ndiyo nyinyi mnaosema hamwezi kuzuia mazao kuuzwa nje ya nchi huku mkijua safari hii mvua zimekuwa chache? Na bado vitu vitapanda bei sana hasa vyakula! We sabun ya jamaa kipandwe kikiuzwa 500 sasahivi 700 nayo mtasema Magufuli!
 
Uchumi wa Kati au recategorizing ndio ulitutupa uchumi wa kati
Benki ya dunia ilichofanya ni 20% badala ya kuitwa F, ikaitwa G.
Kwa hiyo madaraja ndio yaliyobadilika....daraja la uchumi wa Kati na daraja la uchumi wa Kati wa chini.
Uchumu wa Kati upo sawa na South Africa au hata jirani njaa Kenya?
Mbona sasahivi tumerudi kwenye F kulekule?
 
Uwe mkweli sio ushabiki wa kishamba Kama hivi
Bwawa la nyerere JPM kaliacha likiwa limefikia 30% kwa Sasa ilipo 60+% ,sekta ya kilimo ndio ilishakufa kabisa kahawa,korosho,ufuta,mbaazi n.k ,kikubwa zaidi alituaminisha kuwa anatumia pesa ya ndani kumbe Anakopo
Suala la kutumia fedha za ndani haikuwa kila project! Alafu ata atumie za mkopo kwani anaelipa ni nan? Si nyinyi kupitia kodi zenu? Si fedha zenu hizo?
 
Unateseka peke yako bwashee usitusemee wengine!! Sisi tulijua tu tangu lini Tanzania ikawa dona cantre?😀😀 Tulijua Kuna siku zamu ya kuishi Kama mashetani itatufikia na sisi...kwa hiyo tulia dawa iingie
umepewa buku ya bando unakuja kuharaaa mtandaoni!acha unafki na maisha huna.
 
Kuna kundi la vijana wengi wewe ukiwa mojawapo ambao mnatumika aidha kwa kulipwa au kwa ushabiki maandazi kuongea na kuandika taarifa na habari potofu ambazo huwa sielewi huwa mnatoka nazo wapi ila ukizisoma unajiuliza haya mnayoandika huwa mnayatoa wapi maana mnaandika vitu as if sisi wengine hatupo nchi moja na ninyi au sisi wengine tunaishi china.

Kimsingi hizi taarifa au huu uzi wako umejaa upotoshaji wa hali ya juu. Pengine wewe ni mtoto mdogo wa juzi tu kuzaliwa na umeyapata haya kwa mzazi wako au ndugu yako au umesoma sehemu bila kujua unasema kitu gani. Sisi wakubwa zako ambao tumekimbiza mwenge tokea enzi za mwinyi haya mambo unayoyaongea kishabiki tumeyashuhudia na kuona kila jambo kwa ushahidi wa macho bila kuhadithiwa.

1. Si kweli kwamba enzi za Mkwere ajira zilitolewa rasmi bali kulikuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi hewa kwenye taasisi za kiserikali ambao walijichomeka aidha kwa kuingizwa na ndugu zao au kufanyiwa connection za kulipana kwa kukatana kwenye mshahara kama kodi bubu kwa mtu aliyekupa mchongo wa kukupachika. Hawa watu mimi ninawafahamu wengi sana. Walikuwapo mahakamani, ATCL, bandarini, TRA, MUHIMBILI, IKULU, BUNGENI, na taaisisi mbali mbali za serikali.

Si hapo tu bali hata ugawaji wa tenda ulikuwa ni wa kujuana na usiozingatia taratibu za tenda za serikali hivyo watu waliokuwa katika meza za maamuzi waliweza kugawa tenda kwa ndugu, jamaa, au marafiki wazi wazi kabisa na kuweza kujipatia tenda kwa njia za upendeleo hata kama hizo kampuni hazijakidhi vigezo. Unakumbuka ile skendo ya Mkurugenzi wa Tanesco kuunda kampuni ya stationary inayosimamiwa na mkewe na kujipatia tenda ya bilioni 400,unakumbuka tenda ya Rada,unakumbuka manunuzi ya ndege ya raisi,unakumbuka, manunuzi ya vitu mbali mbali kupitia kivuli cha taasisi za kiimani,kielimu na hata kupitia wizara na ofisi ya raisi?!

Hii hali ukitazama ilitoa ajira kwa raia wengi sana ila kiuchumi na kisheria haikuwa sahihi sababu ilikuwa inaruhusu ufujaji mkubwa wa fedha za uma na kufanya raia kuwa na pesa mifukoni na kuharibu uwiano kati ya pesa ya hazina, mzunguko wa pesa, nguvu ya mamlaka za serikali na taasisi zake mzunguko wa pesa.

