Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Laana ambayo na yeye ameshiriki kuitenda.Umesema kwamba wenzetu wanafundishwa tangu utotoni well magufuli kusema kwamba sisi ni matajiri alikuwa anasema ukweli ukweli ambao ungewasaidia watoto wa sasa kutambua potential ambayo nchi hii inayo na hivyo kuitumia vyema.
Magufuli alihimiza nidhamu na uchapa kazi (falsafa ya hapa kazi tu) hili limesaidia wengi waliopo sasa na wanaokuja kushika nafasi kwa baadae.
Kuwa omba omba ni laana.
Tuondoe hii laana ya mikopo na misaada.
Inahitaji kujitoa ufahamu kutetea mikopo.Tangu Nyerere mpaka Samia hakuna rais ambaye hajapokea misaada wala hajachukua mikopo, huo ndio ukweli wenyewe.
JPM alitaka tujitegemee lakini gharama ya miradi aliyoianzisha isingeweza kumalizwa kwa kutegemea makusanyo ya kodi, ambayo na yenyewe zipo habari kuwa namba zake zilikuwa zinapikwa na kina Kidatta.
Tuache hizi mbwembwe za kusema kuomba ni laana wakati hatuna rais hata mmoja ambaye hajawahi kupokea pesa iliyo matunda ya ukusanyaji wa kodi wa nchi za Ulaya.
Ndio nakwambia kwamba hii ni hali ambayo tangu uhuru tunayo. Labda tumeshindwa kama taifa kujitegemea.Inahitaji kujitoa ufahamu kutetea mikopo.
Ukizingatia kwamba punde tu umetoka kutetea kutokukopa.
Haimaanishi tunachokifanya sasa ni sawa.Ndio nakwambia kwamba hii ni hali ambayo tangu uhuru tunayo. Labda tumeshindwa kama taifa kujitegemea.
Ndipo hapo nimemuuliza shemeji yangu mmoja ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoa fulani,kwamba mbona alishangilia JPM kutokopa na sasa anashangilia SSH kukopa, kakosa jibu.Walikuwa wanashangilia magu kutokopa bado wapo chamani wanapiga shangilio
Shida ni pale akikupigia anayekudai usipokee simu yake ndio utajua haujui.mtu akikukopesha si anakuwa anakufuatilia mara kwa mara
ilisikika sauti kutoka UVCCM
Kujitgemea ni kitu kingine na kushindana kiuchumi ni kitu kingine.Kauli za JPM zilikuwa hazifanani na matendo yake mbali na majukwaa ya siasa. Aliwajaza watu kiburi cha kujitegemea wakati kiuhalisia tupo mbali sana na uwezo wa kushindana kiuchumi na mataifa ya Ulaya.
Mzungu anayo know how (maarifa) na ndio kitu ambacho kinampa umaarufu mchina kwa sasa, utundu na ubunifu wa hali ya juu.
Huwezi kushinda na mzungu mwenye taasisi zote za pesa, utakuwa unajisumbua bure tu. Nyerere aliwawekea kiburi na haikumsaidia chochote ndio akaingia Mwinyi madarakani akawapigia magoti wazungu.
Huu ni utamaduni wa kidunia, huwezi kuwavimbia waliotutawala halafu ukawa na uchumi endelevu
Wewe pia ni mmojawapo wa supporters mzuri wa CCM, chama kisicho na sera, mipango kwa ajili ya Tanzania ya miaka 100 ijayo zaidi ya kuwaza uchaguzi ujao tu.Wewe ulikuwa miongoni mwa waliomsupport Magufuli na falsafa zake hivyo huna moral authority kumkosoa sasa.
Kukopa ni aibu yetu sote kama watanzania. Na hatujapata suluhisho la kudumu.Haimaanishi tunachokifanya sasa ni sawa.
Na wala sio kosa kuachana na utamaduni huo mbaya.
Na hatupaswi kutetea makosa haya ya ukopaji tena pale wenye mamlaka wanapoonesha wazi wazi kwamba kukopa ni jambo zuri tu kama unavyotaka wewe tuamini hivyo kwamba it is just ok kukopa.
