Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi

Rais Samia amerithi nchi iliyofilisika kifedha na kiuchumi

Huyu Rais,hakika hadi kufika 2025,ataingiwa hadi uoga kuiendesha nchi,yaani kwanza suala la kuruhusu upigaji kwa maneno ya 'kuleni kwa urefu wa kamba zenu' aisee watu kwenye vitengo mbalimbali,wameona kama wamechelewa kujikusanyia,ni mwendo wa kupiga tu,hadi ashangae,vilevile tena anakuja anatamka eti NATAKA WATU WAWE NA NIDHAMU YA KUTOKA MIOYONI,aisee hajui necha yetu nini....?
Yaani itapigwa hii nchi,tozo zitakusanywa za Kila aina,hela zitakua zinapita kwa walewale,hataziona.
Tutakuja kuhadithia watoto wetu endapo tutaendelea kua hai,utofauti wa JPM,JK,na MAMA,ngoja nchi iliwe na waliobahatika kushika vitengo awamu hii.
Hata awamu iliyopita hao akina sukuma gang ,makuwadi ,chawa na death squads za magufuli walifilisi hii nchi ,majitu kama sabaya,Makonda , Mnyeti ,Kiongozi ,Diwani Athumani , Doto , Polepole , kabudi ,Bashiru na mapimbi wengine .
Makonda na sabaya wauawaji WA magufuli waliofanya extortion mchana kweupe ,ubakaji ,kutesa ,kutisha na kuua watu ,
Watu waliiba pesa 1.5 makufuli na genge lake miradi take ya kifisadi kama ujenzi WA uwanja WA ndege WA chato halafu akaipa kampuni yake tenda , huyu huyu mpuuz makufuli kamuweka mtoto wa Dada yake hazina ili asiwe anahojiwa akikwapua
 
Huyu Rais,hakika hadi kufika 2025,ataingiwa hadi uoga kuiendesha nchi,yaani kwanza suala la kuruhusu upigaji kwa maneno ya 'kuleni kwa urefu wa kamba zenu' aisee watu kwenye vitengo mbalimbali,wameona kama wamechelewa kujikusanyia,ni mwendo wa kupiga tu,hadi ashangae,vilevile tena anakuja anatamka eti NATAKA WATU WAWE NA NIDHAMU YA KUTOKA MIOYONI,aisee hajui necha yetu nini....?
Yaani itapigwa hii nchi,tozo zitakusanywa za Kila aina,hela zitakua zinapita kwa walewale,hataziona.
Tutakuja kuhadithia watoto wetu endapo tutaendelea kua hai,utofauti wa JPM,JK,na MAMA,ngoja nchi iliwe na waliobahatika kushika vitengo awamu hii.
Muache unafiki CCM ni Ile Ile kama kweli mnataka changes muipinge serikali na kuikataa mazima ccm
 
Anatuongezea uwezo wa uzalishaji kwa kuweka tozo kila sehemu! Una ujinga mwingi.
 
Uchumi uliharibikia mikononi mwa marehemu. Mama anajitahidi sana sana, Kwa uharibigu ule itatuchukua muda Sana kurekebisha uchumi.
Uchumi uliharibika awamu ya 5 ndio maana World Bank wakabariki TZ ipate promotion kutoka uchumi wa chini kuwa wa kati. Jivue akili ndio ueleze hayo. Awamu ya 5 mishahara ya watumishi wa umma ililipwa latest tarehe 23. Kabla ya hapo earliest tar 25. Uchumi uliporomoka sana. Jivue ufahamu kwanza ndio ueleze hayo. Ukusanyaji wa kodi ilifikia hata trilioni kwa mwezi. Jiulize awamu ya 4 ilikuwa how much. Endelea kujivua ufahamu.
 
1. Efatha
2.Covenant Bank,
3. KILIMANJARO COMMUNITY BANK
4. Njombe Community Bank,
5. Kagera Farmers’ Cooperative Bank, and
6. Meru Community Bank
7. Federal Bank of the Middle East
8. Tanzania Investment Bank (TIB)
9. China Commercial Bank Limited
10. Bank M
11. Twiga Bank
12. Mbinga Community Bank

Hizo ni bank tuu ngoja nifanye miamala nilipe tozo tujenge nchi ntarudi na sekta zingine

Eleza alivyoziua!
 
