Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Mama Samia ni very strong sema watu hawajamstukia tu.

Kwa sasa kwa kuwa anaanza basi anatafuta kwanza kupata trust ya makundi yote na kukubalika na raia.

Muda si mrefu mtaelewa ile kauli yake alikuwa anasisitiza yeye na JPM ni kitu kimoja.

Mnaomchezea Mama jiangalieni anawa zoom tu.
Hopeless
 
The Boss,

Fuatilia bei ya mafuta kwenye soko la dunia, na utaona tangu mwezi wa 6 uanze, bei imekuwa ikipanda tu...

Kwa Zambia, siwezi kushangaa bei kuwa chini kwa sababu mwanzoni mwa mwaka huu kuna baadhi ya kodi waliziondoa kwa kampuni zinazoagiza mafuta!!

Sina uhakika na hiyo bei ya Rwanda ulikoitoa, lakini kwa mujibu wa mtandao wa Global Oil Price, inaonesha bei ya petrol Rwanda ipo juu tena pengine kuliko Tanzania.

Sipo Kenya, lakini kwa mujibu wa EWURA ya Kenya, bei ya petrol kwaMombasa ambayo tunaweza kuiweka kundi moja na Dar ipo KSH 124.72 ambayo ni zaidi ya Sh 2600 za Tanzania. Labda Manyan'au akina Tony254, Teargas, na MK254 waje ku-verify hizo bei za Kenya kutoka Energy & Petroleum Regulatory Authority ambapo inaonesha Nairobi, lita moja ya petrol (super) ni KSh. 127.14 ambazo ni takribani TSh. 2700/=

Je, wewe hizo bei umezitoa wapi?
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka.
Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel..

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana .
Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
 
Mama Samia ni very strong sema watu hawajamstukia tu.

Kwa sasa kwa kuwa anaanza basi anatafuta kwanza kupata trust ya makundi yote na kukubalika na raia.

Muda si mrefu mtaelewa ile kauli yake alikuwa anasisitiza yeye na JPM ni kitu kimoja.

Mnaomchezea Mama jiangalieni anawa zoom tu.
Sahau
 
Ila CCM bana. Mwaka wa sita huu mishahara iko palepale ila kodi zinazidi kuongezeka wakati hao hao watumishi ndo wanapasuka kwa kuongezeka gharama za maisha. Unalipa income tax kubwa ukija mtaani mfanyabishara anampasua tena kwa bei za bidhaa. Ni kama unalipa kodi mara kumi kumi wangekuwa wanawafikiria watumishi wangeondoa kodi (income tax) kama mishahara wamegoma kuongeza
Watu wamepigia kelele sana kuhusu VAT wafanyabiashara wengi kwa sasa hawatoi receipt, mpaka iweje??? Pale mtaa wa Kongo wana bango la matangazo TRA lakini maduka ya jirani tu receipt yanazingua

Swala la kodi wafanya kazi wataendelea kuumia maana hawawezi kwepa kama business people...
 
Ulichoandika hapa Mkuu Boss ni sababu tosha ya kumkabili Maza na kupinga bajeti yake ambayo ina kodi kubwa sana kwa walipa kodi. Kama nchi zote zinanunua Petroli kutoka soko lile lile la iweje bei ya petroli nchini iwe kubwa sana kuliko nchi nyngine?
hao wanaojitapa wana master ya uchumi wametengeneza bajeti ya ovyo sasa hivi tutaona umeme soon utapanda
 
Kwani kipindi cha Magufuli bei ilikuwa shilingi ngapi kwa lita? Bei ilikuwa 2,200 hadi 2,100 ambapo bado ilikuwa juu zaidi ya Zambia na nchi jirani zinazopokelea mafuta kwenye bandari zetu.
Over 500tsh increment, mkuu ni parefu apo
 
Kuna vitu tunashindwa kuelewa ndani ya bunge kumejaa makundi tofauti ,kuna watu wapo kwaajili ya kupendekeza mambo yao yasoge mbele, kuna watu wapo kwaajili ya posho , kuna watu wapo kwaajili ya uongozi n.k

Ndio maana kuna wananchi tumezama kwenye mtego kushindwa kuelewa nini maana ya KATIBA.

Leo Dubai, Sheikh Zayed Road, maeneo ya Business Bay. Mji wenye wenyeji ambao hawana muda wa porojo. Mji ulikuwa jangwa sasa ndio hivyo tena, wana rasilimali moja tu, petroli,yote inaenda kwenye mji na wananchi wake. Tusione vinaelea, vimeundwa.

Hospitalini hakuna dawa, shuleni hakuna viti, wabunge mishahara haitoshi nchi unahitaji kujengwa yaani sh 100 HAITOSHI! Wafanye hata 500. Maana wananchi wenyewe vichwa vigumu kuelewa.
Hii nchi inashangaza sana, mtu aliye straight utatungiwa kila aina ya uchafu lakini wakilenga kulinda issues zao tu
 
Wewe ndio wa hovyo kabisa!