Kwa wanaliosoma uchumi wanajua impact ya hili jambo kama haujui pia naomba uulize maswali nitakuelekeza hapo kuna mengi sana ya kukuelekeza unaonekana haufahamu impact ya kiuchumi raia wakiwa wana access na fedha ya uma bila utaratibu wa kisheria.

So sio kweli kwa ajira zilikuwa rasmi zilikuwa ni ajira bubu, watu walikuwa wanapata nafasi serikalini bila taratibu za kisheria. Kuna watu wamepata nafasi kwa vyeti vya kughushi, kwa vyeti vya watu wengine, kwa vyeti halali ila bila kupitia mamlaka ya utumishi huku wenye sifa wakiwa mtaani etc. Sijui sasa kama hili unalijua namna unasema kuwa Mkwere alitoa ajira sijui hizo ajira unazosema wewe zilikwenda kwa utaratibu upi?

2. Si kweli kuwa kipindi cha Mkwere kulikuwa na ulipaji wa kodi mzuri au biashara ziliflorishi kwa uzalishaji mzuri kwasababu kuna kampuni kama Azam kipindi Magu anaingia ilitakiwa kuilipa serikali zaidi ya tsh Bilioni 7 kama malimbikizo ya kodi kwenye kiwanda chake cha Dar baada ya TRA kuikadiria malipo ambayo hayakulipwa kipindi cha nyuma. Kampuni nyingi hazikuwa zikilipa kodi isipokuwa zilikuwa zikilipa hongo kwa viongozi wakubwa na wadogo ili zipate ulinzi na kutosumbuliwa na mamlaka ambazo zinawaghasi na malipo yasiyoeleweka. Kuna kampuni kama KIOO inayotengeneza chupa. Nenda pale kapeleleze utapewa stories za viongozi wakubwa kwenda kupewa mlungula. Tungeweka hapa details ila ni mambo ya siri. Kuna kampuni. Kimsingi kodi zilililipwankadiria ya wahusika walipojisikia ila hakukuwapo na ulipaji ule unaotakiwa. Sisemi kuwa alipoingia Magufuli kodi ililipwa sawa sawa ila nasema kodi kipindi cha Mkwere haikukusanywa vile namna umeandika hapa as if kulikuwa na makusanyo halali na yaliyosawa sawa, si kweli.

3. Kuhusu mapato ya serikali pia umepotoka sana. Kwa mara ya kwanza tokea awamu zote kuingia madarakani, ni kipindi cha awamu ya Magufuli pekee ndipo kulitanuliwa wigo wa makusanyo ya mapato kwa wingi kihistoria. Tafakari jambo moja, halimashauri, taasisi na idara zote kuwekewa control number hapa nazungumzia Tanesco, idara za maji mikoa yote Tanzania, halimashauri, hospital, vituo vya polisi, askari barabarani, na makampuni yote kuwekewa utaratibu hela zote ziende hazina bila mtu yoyote kugusa hata mia. Yaani unaponunua umeme kule hazina wameshajua kuwa umenunua umeme wa buku na makato ya serikali ni tsh fulani.

Wewe unadhani Magufuli alipata wapi jeuri ya kununua ndege mfululizo, kuanzisha mamiradi makubwa ni kwasababu alishakaba kila mia ya hii inchi kuanzia ngazi ya serikali ya mtaa kila malipo yanaonekana hazina, je unajua ni pesa kiasi gani ilikuwa inakusanywa kwa mwezi, au unasikiliza hizi story za vijiwe vya kahawa kuwa Magufuli alikuwa anakopa ndio anafanya matumizi?

Si kila jambo uambiwe as if hauna macho mengine jaribu kutumia akili yako yaani tumia ufahamu wako na upeo ukiambiwa hili ni chungwa na hili ni chenza basi tumia milango yako ya ufahamu kunusa, kulamba ujue ladha, kutazama na hata kusikiliza ujue kweli hiki ninachoambiwa ni chenyewe.

Pesa ya ndani ilikuwa ni ya kutosha sana na iliweza kuendeleza miradi midogo na mikubwa. Ni kweli Magufuli pia alikopa ila alikuwa ameshatathimini kiwango cha mapato ambacho kingeweza kuyalipa hayo madeni ya riba ndogo ambayo masharti yake ni nafuu.

