Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Kuna sehemu nilisikia watu wakisema huu ndio wakati wa kupiga parefu mana hatujui ajar atakuwaje!! Watu wamejifunza kupitia JPM ivo panapo upenyo wanaona bora kupiga Na ku accumulate enough!! Bi mkubwa naona Ana nata Na beats za activists tu
Nchi haiendeshwi kwa kumfurahisha kila mtu
So activist ndo wamemshauri apandishe bei ya petrol?
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Bado mbolea inapanda kila kukicha kama mtu anaongeza sauti ya radio
 
Hapa ukiangalia siyo cartel ya wauza mafuta bali ni utitiri mkubwa wa kodi katika bidhaa ya mafuta. Mfano, mwezi huu pekee, CIF ya petroli ni TZS 1,216 hivi. Baada ya hapo kuna kodi baada ya kodi hadi imefika TZS 2,405
lita kwa Dar es Salaam kwa petroli pekee. Na ukisoma ukurasa wa nane wa tangazo la EWURA utaona utitori wa kodi hizo. Utakuta hata faida kwa wauza mafuta wamewekewa,mfano petroli ni kama shs 128 kwa lita. Sasa ukichukua bei ya rejareja kwa DSM utoe na CIF na faida kwa whole sellers na retailers inayobakia ni kodi na tozo mbalimbali.
Miaka ya nyuma serikali ilikuwa na kawaida ya kila budget kupandisha ushuru kwenye vinywaji hasa vileo na soda, sasa imeanzisha huu utaratibu kwenye bidhaa za mafuta. Ndiyo maana utaona hata enzi za Magufuli, petroli haijaweza kuwa chini kuliko inavyokuwa nchi jirani ambazo zinapitisha mafuta hapa kwetu.
Shida kubwa ya watoza kodi wetu siyo kupanua wigo mkubwa wa walipa kodi ikiwa ile stamilivu, ni kutoza kodi kubwa kwenye bidhaa zile zile bila kujali kuwa anayeumia ni mlaji wa mwisho.
Mkuu mwaka jana covid imeshika kasi mafuta pipa moja ilikua ni bure/negative price lakini Tanzania lita moja ilikua 1700 na ushee. Yaani Tanzania hakuna tofauti kubwa sana pale mafuta yakishuka bei na kua negative ama zero na bei ambayo mafuta yako juu.

Kinachonimaliza nguvu, mafuta yakipanda leo kesho ewura wanapandisha bei. Yakishuka leo Ewura wanasema bado kuna mafuta yalinunuliwa kwa bei za zamani sokoni.

Mama hao wajanja washamzidi nguvu.
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Familia ya Kikwete inahusishwa na umiliki wa kampuni kubwa ya mafuta na Kikwete inasemekana ndiye mshauri mkuu wa mama! Unganisha...
 
***Fluctuations katika mafuta ni jambo la kawaida sana kwa sababu huwa yanategemeana na bei ya manunuzi /soon yatashuka bei Mtacheka sana.
#Unfluctuable_product,labda serekali iamue kuwa iwe inafidia gape,which not ease.***
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Usiwe juha,hizo nchi jirani hawajaweka kodi mbalimbali kwenye mafuta yao,hapa Bongo kuna ewura,Tarura,road fund nk kwa hiyo bei haziwwzi lingana
 
Halafu mtu anajinasibu eti yeye Ni kama Magufuli tusiwe na wasiwasi! Na sisi wananchi tunaitikia Kwa Chorus: "Mama ameanza vizuri na amerudisha Furaha"! Hivi kauli zingine huwa tunatafakari au zinatutoka tu kama udenda wa mtoto mchanga?
Yaani mshenzi yule aluyeharibu uchumi kwa miaka 5 hakuna cha kuonesha, yaani unaanza humalizi unatafuta justification ya kubadili Katiba Ili uendelee kuwa dikteta..nikajua mnakuja na hoja ya uchumi kuharibiwa,miradi kusimama kumbe unaongelea bei ya mafuta?

Unadhani kila mtu atajenga vituo vya afya 400 kwa miaka 5? Maza anaenda kuwaabisha nyie mataga na kufuta legacy, kwani bei ikiwa kubwa na tija ikaonekana kuna shida gani? Mbona nauli hazijapanda?
 
Kwa maoni yangu Mkuu Boss maza hajiamini hivyo wahuni ndani ya Serikali wamegundua hilo sasa wanamburuza tu watakavyo na yeye kwa kutaka kujionyesha anatoa ushirikiano basi ANADEMKA tu. Akiendelea hivi bila kuwa makini watapitisha vitu vya ajabu ajabu sana kwake kwa faida ya hao wahuni ndani ya Serikali na maccm. Ingekuwa vizuri awe na mtu kama CAG Assad ambaye anazijua namba kwa kina na athari zake kwa Taifa kwa namna moja au nyingine na pia atauliza maswali muafaka kabla hajamruhusu maza atie wino, vinginevyo itakula kwake.