Sekta ya ujenzi makampuni mengi yalikufa kibudu Yule pimbi mhutu alikuwa hasidi haswa. ,roho za kiiterahamwe, watu wengi na ajira zikafa hivyo
 
Uchumi uliharibika awamu ya 5 ndio maana World Bank wakabariki TZ ipate promotion kutoka uchumi wa chini kuwa wa kati. Jivue akili ndio ueleze hayo. Awamu ya 5 mishahara ya watumishi wa umma ililipwa latest tarehe 23. Kabla ya hapo earliest tar 25. Uchumi uliporomoka sana. Jivue ufahamu kwanza ndio ueleze hayo. Ukusanyaji wa kodi ilifikia hata trilioni kwa mwezi. Jiulize awamu ya 4 ilikuwa how much. Endelea kujivua ufahamu.
Tatizo Lake hamuelewi maana ya middle income ni kitu gani, Propaganda za habari ndio zilizowaharibu

Jifunze hapa chini

Unafahamu maana ya Per capital income

Unafahamu maana ya pato la Taifa GDP au GNP

Sasa unposema uchumi wa kati, Uchumi wa kati wa juu na uchumi wa juu kuna vigezo vya World Bank

Vigezo hivi haviangalii siku moja ni mlolongo wa ongezeko kwa miaka

Rais Mkapa aliongeza pato kufika USD around 600 kutoka less than USD 100 na huyu ndie Mwamba kati ya wote

Jakaya akaongeza kufika around usd 1040 yaani Ali double ya Mkapa

Magufuli ilibaki USD 40 tu alipoingia madarakani tufike uchumi mdogo wa kati, na yeye aka ongeza USD 40 kwa miaka mitano ikawa around USD 1080

kuanzia 1080 ndio kipimo cha uchumi wakati

Sasa USD 40 for Five years wakati kikwete Usd zaidi ya 500 for 10 years kwa hiyo kwa miaka mitano JK alimzidi Magufuli mara 10

Per Capital income unachukua total output ya uzalishaji within that specific period of production unagawa kwa idadi ya Raia waliopo

Shughuli zote za uzalishaji zina kuwa assigned monetary values divide by total population

Total population always kwa nchi za Afrika is just an estimate yaani makadirioo

Kuna Exception au limitation za Per capital income

Moja ya exception Yawezekana Shughuli za uchumi zipo dominated na sekta chache kama madini na Utalii hivyo impact kwa individuals ni ndogo sana

Mkuu kama hujafunzwa economics just be cool

Wapumbavu kama wewe ndio mliodanganywa

Rais Samia hapa ataendeleza kutoka 1080 kwenda mbele, Sasa ukisikia tumefika uchumi wa kati wa juu na kipimo ni 1090 utasema Samia ndie Rais bora kwa kuwa ameongea usd 10 na tumefika usd 1090 ya kigezo cha uchumi wa kati wa juu? kwa hiyo huta hesabu ya JPM, JK na Mkapa utamsifia Yeye Samia kwa USD 10?

Kama hujui vigezo vya wordbank na hujui economics kaa kimya
.
 
Andiko refu kweli , na mwandishi huenda wakati anaandika ameamini kabisa hapo ameishughulisha akili yake vyakutosha na hapo ametumia Uwezo wake wote kichwani hatimaye amekuja na andiko hili.


Kuna Rais aliyewah kurithishwa Nchi ambayo kakuta Hazina hamna KITU kama ambavyo Magufuli aliikuta Nchi HII??

Kuna Rais ambaye ameshuka madaraka katika wakati ambao Wananchi walichoshwa na Ubovu was Maisha, Hasira za Wananchi, Nchi ikiwa Mbovu Mbovu yenye matukio ya ajabu ajabu, Ufisadi uliopitiliza, Kuanzia Mahosp mpaka Mashule, hamna afadhali kama aliikuta JPM???.


MJINGA Mmoja wee, yaan Magufuli Kukata miraja na kufungwa njia zenu za upigaji, kujaza watoto wenu NSSF , Taasisi mbalimbali , Kuajiri watu Kwa connection,, WATANZANIA MKAWAACHIA AJIRA ZA UALIMU TU ZA KILA MWAKA, NAZO MKAZITOA KWA UFISADI NA RUSHWA KUBWA...ndo unaleta pia Yako hapa kumchafua HAYATI JPM??.