Nakupa homework nyingine, fuatilia aina ya mikopo aliyokopa Magufuli na masharti yake halafu tazama mikopo ya awamu ya mkapa, na kikwete na hii ya sasa utaona nyuma yake kuna nini. Kukusaidia mikopo ya taifa kama marekani ni mikopo mibaya sana sababu unakuja na masharti ya kutaka kukushika kimaamuzi na inalekeza kabisa nenda kafanye ABC. Huo ni mkopo sasa au kitu gani?!

Mchina unamwambia naomba mkopo yeye anatazama tu kama utaweza lipa kwa viwango vyako vya mapato na rasilimali kama huwezi ana adjust au anakuwekea sharti la collateral kuwa ukishindwa mradi atashika yeye hadi deni liishe, mifano ni kama pale sri Lanka (kasome history ya ule mradi wa bandari utaona.

Marekani anakukopesha halafu anakupangia upeleke eneo Fulani yaani kahela anakupa kwanza kidogo halafu kanakuja na mkataba wa utekelezaji na anajua utekelezaji hautakufaidisha hata kidogo in the future ila utabakia na deni ambalo atalitumia kuku bully kiuchumi, kisiasa na kijamii siku zijazo. Nenda kasome mikataba ya miradi ya ufadhili na miradi ya misaada au mikopo kutoka mataifa ya magharibi kama US.

Jambo lingine ni vema kuwa makini sana na watu wanaojiita wapinzani si wote ni watu wazuri. Tazama enzi za Kikwete hawa mabwana walikuwa wakibweka pale maslahi yao yalipoguswa ila wakipata kipozeo wanakaa kimya kama vile ilivyo sasa. Sidhani kama unamuona Zitto akiongea lolote na ameweka ukaribu sana na serikali ya bi mkubwa hii inakwambia jambo gani?

Wanao ongea ni wachache sana na tunawaona ila wale wazee wa press wamepotea kabisa sasa ila nikuulize hali ni nzuri mtaani ewe mleta uzi? Kihistoria kiuchumi tukitoa kipindi cha nyerere kipindi kile cha njaa, hakuna wakati mfumuko wa bei umekuwa haueleweki kama wa sasa. Kumekuwa na Creeping effect ya mfumuko wa bei kwa maana kila sehemu kumekuwa na ongezeko la gharama ambazo ukizijumlisha unagundua pesa haitoshelezi kubajeti matumizi binafsi au ya familia.

Kwa mara ya kwanza maisha yanakuwa ni magumu bila sababu za msingi ukiuliza inasingiziwa vita ya Ukraine. Hivi unatakiwa kuwa mjinga kiasi gani ushindwe kutofautisha hali ya uchumi ikiwa kuna watu wanatuchezea akili ili wao wachukue na kutapanya pesa ya uma na kama kweli hali si nzuri kiuchumi kila mtu anateseka?!

Nenda huko nje ya mji katazame watu walikuwa wamesimama ujenzi wa mabangaloo na mahekalu wameanza tena kuyafumua na kuanza ujenzi upya tena kwa kasi ya radi. Hizo ajira za kupeana zimerudi sasa kwa kasi watu wanachomekana humo mawizarani na kulipana nje ya payroll. Sensa ndio hiyo unaambiwa bajeti ni bilioni 600 na zaidi ila ukijaribu kukokotoa kwa kichwa matumizi yake kutokana na ripoti tunazopewa na wadau unakuta pesa haiwezi tumika hata kwa 70% kuna upigaji mkubwa.

So ndugu, nina mengi ya kukuhoji na kujadili ila nafasi haitoshi. Ila acha kupotoka na kupotosha wengine kwa kutoa taarifa batili au ambazo hazina uhalisia.

Mikopo inayokopwa sasa mingi anabambikiwa au atabambikiwa Magufuli ili yeye abebe msalaba wa lawama ila ukweli ni kuwa hazina imekuwa inapokea pesa nyingi sana na Magufuli alikuwa haweki wazi sababu ya aina ya wapinzani waliokuwa wamemzunguka lakini pia alikiwa anaficha taasisi kubwa za ulaya ambazo zimekuwa zikimtazama kwa jicho la hofu kama lile walilomtazama Gaddafi wa Libya, Saddam Hussein wa Iraq na wengineo ambao wameonyesha maamkizi ya kutaka kutoka katIka mikono ya mataifa ya ki imperialist kama US.

Hebu uwe unajifunza na kutafiti kisha observe kwa akili yako. Acha kulishwa matango pori halafu unakuja kuongea kwa confidence hapa as if haya mambo ni ya kuhadithiwa na yametokea watu tukiwa na akili timamu na tupo hapa hapa mjini tukijionea nyeusi na nyeupe.

