Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
 
Kuna watu wamekariri chorus ngoja waje utaitwa push gang sijui mataga!!! Mambo kibao yasharudi square zero.
Nchi imefunguliwa, eti deep state wanataka hata elimu ipande bei loh!! Dunia Ina maajabu
 
Nchi hii hatutakaa tupate maendeleo chini ya tawala zinazofanya biashara

Unategemea nini kwa mpanga bei ya Mafuta ndiye mfanyabiashara ya mafuta.

Leo nimesikitika sana kuona dar es salaam mafuta 2400 Je mikoa ya Songwe, Katavi,Rukwa na Kigoma Bei itakuwaje?

Maajabu ni kuwa Zambia mafuta bei rahisi wakati mafuta yao yanapita hapa na wanatulipa kodi

Haya ni maajabu ya Dunia!.
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000

Tanzania 2400..
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka..
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa..Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa..
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency..

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Inshu sio EWURA, juzi wakati kodi ya mafuta inaongezwa mlikuwa mnashangilia, sasa leo tena mnaanza kulia!??hizo nchi ulizotaja miaka yote bei ya mafuta huko ni chini kulinganisha na TZ, na sio mafuta tu, hata sukari!!hizo polices ni za zamani kwa sasa haziwezi kufanikiwa kamwe, hicho kituo kilifunguliwa musoma mbona bei yake ya mafuta haikuwa na utofauti na vituo vingine??!!eti una shusha kodi ya pombe, unaongeza kodi ya mafuta unategemea nini si usanii tu kwani lazima kila kitu kitapanda tu.
 
Mama Samia ni very strong sema watu hawajamstukia tu.

Kwa sasa kwa kuwa anaanza basi anatafuta kwanza kupata trust ya makundi yote na kukubalika na raia.

Muda si mrefu mtaelewa ile kauli yake alikuwa anasisitiza yeye na JPM ni kitu kimoja.

Mnaomchezea Mama jiangalieni anawa zoom tu.
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000

Tanzania 2400..
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka..
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa..Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa..
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency..

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Taratibu tutaanza kuelewa kuwa mama hana uwezo wa kukabiliana na wajanja wanaojiita wawekezaji. Wawekezaji wa namna hii ndio marehemu alikuwa anawakataa lakini naona mama yeye anazuzuka na namba za wawekezaji eti kwa kufurahi kuwa Kwa miezi hii mitatu tu wawekezaji waliojiandikisha Ni Mara mbili ya waliofanya hivyo Mwaka Jana! Ukikosa tafakari Ni hasara tupu.
 
Ukipandisha wese tu, automatically umeruhusu “inflation” kwenye kila kitu maana items zote watadai zinasafirishwa barabarani. Matokeo yake mlaji mnyonge wa mwisho kabisa ndio anaathirika pakubwa

Kwa Samia tumepigwa!
 
Kuna watu wamekariri chorus ngoja waje utaitwa push gang sijui mataga!!! Mambo kibao yasharudi square zero.
Nchi imefunguliwa, eti deep state wanataka hata elimu ipande bei loh!! Dunia Ina maajabu

Wapandishe ada?Na mishahara iko pale pale??
 
Ulichoandika hapa Mkuu Boss ni sababu tosha ya kumkabili Maza na kupinga bajeti yake ambayo ina kodi kubwa sana kwa walipa kodi. Kama nchi zote zinanunua Petroli kutoka soko lile lile la iweje bei ya petroli nchini iwe kubwa sana kuliko nchi nyngine?

Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000

Tanzania 2400..
Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka..
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa..Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa..
Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency..

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
 
Ila CCM bana. Mwaka wa sita huu mishahara iko palepale ila kodi zinazidi kuongezeka wakati hao hao watumishi ndo wanapasuka kwa kuongezeka gharama za maisha. Unalipa income tax kubwa ukija mtaani mfanyabishara anampasua tena kwa bei za bidhaa. Ni kama unalipa kodi mara kumi kumi wangekuwa wanawafikiria watumishi wangeondoa kodi (income tax) kama mishahara wamegoma kuongeza
 
Mama Samia ni very strong sema watu hawajamstukia tu.

Kwa sasa kwa kuwa anaanza basi anatafuta kwanza kupata trust ya makundi yote na kukubalika na raia.

Muda si mrefu mtaelewa ile kauli yake alikuwa anasisitiza yeye na JPM ni kitu kimoja.

Mnaomchezea Mama jiangalieni anawa zoom tu.
Tuache uzwazwa..Samia anakuwaje kama Jiwe?..
 
Back
Top Bottom