Ndio angalia bei haikuzidi 1500Wewe unaishi Tz peke yako? 2015 mafuta yalikuwa 1200?? Ukiacha kipindi ambacho dunia nzima yalishuka????
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio angalia bei haikuzidi 1500Wewe unaishi Tz peke yako? 2015 mafuta yalikuwa 1200?? Ukiacha kipindi ambacho dunia nzima yalishuka????
Watz ni wakuonea huruma!!na ole wako uonekane unataka kuwaamsha!!yaani tena ndio watakuona mbaya!!kwamba huwatakii mema unatumwa!!mzandiki wazee wa propaganda wanazidi kuwakamua tu!!Hata mafuta ya kula yamepanda.
Haiwezi kuwa constant lakini bei kupanda kila siku hata bei kwenye soko la dunia inashuka hii haisaidii mwananchi, pindi bei uya mafuta soko la dunia yalishuka lakini bei ilikuwa juu, sema hatuna viongozi wenye nia ya dhati ya kumkomboa mwananchi, manjegeka wewe ndumilakuwiliWewe ulitaka vitu vibaki bei zile zile miaka yote wewe utakuwa manjegeka
Mama anaupiga mwingi sana [emoji2211][emoji2211]
Duh sijawahi na sintokuja kuamini huu utawala maana sio uongozi wa jamaa ulikuwa na malengo ya kumsaidia mwananchiWewe ndio wa hovyo kabisa!
Magu alikuata mafuta yanauzwa kati ya 1900 hadi 2100 na alimaintain bei isivuke 2200 kwa muda wake wa miaka yote 5
Hiyo bei yako ya 1200 ni ya Mkapa!
Ni suala la muda tu tutaelewana tu
Magu ni suala la muda tu atapewa heshima anayostahili.
Rukwa petrol 2548,hatari SanaNchi hii hatutakaa tupate maendeleo chini ya tawala zinazofanya biashara
Unategemea nini kwa mpanga bei ya Mafuta ndiye mfanyabiashara ya mafuta.
Leo nimesikitika sana kuona dar es salaam mafuta 2400 Je mikoa ya Songwe, Katavi,Rukwa na Kigoma Bei itakuwaje?
Maajabu ni kuwa Zambia mafuta bei rahisi wakati mafuta yao yanapita hapa na wanatulipa kodi
Haya ni maajabu ya Dunia!.
Tatizo watawala kwa kila kitu wanachotaka kukitekeleza wanafikiria kwanza mafuta ,hawataki kabisa kutumia kichwa kupata vyanzo vya mapato matokeo yake mafuta yanakuwa na makodi mengin na matozo kibaoHawa jamaa ni takataka kweli, yaani unafikiria bandari tunazo lakini wanashusha mzigo wa mafuta unaenda na nchi jirani lakini kwetu bei juu
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Sasa unataka sisi tusemeje.....Mama hana ujanja tiyari keshazingirwa na wajanja
Magu alikuwa ni namba nyingine.Hakika tutamkumbuka.....Halafu mtu anajinasibu eti yeye Ni kama Magufuli tusiwe na wasiwasi! Na sisi wananchi tunaitikia Kwa Chorus: "Mama ameanza vizuri na amerudisha Furaha"! Hivi kauli zingine huwa tunatafakari au zinatutoka tu kama udenda wa mtoto mchanga?
Mkuu sio hiyo tu kodi iliyongezwa 100 ,tatioz mafuta yetu wamekuwa na mlolongo wa matozo mengi sana yaan kila mtawala akitaka kufanya kitu chake wala haumizi kichwa yeye anakimbilia tu Kwenye mafuta matokeo yake mafuta yanakuwa na makodi kibaoLawama kwa mwigulu kiongeza kodi kwenye mafuta na kupunguza kodi ya kubeti na pombe
Bisha wee lakini ukweli umeshakuchapaHovyo tu, alikuta mafuta shilingi elfu 1200 tu ikapaa mpaka 2200 kwa lita, saruji juu, mabati juu, mafuta ya kula juu
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Bisha wee lakini ukweli umeshakuchapaHovyo tu, alikuta mafuta shilingi elfu 1200 tu ikapaa mpaka 2200 kwa lita, saruji juu, mabati juu, mafuta ya kula juu
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa huwaga ni ke.ngeKwa UFINYU wa akili yako.
Kwa spidi....Ujanjaujanja Umerudi Tena