Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Ujue katika watu wapumbavu hapa nchini ni wewe na huyo bi mdashi wote ni wapumbavuInaonekana umekosa malezi mazuri ya mama yako mzazi na ulikosa wa kukulea na kukufundisha adabu na heshima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue katika watu wapumbavu hapa nchini ni wewe na huyo bi mdashi wote ni wapumbavuInaonekana umekosa malezi mazuri ya mama yako mzazi na ulikosa wa kukulea na kukufundisha adabu na heshima.
Huna akili kabisa
Utakuja kuolewa mwanaume tabia za kujipendekeza hazitakiwiNilichoandika ni sahihi kabisa maana Rais samia ndiye kiongozi anayependwa na kukubalika sana ndani ya nchi na ndani ya bara zima la Afrika kwa sasa.
Huna akiliUtakuja kuolewa mwanaume tabia za kujipendekeza hazitakiwi
Siku nikiona umehoji Chochote..Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Kwani wewe umezuiliwa kuhoji ndugu yanguSiku nikiona umehoji Chochote..
Nasema Chochote basi nitaamini Maneno yako ni ya ukweli na wewe ni mzalendo..
Narudia chochote hata kama ni cha Serikali ya mtaa
Unao uwezo wa kuhoji kitu chotechote wewe zaidi ya kusifia hadi upumbavu? Utaondolewa kwenye payroll ukithubutu.Kwani kuna siku nimeandika humu kuwa nimezuiliwa kuhoji?
Umesoma nilichoandika mimi nahoji kila siku ila nilichokuandikia wewe ungekisomKwani wewe umezuiliwa kuhoji ndugu yangu
Nenda kampikie huyo ajuzi kila siku kujikomba kwakeWewe ndiye mnafiki na siyo Rais wetu .Tena uwe na adabu na heshima kwa Rais wetu.
South AfricaKwa Africa hakuna nchi imefikia level hiyo......ukihoji na kusema ukweli unakuwa karibu Zaidi kupotezwa
Tumehoji mkataa wa bandari hlafu unatutukanaNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Umehoji niniTumehoji mkataa wa bandari hlafu unatutukana
Na Lucas Mwashambwa ni tapeli wa kisiasa.Rais ni mnafik kiwango cha SGR
Ni uzuni mkubwa sana ccm ya sasa imearibu vijana ndani ya chama chake wa kuhoji na wenye jeuri kama ambavyo Mw Nyerere alisisitiza katika hili , matokeo yake ccm ya sasa imetengeneza machawa na Makunguni,Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Na mpaka sasa, CCM inaendelea kuzalisha machawa wengi kadri iwezekanavyo kupitia UVCCM.Ni uzuni mkubwa sana ccm ya sasa imearibu vijana ndani ya chama chake wa kuhoji na wenye jeuri kama ambavyo Mw Nyerere alisisitiza katika hili , matokeo yake ccm ya sasa imetengeneza machawa na Makunguni,
Ccm imekufa kifo kibaya sana