Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu watakuelewa safari hii mkuu!Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Huo ni unafiki wa wazi, hicho alichosema ni kufurahisha genge. Akina Mwabusi wamehoji mkataba wa kugawa bandari ndio anatakiwa kuporwa leseni ya uwakili. Slaa mbali ya kukaa ndani kavuliwa Hadi ubalozi. Awahadae nyie chawa wake.Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Lucas mwashambwa scan na ututumie documents zifuatazo:
Kitambulisho/namba ya NIDA;
Cheti cha kuzaliwa;
Kadi ya CCM; &
Passport 3 (ukiwa kwenye uzi wa chama)
CV na vyeti vya taaluma havina umuhimu sana.
Fanya chapchap kabla ya saa 6 usiku huu usipuuze, ni maagizo ya mama. Hiyo simu yako umeweka hapo deep state tunakupigia hupatikani unazingua!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha bangi mkuuLucas mwashambwa scan na ututumie documents zifuatazo:
Kitambulisho/namba ya NIDA;
Cheti cha kuzaliwa;
Kadi ya CCM; &
Passport 3 (ukiwa kwenye uzi wa chama)
CV na vyeti vya taaluma havina umuhimu sana.
Fanya chapchap kabla ya saa 6 usiku huu usipuuze, ni maagizo ya mama. Hiyo simu yako umeweka hapo deep state tunakupigia hupatikani unazingua!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bandari ipi iliyoporwa? Ndio ninyi mnatumia uhuru kwa kuzusha mambo yasiyo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile. Kwani Dr Slaa alikuwa na hati miliki ya ubalozi? Kwanini aendelee kubakia na hadhi ya ubalozi wakati anatoa maneno ya kihaini ?Huo ni unafiki wa wazi, hicho alichosema ni kufurahisha genge. Akina Mwabusi wamehoji mkataba wa kugawa bandari ndio anatakiwa kuporwa leseni ya uwakili. Slaa mbali ya kukaa ndani kavuliwa Hadi ubalozi. Awahadae nyie chawa wake.
Wewe ndiye mnafiki sanaHakuna raisi mnafiki kma huyu
Narudia tena, nyie chawa wake ndio anaweza kuwahadaa, ama hiyo hadaa mnajifanya mnaikubali ili mjaze matumbo yenu. Ni hivi, rais ni mnafiki kwa kauli hiyo kama wanafiki wengine.Bandari ipi iliyoporwa? Ndio ninyi mnatumia uhuru kwa kuzusha mambo yasiyo na ukweli wala uhalisia wa aina yoyote ile. Kwani Dr Slaa alikuwa na hati miliki ya ubalozi? Kwanini aendelee kubakia na hadhi ya ubalozi wakati anatoa maneno ya kihaini ?
Nakazia kwa spana kubwa kabisa.Ni mnafiki kiwango cha lami...
Mwambie ivo yaani
Acha dharauVyuo sasa mmeruhusiwa kuandaa vizazi vyakuhoji na sio kuwa akina Lukasi mwashamba
Wewe umewahi kuhoji nini? Na mbona wanaohoji unawafanya adui zako?Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Wakina nani niliowafanya maadui zangu kwa kuhoji?Wewe umewahi kuhoji nini? Na mbona wanaohoji unawafanya adui zako?
Mtego huo hatuingii, wasiotaka kuhojiwa watatugeukaNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.
Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.
Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Watu walikataa mkataba wa bandari nyie mkaung'ang'ania, nini maana ya kuhoji??Kwenye suala la Bandari mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania na nyota ya matumaini mh mama Samia na Serikali yake walitoa uhuru wa kutosha kwa watu, taasisi,vyama na wadau mbalimbali kutoa maoni yao na mwisho serikali yetu ilifanyia kazi maoni na mawazo yote muhimu na kuja na mkataba bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika Taifa letu.ambao utachochea ufanisi wa bandari yetu hasa katika masuala ya mizigo pale bandarini ,ambapo sasa haitakuwa inakaa sana kama awali ambapo ilikuwa inaongeza gharama kwa wenye mizigo.
👍🤣🤣🤣
Serikali yetu chini ya uongozi mahili na shupavu wa Rais samia ilipokea maoni ya watu na wadau wote na ikayafanyiaa kazi mawazo ya wote. Ndio maana wakati wote ilikuwa ikitoa maelezo katika lengo la kututoa hofu watanzania juu ya uwekezaji huo.Watu walikataa mkataba wa bandari nyie mkaung'ang'ania, nini maana ya kuhoji??