Mnyonge nyongeni ila haki yake mpatieni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba umetisha sana comment hii ilitakiwa iwe uzi kabisa ili hawa waropokaji wapate haya madini
 
U
Rais Magufuli alirithi nchi yenye mzunguko wa pesa imara na Ukuaji ulioimarika toka kwa Jakaya Kikwete, Uchumi wa Jakaya Kikwete wa kuajiri maelfu ya watu kila mwaka, na kulipa malimbikizo, Kuongeza mishahara, Kulipa wastaafu kwa wakati, Biashara na wawekezaji kushamiri. Ilituchukua zaidi ya miaka ishirini kufika uchumi wa Jakaya Kikwete.

Faida aliyoipata Jakaya Kikwete hakuvuruga miundo mbinu na matajiri ambao Rais Mkapa aliwajenga ambao ndio wazalishaji wakubwa Nchini bali aliboresha na Kutengeneza mazingira bora zaidi ya kuajiri na kulipa kodi.

Rais Magufuli aliamua Yeye kuvuruga na kufilisi nchi, Hakuishia kuvuruga akaamua na kujaza wasukuma ili waongee kisukuma kwenye sekta muhimu, Bora ingekuwa wasukuma smart wenye ABC za uchumi bali aliwajaza chawa wa kusifu, kuimba na Wengine kama kangi Lugola na Kabudi wakaamua kukufuru kabisa kuwa Rais Magufuli Yeye ni Alfa na Omega.

Rais Samia amepokea nchi ambayo haina uwezo wa kujenga miradi ya SGR na Bwawa la umeme la Nyerere.

Magufuli alikopa pesa za miradi ya SGR na Bwawa la Nyerere kwa pesa ambayo hata nusu ya miradi haiwezi kukamilika, Wakati watu wanahoji kuhusu gharama za mikopo hii na itakuaje baadae waliitwa hao watu sio wazalendo na Wanatumika na Mabeberu, Alipoulizwa Bwawa la zaidi ya Trilioni tano pesa za kumalizia zitatoka wapi alijibu pesa za ndani na nchi ni tajiri huku akishindwa kulipa wastaafu na malimbikizo.

Nani yupo tayari tukakope pesa zingine matrilioni ya pesa kumalizia Bwawa la umeme ambalo maji yake hayana uhakika na mabadiliko ya tabia nchi tayari yanaonekana kwa mkoa wa Dar es Salaam kuwa na baridi ya kutosha na watu kuvaa makoti asubuhi na jioni kama tupo Iringa au Mbeya.

Chawa wakuu walikuwa hawajasoma uchumi wala hawajui maana ya Demand and Supply, Chawa kama Bashiru Ally na Humprey Polepole hawakuwa na ABC za uchumi au mambo yanayohusu mikopo lakini hawa ndio waliaminiwa kama wa shauri wa kujenga SGR.

Rais Magufuli baada ya kuona uchumi ni imara na wawekezaji wanaiamini Tanzania akaanza kuvuruga mifumo ya demokrasia na uwekezaji.

Rais Magufuli alifilisi viwanda na kufilisi wamiliki wa hivyo viwanda walioajiri watu wengi kwa ahadi yake Wataishi kama mashetani.

Ni kweli wazalishaji wakubwa kwenye uchumi wetu waliishi kama mashetani wakati wa Magufuli, Kodi inaongezeka kutokana na uzalishaji, Sasa kama miaka mitano unatumia kuua uzalishaji wa nchi baadae ukimaliza muda wako au ukaondoka kama alivyo Ondoka tunapata wapi kodi.

Leo ameacha nchi yenye madeni kila kona kuanzia madeni ya ndani kwa wastaafu wa PSSf na NSSF, Wazee wastaafu walilimia meno awamu ya tano.

Wafanyakazi waliishia pia kama mashetani kwa kuamua kutolipa malimbikizo yao baada ya kuona uchumi unaporomoka na Yeye ndie Chanzo akabaki anaimba Tazara Interchange na Kijazi Interchange wakati hayo ni madaraja ya kawaida ambayo hakuifuata ramani halisi ya ujenzi kama ilivyotakiwa.

IMF na World Bank waliionya awamu ya tano kuhusu Ukuaji wa uchumi, Lakini Rais aliyekuwepo kushirikiana na ofisi za Takwimu hapa Tanzania waligoma kuhusu Ukuaji wake wakaja na data zao feki kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 7 kuelekea 8%, Takwimu za IMF na Bank ya dunia zilionyesha uchumi wetu umeporomoka na kufika asilimia 4%.