MJINGA MMOJA wee, Miradi yote hiyo JPM aliiendesha vipi Kwa pamoja ambapo SAMIA IMEMSHINDA???.


Unakuja kumtetea SAMIA na JK Kwa majibu mepesi mepesi ?? Wakati NCHI hiii sio ya miaka 2015 na kushuka chini ???.



MITOZO YANINI HII?? NA INAENDA WAPI??? MNASHINDWA KUMALIZA MIRADI ALOIACHA JPM KWA KISINGIZIO CHA ALIKOPA ???.


MIAKA 5 YA JPM NA MIKOPO YAKE NA ALICHOFANYIA MIKOPO HIYO ,,,WAWEZA ILINGANISHA NA MIAKA 2 YA SAMIA NA MIKOPO YAKE, NA TOZO ZAKE, NA KITU GAN ALICHOFANYA???


MJINGA Mmoja wee, unataka kusema kwamba Kwa Sasa anaweka mazingira , kwamba mazingira yakishakaa sawa ndo atafanya makubwa ????


KUNA RAIS ALIYEIKUTA NCHI IMETULIA KIUCHUMI KAMA ALIVYOKUITA SAMIA , BAADA YA MAGUFULI KUIPANGILIA NA IKAPANGIKA??.


Mpuuzi mmoja wee, Huyu JPM sindio aliyetuvusha na kutuingiza Uchumi wa Kati na Watanzania na Dunia ikaipongeza TZ ? ...,. Baada ya kifo chake mnakuja na Nyimbo za "Tulifikia uchumi wakati Kwa nguvu za Mungu na sio mtu ,kwamba tutarudi Tena hapo Kwa nguvu za Mungu?".




Mnajua hizi Bongo zenu za kuvukia barabara na ELIMU UCHWARA ZA UCHUMI , ELIMU za kukalili , msidhan Watanzania wote ni wajinga.


NAWEE NI MWANAUCHUMI??? MWANAUCHUMI ULOSHINDWA MSHAURI RAIS, NI NAMNA GAN AONGEZE MAPATO NJE YA TOZO NA KODI ???

MWANAUCHUMI GANI ULOSHINDWA KUMSHAURI RAIS NAMNA GAN APAMBANE NA HII INFLATION INAYOENDELEA??.




Muwe mnaficha Ujinga wenu.
Ww ndio huna akili unatetea ujinga huna Cha maana ulichoandika hapo zaidi ya kutetea legacy
 
Tatizo Lake hamuelewi maana ya middle income ni kitu gani, Propaganda za habari ndio zilizowaharibu

Jifunze hapa chini

Unafahamu maana ya Per capital income

Unafahamu maana ya pato la Taifa GDP au GNP

Sasa unposema uchumi wa kati, Uchumi wa kati wa juu na uchumi wa juu kuna vigezo vya World Bank

Vigezo hivi haviangalii siku moja ni mlolongo wa ongezeko kwa miaka

Rais Mkapa aliongeza pato kufika USD around 600 kutoka less than USD 100 na huyu ndie Mwamba kati ya wote

Jakaya akaongeza kufika around usd 1040 yaani Ali double ya Mkapa

Magufuli ilibaki USD 40 tu alipoingia madarakani tufike uchumi mdogo wa kati, na yeye aka ongeza USD 40 kwa miaka mitano ikawa around USD 1080

kuanzia 1080 ndio kipimo cha uchumi wakati

Sasa USD 40 for Five years wakati kikwete Usd zaidi ya 500 for 10 years kwa hiyo kwa miaka mitano JK alimzidi Magufuli mara 10

Per Capital income unachukua total output ya uzalishaji within that specific period of production unagawa kwa idadi ya Raia waliopo

Shughuli zote za uzalishaji zina kuwa assigned monetary values divide by total population

Total population always kwa nchi za Afrika is just an estimate yaani makadirioo

Kuna Exception au limitation za Per capital income

Moja ya exception Yawezekana Shughuli za uchumi zipo dominated na sekta chache kama madini na Utalii hivyo impact kwa individuals ni ndogo sana

Mkuu kama hujafunzwa economics just be cool

Wapumbavu kama wewe ndio mliodanganywa

Rais Samia hapa ataendeleza kutoka 1080 kwenda mbele, Sasa ukisikia tumefika uchumi wa kati wa juu na kipimo ni 1090 utasema Samia ndie Rais bora kwa kuwa ameongea usd 10 na tumefika usd 1090 ya kigezo cha uchumi wa kati wa juu? kwa hiyo huta hesabu ya JPM, JK na Mkapa utamsifia Yeye Samia kwa USD 10?

