Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Mkuu hongera Kwa bandiko zuri!
Magu walikuwa wanamuogopa Kuliko...
Walikuwa hawathubutu kwa “Sababu yeyote kupandisha Bei” justification ya Kupanda bei ilikuwa ngumu mnoo kwa magu!
2.Mkuu kwanini Unafikiri TPDC watashindwa kuuza Mafuta Kwenye vituo vyao kama ulivyosema?nini Kitawazuia wakwame?
Au Hao big Oil companies?
TPDC wakianza kuuza mafuta mtawafunga mpaka mahakama itakataa kuwafunga tena. Mafuta ni biashara kichaa na ina risks nyingi. TPDC wamejipanga kubeba hizo risks?
Serikali ina hisa PUMA. Kwanini wasipambane PUMA ibebe interest za umma na kuwa kampuni yenye unafuu? Tusisahau pia kuna kodi kadhaa kwenye kila lita ya mafuta.
 
Bajeti ya Mwigulu hamkuisoma kwenye kipengele cha kodi ya mafuta ndugu zangu?

Au mliishia kusherehekea bia za buku ???
 
Bajeti ya Mwigulu hamkuisoma kwenye kipengele cha kodi ya mafuta ndugu zangu?

Au mliishia kusherehekea bia za buku ???
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90

Wa Sabaya replays elfu 1 na zaidi

Wa kusaini petition ya kumtoa mondi BET ulikuwa na replays 800 na zaidi

Sasa utapambanua ni wapi watz akili zao zipo
 
Mkuu hongera Kwa bandiko zuri!
Magu walikuwa wanamuogopa Kuliko...
Walikuwa hawathubutu kwa “Sababu yeyote kupandisha Bei” justification ya Kupanda bei ilikuwa ngumu mnoo kwa magu!
2.Mkuu kwanini Unafikiri TPDC watashindwa kuuza Mafuta Kwenye vituo vyao kama ulivyosema?nini Kitawazuia wakwame?
Au Hao big Oil companies?

TPDC lazima wafeli
Kwanza watapigwa vita na hao Oil cartel
Pili kampuni za umma zina bureaucracy nyingi
Na kushindwa kufanya maamuzi ya haraka..
Unless ianzishwe kampuni ingine iwe listed DSE....
 
The Boss,

Fuatilia bei ya mafuta kwenye soko la dunia, na utaona tangu mwezi wa 6 uanze, bei imekuwa ikipanda tu...

Kwa Zambia, siwezi kushangaa bei kuwa chini kwa sababu mwanzoni mwa mwaka huu kuna baadhi ya kodi waliziondoa kwa kampuni zinazoagiza mafuta!!

Sina uhakika na hiyo bei ya Rwanda ulikoitoa, lakini kwa mujibu wa mtandao wa Global Oil Price, inaonesha bei ya petrol Rwanda ipo juu tena pengine kuliko Tanzania.

Sipo Kenya, lakini kwa mujibu wa EWURA ya Kenya, bei ya petrol kwaMombasa ambayo tunaweza kuiweka kundi moja na Dar ipo KSH 124.72 ambayo ni zaidi ya Sh 2600 za Tanzania. Labda Manyan'au akina Tony254, Teargas, na MK254 waje ku-verify hizo bei za Kenya kutoka Energy & Petroleum Regulatory Authority ambapo inaonesha Nairobi, lita moja ya petrol (super) ni KSh. 127.14 ambazo ni takribani TSh. 2700/=

Je, wewe hizo bei umezitoa wapi?
Nyang'au atakuwa ni mke wako.
 
Mkuu hongera Kwa bandiko zuri!
Magu walikuwa wanamuogopa Kuliko...
Walikuwa hawathubutu kwa “Sababu yeyote kupandisha Bei” justification ya Kupanda bei ilikuwa ngumu mnoo kwa magu!
2.Mkuu kwanini Unafikiri TPDC watashindwa kuuza Mafuta Kwenye vituo vyao kama ulivyosema?nini Kitawazuia wakwame?
Au Hao big Oil companies?
Nyie watu mnapenda sana Magu kumpa sifa zisizo zake!!! Magu hakuwa na uwezo wa ku-control bei ya mafuta, bali ilikuwa ukiona ipo chini, basi bei hata soko la dunia ipo chini!!

Magu angekuwa na uwezo wa ku-control bei za soko la dunia basi angefanya hivyo hata kwa mazao ya wakulima!!
 
Acha ku-mind vitu vidogo, hilo na jina la utani tu, huna haja ya kutoa povu!!! Hivi nyie mnavyoita Watanzania Bongo Lala, watu wameshawahi kuwahusisha na watu wa majumbani kwenu? Mbona una mambo ya kiboya!!
Nyang'au ni jina la tusi. Anyway, bei ya mafuta ya Kenya uliyoweka ni sahihi.
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
One of the best reading of the pertaining situation, I would say.

"Tunafungua nchi",; na bado!

Unafungua nchi na hukuandaa chochote kukabiliana na ufunguzi huo, lazima upigwe tu.
Ngoja tusubiri kuona nani "atamzingua" mwingine, 'cartels' au Samia?
 
Nyang'au ni jina la tusi. Anyway, bei ya mafuta ya Kenya uliyoweka ni sahihi.
Tunavyotumia nyang'au hatumaanishi tusi, bali enzi za Nyerere alikuwa anawachukulia Wakenya ni mabepari, kwahiyo neno nyang'au linawakilisha mapepari kwa sababu ujamaa ulikuwa unaamini mabepari hayajali utu wa mtu bali mali!

Aidha, ulikuwa unachukulia mabepari ni waporaji tu wa mali, na hivyo kuwa kama manyang'au!!
 
Back
Top Bottom