Hata awamu iliyopita hao akina sukuma gang ,makuwadi ,chawa na death squads za magufuli walifilisi hii nchi ,majitu kama sabaya,Makonda , Mnyeti ,Kiongozi ,Diwani Athumani , Doto , Polepole , kabudi ,Bashiru na mapimbi wengine .Huyu Rais,hakika hadi kufika 2025,ataingiwa hadi uoga kuiendesha nchi,yaani kwanza suala la kuruhusu upigaji kwa maneno ya 'kuleni kwa urefu wa kamba zenu' aisee watu kwenye vitengo mbalimbali,wameona kama wamechelewa kujikusanyia,ni mwendo wa kupiga tu,hadi ashangae,vilevile tena anakuja anatamka eti NATAKA WATU WAWE NA NIDHAMU YA KUTOKA MIOYONI,aisee hajui necha yetu nini....?
Yaani itapigwa hii nchi,tozo zitakusanywa za Kila aina,hela zitakua zinapita kwa walewale,hataziona.
Tutakuja kuhadithia watoto wetu endapo tutaendelea kua hai,utofauti wa JPM,JK,na MAMA,ngoja nchi iliwe na waliobahatika kushika vitengo awamu hii.
Makonda na sabaya wauawaji WA magufuli waliofanya extortion mchana kweupe ,ubakaji ,kutesa ,kutisha na kuua watu ,
Watu waliiba pesa 1.5 makufuli na genge lake miradi take ya kifisadi kama ujenzi WA uwanja WA ndege WA chato halafu akaipa kampuni yake tenda , huyu huyu mpuuz makufuli kamuweka mtoto wa Dada yake hazina ili asiwe anahojiwa akikwapua