Kama hujui vigezo vya wordbank na hujui economics kaa kimya
.
Brother Hawa jamaa Haina haha ya kuwaletea details zote Kama hizi hawawezi kuelewa yaani kwao JPM ni Kama Imani imewapofusha.😃😃inatakiwa uyeyuke nao kiwendawazimuwendawazimu tu
 
Mchambuzi uko sahihi sn.mwendazake aliharibu mnooo.ila kujua hii inahitaji watu wenye fikra pana.angekaa zaidi ya mwaka wangeona
Ndiyo maana waKenya wanasema, tatizo kubwa lao watu waliosoma ni wengi, huku kwetu Elimu duni, sasa uchambuzi hapo juu ulioona wa kweli upo wapi? hata reference hakuna, porojo!!!!!!!!!!!!!! sometimes kujiita mtanzania ni aibu
 
Tatizo Lake hamuelewi maana ya middle income ni kitu gani, Propaganda za habari ndio zilizowaharibu

Jifunze hapa chini

Unafahamu maana ya Per capital income

Unafahamu maana ya pato la Taifa GDP au GNP

Sasa unposema uchumi wa kati, Uchumi wa kati wa juu na uchumi wa juu kuna vigezo vya World Bank

Vigezo hivi haviangalii siku moja ni mlolongo wa ongezeko kwa miaka

Rais Mkapa aliongeza pato kufika USD around 600 kutoka less than USD 100 na huyu ndie Mwamba kati ya wote

Jakaya akaongeza kufika around usd 1040 yaani Ali double ya Mkapa

Magufuli ilibaki USD 40 tu alipoingia madarakani tufike uchumi mdogo wa kati, na yeye aka ongeza USD 40 kwa miaka mitano ikawa around USD 1080

kuanzia 1080 ndio kipimo cha uchumi wakati

Sasa USD 40 for Five years wakati kikwete Usd zaidi ya 500 for 10 years kwa hiyo kwa miaka mitano JK alimzidi Magufuli mara 10

Per Capital income unachukua total output ya uzalishaji within that specific period of production unagawa kwa idadi ya Raia waliopo

Shughuli zote za uzalishaji zina kuwa assigned monetary values divide by total population

Total population always kwa nchi za Afrika is just an estimate yaani makadirioo

Kuna Exception au limitation za Per capital income

Moja ya exception Yawezekana Shughuli za uchumi zipo dominated na sekta chache kama madini na Utalii hivyo impact kwa individuals ni ndogo sana

Mkuu kama hujafunzwa economics just be cool

Wapumbavu kama wewe ndio mliodanganywa

Rais Samia hapa ataendeleza kutoka 1080 kwenda mbele, Sasa ukisikia tumefika uchumi wa kati wa juu na kipimo ni 1090 utasema Samia ndie Rais bora kwa kuwa ameongea usd 10 na tumefika usd 1090 ya kigezo cha uchumi wa kati wa juu? kwa hiyo huta hesabu ya JPM, JK na Mkapa utamsifia Yeye Samia kwa USD 10?

Kama hujui vigezo vya wordbank na hujui economics kaa kimya
.
 
Mama Samia Suluhu, Raisi wetu nakupongeza kwa jitihada zote ulizozifanya kuifikisha nchi ilipo baada ya kuipokea nchi ikiwa imeyumba sana kiuchumi. Nina hakika jitihada na busara zako tutafika mahali bora zaidi na kila mmoja mwenye nia njema na Taifa hili atakubaliana na hili. Mungu aendelee kukupa Afya njema.
Jina lako litatokea kama sio wa tano basi utakuwa wa kumi na utakuwa DC wa tunduru.