Magu alikuata mafuta yanauzwa kati ya 1900 hadi 2100 na alimaintain bei isivuke 2200 kwa muda wake wa miaka yote 5

Hiyo bei yako ya 1200 ni ya Mkapa!

Ni suala la muda tu tutaelewana tu
Isije ikawa unakumbuka sana bei ya mafuta kwa mwaka 2020 ambapo kote duniani ilishuka kutokana na corona!! No one can control oil price unless nchi husika iwe imeondoa mzigo wa kodi kwa kampuni za uagizaji wa mafuta!

Kama bei wakati wa Magu ilikuwa chini basi ilitokana na bei ya mafuta soko la dunia kuwa chini! Kama alivyoshindwa ku-control bei ya korosho na mbaazi, pamoja na mazao mengine ndivyo ambavyo asingeweza ku-control bei ya mafuta!!

Kwahiyo hoja kwamba eti ali-maintain isivuke 2200, sio kweli bali soko la dunia ndilo lilifanya bei isivuke hapo! Kwa mfano, angalia hizi historical data za bei ya mafuta soko dunia kama zilivyotolewa Trading Economics:-

Oil.png


Utaona hapo bei 2020 kuna wakati ilishuka sana, but somewhere in 2018, bei ilikuwa juu kama ilivyo sasa, na ukiingia EWURA, utakuta wakati husika bei elekezi ilikuwa:-
Ewura.png


Hapa ndipo ilipo hatari ya kuongeza kodi kwenye bidhaa muhimu kama mafuta!
 
Inshu sio EWURA, juzi wakati kodi ya mafuta inaongezwa mlikuwa mnashangilia, sasa leo tena mnaanza kulia!??hizo nchi ulizotaja miaka yote bei ya mafuta huko ni chini kulinganisha na TZ, na sio mafuta tu, hata sukari!!hizo polices ni za zamani kwa sasa haziwezi kufanikiwa kamwe, hicho kituo kilifunguliwa musoma mbona bei yake ya mafuta haikuwa na utofauti na vituo vingine??!!eti una shusha kodi ya pombe, unaongeza kodi ya mafuta unategemea nini si usanii tu kwani lazima kila kitu kitapanda tu.
Hata mafuta ya kula yamepanda.
 
Halafu mtu anajinasibu eti yeye Ni kama Magufuli tusiwe na wasiwasi! Na sisi wananchi tunaitikia Kwa Chorus: "Mama ameanza vizuri na amerudisha Furaha"! Hivi kauli zingine huwa tunatafakari au zinatutoka tu kama udenda wa mtoto mchanga?
Hovyo tu, alikuta mafuta shilingi elfu 1200 tu ikapaa mpaka 2200 kwa lita, saruji juu, mabati juu, mafuta ya kula juu

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Wewe unaishi Tz peke yako? 2015 mafuta yalikuwa 1200?? Ukiacha kipindi ambacho dunia nzima yalishuka????
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...

Mkuu hongera Kwa bandiko zuri!
Magu walikuwa wanamuogopa Kuliko...
Walikuwa hawathubutu kwa “Sababu yeyote kupandisha Bei” justification ya Kupanda bei ilikuwa ngumu mnoo kwa magu!
2.Mkuu kwanini Unafikiri TPDC watashindwa kuuza Mafuta Kwenye vituo vyao kama ulivyosema?nini Kitawazuia wakwame?
Au Hao big Oil companies?
 
Nchi hii hatutakaa tupate maendeleo chini ya tawala zinazofanya biashara

Unategemea nini kwa mpanga bei ya Mafuta ndiye mfanyabiashara ya mafuta.

Leo nimesikitika sana kuona dar es salaam mafuta 2400 Je mikoa ya Songwe, Katavi,Rukwa na Kigoma Bei itakuwaje?

Maajabu ni kuwa Zambia mafuta bei rahisi wakati mafuta yao yanapita hapa na wanatulipa kodi

Haya ni maajabu ya Dunia!.

Mkuu labda wanachukua tofauti na Kunapochukulia sisi[emoji3516][emoji12][emoji12]Au Gharama za Usafirishaji ni toka huko kuja bongo ni Tofauti na sisi!
Hope hatuagizi kwa pamoja
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...

Unajua kodi mwaka huu imeongezeka kiasi gani kwenye kila lita ya mafuta? Tunalipa kodi mazee ili tujenge nchi. Ili wabunge wapate mishahara
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...

Kwani hao Zambia tunaagiza Bulk wote kwa Pamoja?
Hii Vita ni Ngumu Mkuu...Alisikika Mmoja akisema vita ya Kiuchumi ni Ngumu kuliko!
 
Back
Top Bottom