Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Siku nikiona umehoji Chochote..
Nasema Chochote basi nitaamini Maneno yako ni ya ukweli na wewe ni mzalendo..

Narudia chochote hata kama ni cha Serikali ya mtaa
 
Kwa Africa hakuna nchi imefikia level hiyo......ukihoji na kusema ukweli unakuwa karibu Zaidi kupotezwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Tumehoji mkataa wa bandari hlafu unatutukana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ni uzuni mkubwa sana ccm ya sasa imearibu vijana ndani ya chama chake wa kuhoji na wenye jeuri kama ambavyo Mw Nyerere alisisitiza katika hili , matokeo yake ccm ya sasa imetengeneza machawa na Makunguni,

Ccm imekufa kifo kibaya sana
 
Ni uzuni mkubwa sana ccm ya sasa imearibu vijana ndani ya chama chake wa kuhoji na wenye jeuri kama ambavyo Mw Nyerere alisisitiza katika hili , matokeo yake ccm ya sasa imetengeneza machawa na Makunguni,

Ccm imekufa kifo kibaya sana
Na mpaka sasa, CCM inaendelea kuzalisha machawa wengi kadri iwezekanavyo kupitia UVCCM.

UVCCM Makao Makuu imejaza vijana wengi wasio na maarifa (kwasababu za kujuana) ikiwaanda kuwa viongozi wa chama kisha serikali.

Vijana wasio na maarifa, vichwa vitupu, watahoji nini zaidi ya kusifia mpaka ushuzi wa Mohammed Kawaida?
 
Mbona Watanzania walihoji makamu wa Rais yuko wapi jana imekuwa story na mashambulizi kwa Watanzania, huo ujasiri wa kuhoji anaousema ni upi ndugu chawa????
 
Back
Top Bottom