RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mkuu unanitafuta nini? Mimi dereva WA daladala bei ya mafuta inaniathiri sana nitafurahi nini sasa? Nifurahie njaa?!!GT RRONDO alipo anafurahiiii weee mafuta yamepanda bei hadi jana aliposti uzi kwa mara ya kwanza yeye ni mchangiaji tu. Na ninajua anasema tu na mbadooo