Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Vipi kuhusu hayo maneno yake!! Safari hii hayajakata kiu ya Watanzania na kuifariji mioyo yao?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Chawa ChawaKunguni!

TUAMBIENI YUKO WAPI MAKAMU WA RAIS P. MPANGO HII MANENO MANENO NA UONGO MNAOTUAMBIA HAULETI AFYA KWA TAIFA.
TUPIGE KELELE ZAIDI. YUKO WAPI??
 
Uwe na adabu na heshima kwa mh Rais wetu ,ambaye ametoa uhuru wa kutosha kwa watu kuzungumza watakavyo na kukosoa wawezavyo. Msitumie uhuru kwa kushusha heshima ya mtu au kuwadhalilisha wengine
Uhuru wa bandia ni unafiki wa kuogofya.

Futa sheria zinazozuia uhuru wa maoni
Futa sheria zinazokandamiza raia na rekebisha mifumo ya nchi itende haki hapo ndo atajijengea heshima.

Unanilazimisha kuwa na heshima ambayo wewe huna. Anza wewe kuwa na heshima kwanza
 
Uhuru wa bandia ni unafiki wa kuogofya.

Futa sheria zinazozuia uhuru wa maoni
Futa sheria zinazokandamiza raia na rekebisha mifumo ya nchi itende haki hapo ndo atajijengea heshima.

Unanilazimisha kuwa na heshima ambayo wewe huna. Anza wewe kuwa na heshima kwanza
Sheria zipi hizo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Anatufanya watamganyika wajinga sana huyu mwanamke. Alisema ameziba masikio waendelee tu kusema. Tutahoji kwenye sanduku la kura
 
Anatufanya watamganyika wajinga sana huyu mwanamke. Alisema ameziba masikio waendelee tu kusema. Tutahoji kwenye sanduku la kura
Hakuna mwenye ubavu wala uwezo wa kumtikisa wala kushindani wala kupimana ubavu wala kumpa changamoto au upinzani katika sanduku la kura.
 
Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan
mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

Lucas mwashambwa scan na ututumie documents zifuatazo:

Kitambulisho/namba ya NIDA;
Cheti cha kuzaliwa;
Kadi ya CCM; &
Passport 3 (ukiwa kwenye uzi wa chama)

CV na vyeti vya taaluma havina umuhimu sana.

Fanya chapchap kabla ya saa 6 usiku huu usipuuze, ni maagizo ya mama. Hiyo simu yako umeweka hapo deep state tunakupigia hupatikani unazingua!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Watanzania wakiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewataka kuwa wajasiri na hodari katika harakati za kujenga mustakabali bora kwa Tanzania.

Amewataka Watanzania kujenga upya mioyo yao na kuahidi kuwa jasiri kupambana katika maendeleo na ustawi.

“Naomba tuwe hodari katika jitihada zetu za kujenga Tanzania inayojumuisha kila mmoja wetu bila ubaguzi, yenye haki kwa kila mmoja wetu, na yenye neema kwa wote.

“Tunaposonga mbele, naomba tukumbuke wale waliotangulia na na kujitoa kulipigania Taifa hili na kuenzi urithi waliotuachia kwa kuendelea kufanya kazi kuelekea mustakabali bora. Naomba tukatae ahadi zisizo na maana, hatua nusu nusu, uongo wa kisiasa na viongozi ambao hawawezi kutumikia matarajio yetu,”amesema.

Amerejea maneno ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela akisema, "nimejifunza kuwa ujasiri si kukosa hofu, bali ni ushindi dhidi yake. Mtu jasiri si yule asiye na hofu, bali ni yule anayeshinda hofu hiyo."
 
Back
Top Bottom