Umesahau kuacha namba ya Simu
 
Mama Samia Suluhu, Raisi wetu nakupongeza kwa jitihada zote ulizozifanya kuifikisha nchi ilipo baada ya kuipokea nchi ikiwa imeyumba sana kiuchumi. Nina hakika jitihada na busara zako tutafika mahali bora zaidi na kila mmoja mwenye nia njema na Taifa hili atakubaliana na hili. Mungu aendelee kukupa Afya njema.
Aamen
 
We nawe ni zuzu.raisi kikwete hata kama kulikuwa na ufisadi katika utawala wake lakini kila mtu alikuwa anapata pesa as long as unajidhughulisha..ila Jpm alipoingia tu mambo yalibadilika sana biashara nyingi zilifungwa kwa kukosa wateja.kiukweli mama tunamlaumu bure ila nchi kaikuta haina pesa..usimlimganishe kikwete na raisi yeyote katika uchumi wa mtu mmojammoja.sisi wengine hatujawahi kuajiliwa tangu 2000..so tunajua kila kitu kuhusu maisha magumu ya awamu ya Mkapa,kikwete,magufuli na mama Samia.kikwete alikuwa ni the best president
Uchumi wa kati ulifika vipi? Kama biashara zilifungwa?

Eti biashara zilifungwa,leta bakhresa, Mo, na kampuni zote zilizofunga biashara
 
Huu uchawa wenu ndio unaodumaza taifa letu. Serikali ya JK kwa upigaji ilikuwa iko vizuri. Other than that, ilikuwa haina hata uwezo wa kulipa watumishi on time. Mishahara ya watumishi wa Serikali ilikuwa inalipwa tarehe 39! Pia, mpaka budget ya recurrent expenditure nayo ilikuwa inategemea support ya donors. Ujuha wa aina yake!
Kuna mtu pale TRA alikuwa anachukua mishahara 19 kipindi cha Jk
 
Rais Magufuli alirithi nchi yenye mzunguko wa pesa imara na Ukuaji ulioimarika toka kwa Jakaya Kikwete, Uchumi wa Jakaya Kikwete wa kuajiri maelfu ya watu kila mwaka, na kulipa malimbikizo, Kuongeza mishahara, Kulipa wastaafu kwa wakati, Biashara na wawekezaji kushamiri. Ilituchukua zaidi ya miaka ishirini kufika uchumi wa Jakaya Kikwete.

Faida aliyoipata Jakaya Kikwete hakuvuruga miundo mbinu na matajiri ambao Rais Mkapa aliwajenga ambao ndio wazalishaji wakubwa Nchini bali aliboresha na Kutengeneza mazingira bora zaidi ya kuajiri na kulipa kodi.

Rais Magufuli aliamua Yeye kuvuruga na kufilisi nchi, Hakuishia kuvuruga akaamua na kujaza wasukuma ili waongee kisukuma kwenye sekta muhimu, Bora ingekuwa wasukuma smart wenye ABC za uchumi bali aliwajaza chawa wa kusifu, kuimba na Wengine kama kangi Lugola na Kabudi wakaamua kukufuru kabisa kuwa Rais Magufuli Yeye ni Alfa na Omega.

Rais Samia amepokea nchi ambayo haina uwezo wa kujenga miradi ya SGR na Bwawa la umeme la Nyerere.

Magufuli alikopa pesa za miradi ya SGR na Bwawa la Nyerere kwa pesa ambayo hata nusu ya miradi haiwezi kukamilika, Wakati watu wanahoji kuhusu gharama za mikopo hii na itakuaje baadae waliitwa hao watu sio wazalendo na Wanatumika na Mabeberu, Alipoulizwa Bwawa la zaidi ya Trilioni tano pesa za kumalizia zitatoka wapi alijibu pesa za ndani na nchi ni tajiri huku akishindwa kulipa wastaafu na malimbikizo.

Nani yupo tayari tukakope pesa zingine matrilioni ya pesa kumalizia Bwawa la umeme ambalo maji yake hayana uhakika na mabadiliko ya tabia nchi tayari yanaonekana kwa mkoa wa Dar es Salaam kuwa na baridi ya kutosha na watu kuvaa makoti asubuhi na jioni kama tupo Iringa au Mbeya.

