Rais Samia amesahau hili la umeme ni yeye amelileta, tumkumbushe

sasa si ameona kosa lake amerekebisha ulitakaje mwamba
 
sema A, ,"A"

thema B."Bwiiii

Sema C, chiiii.... hangaya jitahidi basi kuwa na kumbukumbu !!
 
Kumbe yeye alikuwa anamsapoti mwendazake kinafiki, hii dhambi mbaya sana; ndio maana sasa amekutana na anaehoji hadharani anamuona adui, badala ya kumjibu hoja zake anamuagizia kikundi cha mipasho toka mikoani waende kumsuta ikulu.
ndugu yangu teuliwa kuwa mbunge hlafu upewe uwaziri kama hutakuwa mnafiki namba moja. kwa afrika hii ni kujipendekeza kwa mkulu hata kama hutaki utakubali tu ingawa moyoni utakuwa unagugumia. THIS IS AFRICA bhaana, gombea urais tukupe kama utakubali kupingwa waziwazi!!!! acha usitud................... hapa
 
Nawe tukukumbushe: "The entire system is not credible".
 
Ukweli nikwamba kuunganishiwa Umeme kwa 27 elfu ni hasala kwa Tanesco,maana lazima tujue kwamba hivyo vitu vina nunuliwa .
.
Hata hivyo inafaa kuweka Bei nafuu kiasi ,mfano nguzo si sahihi mteja kulipia sawa na mteja kulipia miundombinu ya simu ,Kama simu hatulipi inafaa na Tanesco kuondoa gharama hiyo .

Pili Meter luku isizidi tsh 150,000\=
 
Kwani mita ni mali ya nani?
 
Kwani mita ni mali ya nani?
Meter imeandikwa ni Mali ya Tanesco ,lakini mtumiaji na mwangalizi Ni mteja husika, ndiyo maana hata ikisumbua anaye hangaika kuhakikisha inafanya kazi ni mteja.
Bahati mbaya serikali haijaweka mazingira sawa ju ya maswala ya Umeme .

Inafaa Sasa iruhusu kampuni binafsi ziwekeze kwenye sector hii. Ili kuondoa ubabaishaji na unyonyaji unao fikiriwa na wananchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…