Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Wewe huna nyuzi hata moja ya kuhoji, ina maana hamna cha kuhoji!!??
Kwa nini hajasema tuwe na jamii ya kusifiasifia kama Lucas mwashambwa !!!???

Asiyehoji ni "maiti inayoishi".
 
Shida kweli kweli
Na mpaka sasa, CCM inaendelea kuzalisha machawa wengi kadri iwezekanavyo kupitia UVCCM.

UVCCM Makao Makuu imejaza vijana wengi wasio na maarifa (kwasababu za kujuana) ikiwaanda kuwa viongozi wa chama kisha serikali.

Vijana wasio na maarifa, vichwa vitupu, watahoji nini zaidi ya kusifia mpaka ushuzi wa Mohammed Kawaida?
 
Ni uzuni mkubwa sana ccm ya sasa imearibu vijana ndani ya chama chake wa kuhoji na wenye jeuri kama ambavyo Mw Nyerere alisisitiza katika hili , matokeo yake ccm ya sasa imetengeneza machawa na Makunguni,

Ccm imekufa kifo kibaya sana
CCM bado ni imara ,madhubuti na yenye ushawishi mkubwa sana kwa watanzania.ndio maana Inaendelea kuaminika, kupendwa na kukubalika sana kwa watanzania.
 
Bado ndani ya serikali yake wapo watu wenye HULKA ya 'Jiwe'!
Hukawii kuambiwa;
'Wewe sio raia"
'Wewe gaidi"
"Wewe ni muuaji'
Hata kupotezwa
 
Rais ni mnafik kiwango cha SGR
Hakuna Raisi mpumbavu wa kiwango cha lami!.... Kama huyu tulienae,

Watu wenye akili timamu walihoji kuhusu mkataba wa milele wa DP world... Akakaa kimya,

Sasa hivi anaongea upumbavu Gani!? Na bandari kawapa wajomba zake! Waarabu
 
Hakuna Raisi mpumbavu wa kiwango cha lami!.... Kama huyu tulienae,

Watu wenye akili timamu walihoji kuhusu mkataba wa milele wa DP world... Akakaa kimya,

Sasa hivi anaongea upumbavu Gani!? Na bandari kawapa wajomba zake! Waarabu
Wewe huna akili kabisa.umelaaniwa na mama yako mzazi.uwe na adabu kwa Rais wetu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Upuuzi mtupu! Utekaji bado unaendelea ujue!
Alishasema chawa wake hawavumilii yeye kukosolewa!!
 
Kwenye suala la Bandari mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania na nyota ya matumaini mh mama Samia na Serikali yake walitoa uhuru wa kutosha kwa watu, taasisi,vyama na wadau mbalimbali kutoa maoni yao na mwisho serikali yetu ilifanyia kazi maoni na mawazo yote muhimu na kuja na mkataba bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika Taifa letu.ambao utachochea ufanisi wa bandari yetu hasa katika masuala ya mizigo pale bandarini ,ambapo sasa haitakuwa inakaa sana kama awali ambapo ilikuwa inaongeza gharama kwa wenye mizigo.
Wewe mboga mshenzi sana! Unasifia kuuzwa nchi nyangau wahead!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Sijaelewa maana yake. Kweli alimaanisha "kuhoji"? Kama ni kweli, basi tumepiga hatua kubwa sana ambayo nilikuwa hata sijajua.
 
Back
Top Bottom