Chawa wakuu walikuwa hawajasoma uchumi wala hawajui maana ya Demand and Supply, Chawa kama Bashiru Ally na Humprey Polepole hawakuwa na ABC za uchumi au mambo yanayohusu mikopo lakini hawa ndio waliaminiwa kama wa shauri wa kujenga SGR.

Rais Magufuli baada ya kuona uchumi ni imara na wawekezaji wanaiamini Tanzania akaanza kuvuruga mifumo ya demokrasia na uwekezaji.

Rais Magufuli alifilisi viwanda na kufilisi wamiliki wa hivyo viwanda walioajiri watu wengi kwa ahadi yake Wataishi kama mashetani.

Ni kweli wazalishaji wakubwa kwenye uchumi wetu waliishi kama mashetani wakati wa Magufuli, Kodi inaongezeka kutokana na uzalishaji, Sasa kama miaka mitano unatumia kuua uzalishaji wa nchi baadae ukimaliza muda wako au ukaondoka kama alivyo Ondoka tunapata wapi kodi.

Leo ameacha nchi yenye madeni kila kona kuanzia madeni ya ndani kwa wastaafu wa PSSf na NSSF, Wazee wastaafu walilimia meno awamu ya tano.

Wafanyakazi waliishia pia kama mashetani kwa kuamua kutolipa malimbikizo yao baada ya kuona uchumi unaporomoka na Yeye ndie Chanzo akabaki anaimba Tazara Interchange na Kijazi Interchange wakati hayo ni madaraja ya kawaida ambayo hakuifuata ramani halisi ya ujenzi kama ilivyotakiwa.

IMF na World Bank waliionya awamu ya tano kuhusu Ukuaji wa uchumi, Lakini Rais aliyekuwepo kushirikiana na ofisi za Takwimu hapa Tanzania waligoma kuhusu Ukuaji wake wakaja na data zao feki kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 7 kuelekea 8%, Takwimu za IMF na Bank ya dunia zilionyesha uchumi wetu umeporomoka na kufika asilimia 4%.

Baadae awamu ya tano kupitia Spika Ndugai wakatunga sheria bungeni kudhibiti utoaji wa Takwimu ili kuwafunga mdomo wachambuzi kama Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe alimuonya Rais Magufuli na hata kumuandikia barua kuhusu Madhara ya anachokifanya kwenye uchumi wetu kuwa itachukua miaka zaidi ya kumi tena kujenga Uchumi aliouacha Jakaya Kikwete.

Tutapata wapi pesa za kuendesha nchi tena, Ni miaka mingapi itatuchukua tena kurudisha uchumi aliouacha Jakaya Kikwete wa asilimia 6.5%-7.5%

Rais Samia ana mapungufu yake lakini suala la kutuweka wazi anatuweka wazi kila kitu kinachoendelea, Suala la ushauri, Rais Samia anapokea ushauri na amewaacha watanzania waongee wanavyotaka.

Tunamlalamikia Mama Tozo lakini ukweli watu waliovuruga nchi hii kwa Mamlaka waliyopewa ni kiongozi wa awamu ya Tano yaani Rais.

Kwa principal za uchumi mkubwa itatuchukua miaka zaidi ya kumi tena nchi kukaa sawa na hata Rais Samia atamaliza muda wake uchumi wa Kikwete hatutaufikia kabisa.

Rais Samia anahangaika na nchi ambayo uzalishaji umeshuka, Uwezo wetu wa kuuza nje umeshuka, Rais Samia atakusanya wapi kodi wakati uzalishaji ndani ya nchi umeshuka?

Hussein Bashe anajitahidi kumsaidia Rais Samia uzalishaji ukue kwa kuja na mbinu mbalimbali lakini Kumbuka uchumi ulivurugwa na tukarudi hatua zaidi ya miaka kumi nyuma.

Rais Samia na Hussein Bashe watapambana kwenye kuboost uzalishaji lakini wataondoka bado uchumi wetu hautafika asilimia alizoziacha Jakaya Kikwete.

Katiba ni muhimu sana ili kudhibiti watawala wanaoturudisha nyuma.
Nchi hii ni rahisi kuongoza Kwa sababu wajinga ni wengi nikianza na kundi la machawa kama wewe.
 
Back
Top Bottom