Mkuu unakosea sana na nakuhurumia sana.
Kwanini tu usiwe mkweli na kuachana na unafiki maana husaidii Taifa lako ukifanya hivyo.
Acha unafiki mkuu. Jifunze kusema ukweli kwa faida ya nchi yako.
Wewe uliona wapi Magufuri akienda ulaya kubembeleza mikopo?wazungu ndio walimfuata Magu kumbembeleza wamkopeshe, huyu Mama yenu ni empty kichwani, mikopo yote na msaada anavimalizia kwenye nauli, sijui mwezi kesho anaelekea nchi ipi kuomba.Jambo zuri ni kwamba wote nyie ni CCM.kwa hivyo hakuna wa kumsimanga mwenzake.hata hivyo bora huyu anasema ukweli na kuweka wazi kwamba kuna msaada na Kuna mkopo kuliko yule marehemu amabae alijifanya hako pi na kumbe anakopa kimya kimya .wewe labda unaumia na Mama kwa sababu bado una Magufuli ideology..jaribuni kukubali kwamba huyo mtu wenu alishakufa na hatofufuka tena na hamtoonana tena milele na milele…karibuni huku tuidai katiba mpya ambayo itaweka mipaka ya viongozi kukopa na kuweka uwazi
Unajipendeza.Kukopa ni aibu yetu sote kama watanzania. Na hatujapata suluhisho la kudumu.
Kumshambulia SSH kwa kukopa ni kutomtendea haki tukizingatia ukweli kuwa sio wa kwanza kukopa. Na anakopa kufanya kazi zinazoonekana.
Kusema kukopa ni laana wakati huna wazo mbadala litakaloingiza pesa hazina ya nchi , ni kujidanganya. Ni fikra zile zile za JPM za sisi ni matajiri wakati huo utajiri bado upo ardhini na anamtegemea Dotto James aongee na wazungu ili tupate mikopo.
Hakuna dhambi yoyote ya kuchukua mikopo, ikiwa JPM mwenyewe alikuwa akijisifu kuwa mabosi wa benki ya dunia walikubali kutupa mkopo wa kujenga flyover ya Ubungo na akisema hivyo pembeni yake akiwa amekaa bosi wa benki ya dunia!.
SSH akikopa ni nongwa ya kuanzishia uzi kabisa lakini JPM akifanya hivyo ni suala zuri tu, unafiki ni wa kwako wewe.
Kumuunga mkono JPM sio sawa na mimi kuwa mkristo mkatoliki kwamba siwezi kubadilisha dini yangu. Kukosolewa au kuungwa mkono huenda kukibadilika kutokana na maarifa anayoyapata mtu, kutokana na kuelewa mambo ambayo wakati huo sikuwa ninayajua.Wewe ulikuwa miongoni mwa waliomsupport Magufuli na falsafa zake hivyo huna moral authority kumkosoa sasa.
Ili iweje?. Nasimamia kwenye hoja tu.Unajipendeza.
Ndio keshakuwa rais tena. Wasomi na vyeti vyao wanaishia kutumwa kama watoto wadogo.Huyo Mama ni form 4 failure
Watu kama hao wanaitwa Malaya wa kisiasa na wasaka tonge.Kumuunga mkono JPM sio sawa na mimi kuwa mkristo mkatoliki kwamba siwezi kubadilisha dini yangu. Kukosolewa au kuungwa mkono huenda kukibadilika kutokana na maarifa anayoyapata mtu, kutokana na kuelewa mambo ambayo wakati huo sikuwa ninayajua.
Ukosoaji sio sawa na dini useme kwamba mtu hawezi kubadilika. Humu ndani tunaongelea hoja halisi hatuongelei watu, hayo ni masuala ya instagram na facebook ambapo kuna team Diamond na team Ali Kiba.
Ukweli ni kuwa kujitegemea sisi bado. Hayo ya malaya na usaka tonge ni kujifariji tu.Watu kama hao wanaitwa Malaya wa kisiasa na wasaka tonge.
Kwani umetumia lugha gani kuandika?😆mtu akikukopesha si anakuwa anakufuatilia mara kwa mara
ilisikika sauti kutoka UVCCM