Baadae awamu ya tano kupitia Spika Ndugai wakatunga sheria bungeni kudhibiti utoaji wa Takwimu ili kuwafunga mdomo wachambuzi kama Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe alimuonya Rais Magufuli na hata kumuandikia barua kuhusu Madhara ya anachokifanya kwenye uchumi wetu kuwa itachukua miaka zaidi ya kumi tena kujenga Uchumi aliouacha Jakaya Kikwete.

Tutapata wapi pesa za kuendesha nchi tena, Ni miaka mingapi itatuchukua tena kurudisha uchumi aliouacha Jakaya Kikwete wa asilimia 6.5%-7.5%

Rais Samia ana mapungufu yake lakini suala la kutuweka wazi anatuweka wazi kila kitu kinachoendelea, Suala la ushauri, Rais Samia anapokea ushauri na amewaacha watanzania waongee wanavyotaka.

Tunamlalamikia Mama Tozo lakini ukweli watu waliovuruga nchi hii kwa Mamlaka waliyopewa ni kiongozi wa awamu ya Tano yaani Rais.

Kwa principal za uchumi mkubwa itatuchukua miaka zaidi ya kumi tena nchi kukaa sawa na hata Rais Samia atamaliza muda wake uchumi wa Kikwete hatutaufikia kabisa.

Rais Samia anahangaika na nchi ambayo uzalishaji umeshuka, Uwezo wetu wa kuuza nje umeshuka, Rais Samia atakusanya wapi kodi wakati uzalishaji ndani ya nchi umeshuka?

Hussein Bashe anajitahidi kumsaidia Rais Samia uzalishaji ukue kwa kuja na mbinu mbalimbali lakini Kumbuka uchumi ulivurugwa na tukarudi hatua zaidi ya miaka kumi nyuma.

Rais Samia na Hussein Bashe watapambana kwenye kuboost uzalishaji lakini wataondoka bado uchumi wetu hautafika asilimia alizoziacha Jakaya Kikwete.

Katiba ni muhimu sana ili kudhibiti watawala wanaoturudisha nyuma.
Umeandika uongo Kujikosha. JK ndo alikabidhi KIBUBU kikiwa empty,

Magu alipoondoka Kuna TETESI zilizuka kuwa waliobaki walivunja KIBUBU na kupora kilichobaki,

Ripoti iliyoundiwa Tume juu ya nini kilikuwemo wakati anafariki mjomba MMEIKALIA kana kwamba hakuna viti.
 
SGR ni hasara
Bwawa la Nyerere ni hasara
Uhamiaji Dodoma ni hasara
 
Mwamba umetisha sana comment hii ilitakiwa iwe uzi kabisa ili hawa waropokaji wapate haya madini
Vijana nawaonea huruma sana, Hakuna mnachoelewa kwenye siasa za nchi hii mpaka uchumi

Hakuna atakayekuja kukusaidia maishani mwako wala kukukomboa, Yakupasa ujikomboe wewe na familia yako

Mleta uzi Yeye ameelezea uhalisia wa mambo wa nchi yetu, Nchi haijawahi kupitia zama za giza kama wakati wa Magufuli,

Nchi hakuna wakati ilipitia uuzaji wa Makampuni kama wakati wa Mkapa, Lakini Mkapa aliyafanya kwa kuwa yalikuwa yanakufa na alikuwa anajenga Sekta binafsi unayoiona wewe leo

Hizi NMB na NBC ya Leo ni Mageuzi ya Benjamin Mkapa kukabidhi sekta binafsi kwa kuimega NBC

Swali la wewe kujiuliza

Je Magufuli alipokuwa Rais ulipata kitu gani mfukoni mwako?

Je Kikwete alipokuwa Rais ulipata faida gani Mfukoni mwako?

Na sasa Samia una connection yeyote au unasubiri wenzako wale kwa urefu wa kamba

Mimi ni mwana ccm nilimtetea Magufuli wakati nikiwa nafaidika lakini pale alipogusa maslahi yangu nilimponda sana na pale alipoacha kutugusa nilimsifu

Sasa tupo na Mama Samia, Mkubwa wa chama ni mkubwa tu hata akiharibu wewe Angalia tumbo lako, Mimi sasa namsifu Samia na nitamtetea mpaka pale atakapoondoka kwani Mama ameacha uhuru wa kodi kujadiliana na TRA

Ukiwa mwanasiasa yakupasa kuwa na heshima na mtulivu wa akili

Angalia akina Sabaya au Ally haapy, Hawakujua maana ya siasa sasa wapo kama digidigi

CCM ina wenyewe Muwe mnaelewa vijana huu msemo una maana gani?

Huwezi tofautisha ccm na Serikali ndani ya nchi hii
 
Back
Top Bottom