Mmh! Makubwa, hata wewe kipenzi mama tuvushe umeshamgeuka!?

Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mshenzi yule aluyeharibu uchumi kwa miaka 5 hakuna cha kuonesha, yaani unaanza humalizi unatafuta justification ya kubadili Katiba Ili uendelee kuwa dikteta..nikajua mnakuja na hoja ya uchumi kuharibiwa,miradi kusimama kumbe unaongelea bei ya mafuta?

Unadhani kila mtu atajenga vituo vya afya 400 kwa miaka 5? Maza anaenda kuwaabisha nyie mataga na kufuta legacy, kwani bei ikiwa kubwa na tija ikaonekana kuna shida gani? Mbona nauli hazijapanda?
Unaulizia nauli kupanda hio bei hata madereva wa daladala ndio kwanza wameijua jana🤣🤣🤣 wacha uone kama mwezi huu utafika nusu bila nauli kufika sh. 600 na mwendokasi 1000
 
Hebu acha uongo wewe! Wapi nilipoandika mama tuvushe!? Niliandika kwamba hotuba yake ya siku aliyoapishwa imenipa matumaini. Sasa hotuba ya kutoa matumaini na utendaji ni vitu viwili tofauti. Ndani ya miezi mitatu tu kauli zake zimeonyesha ni dikteta mwingine.

Mmh! Makubwa, hata wewe kipenzi mama tuvushe umeshamgeuka!?

Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
 
Kuongeza bei ya wese hapa mama kazingua sana. Hili niliona wakati mwigulu anapewa uwaziri wa fedha jamaa hana uwezo hii nafasi inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa na masuala ya uchumi, hii nafasi mpango ndo aliiweza, mpango kama amefichwa [emoji119].

Haimake sense kabisa nchi zinazotumia bandar yetu mafuta bei iwe chini ukilinganisha na sisi??. Hivi athari zake wamekaa chini wamechambua? Au wamekurupuka?.

Mafuta kupanda itapelekea inflation gharama zitaongezeka kuanzia kwenye production, transportation nk, ambapo ili kukava bei za transportation lazma mtu aongeze bei ya bidhaa.

Bei za nauli tutarajie kuongezeka na ma bus kwa ujumla, maisha yatakua magum kwa maskini. Gharama za maisha lazma ziongezeke.

Hii ni akili? Unapunguza kodi za vinywaji na unaongeza kodi za Nishati? Bila shaka Rushwa zinahusika. Wazir mwenye akili timamu huwezi fanya ujinga kama huu, unapunguza kodi za bia ili watu walewe washindwe fanya kazi..[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Tutaona Mengi ndugu zangu kama ni album basi hii ni intro tu.
 
Huyo asikudanganye. Bei ya mafuta kupanda au kushuka hutangazwa tarehe 14 ya kila mwezi. Sasa hio Kenya ambayo bei imepanda leo tarehe mosi Julai ni Kenya gani hio? Mpotezee tu huyo.

Cc Chige
The problem watu huwa wana-comment bila kufanya utafiti, au bila kufuatilia comments zingine!!!
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Kuna watu kawarudisha serikalini na wameamua kurudi kwenye mazoea yao

Inflation itakua ya ajabu Sana

Anatakiwa awatose washauri waliokua wanatumika na awamu fulani
 
Kuongeza bei ya wese hapa mama kazingua sana. Hili niliona wakati mwigulu anapewa uwaziri wa fedha jamaa hana uwezo hii nafasi inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa na masuala ya uchumi, hii nafasi mpango ndo aliiweza, mpango kama amefichwa [emoji119].
Nitarudia, kwa hili Mama tunambebesha msalaba ambao sio wa kwake, kwa sababu, yeye or anyone else hana uwezo wa ku-control bei ya mafuta! Fuatilien, bei ya mafuta imepanda soko la dunia!!

Mmepewa Free Google... tafuta bei ya mafuta July 2018 ilikuwaje na bei ya mafuta Tanzania July 2018, ilikuwaje!! Kisha, tafuta takwimu za be ya mafuta soko la dunia ipo vipi kisha bei ya mafuta Tanzania kwa sasa, ipo vipi!!!

In short, bei ya mafuta soko la dunia July 2018 ni sawa ya sasa; na bei ya mafuta Tanzania July 2018, kwa Dar es salaam ambayo ndiyo reference yetu, ilikuwa almost TSh. 2400, sawa na yeye!!!

Tumia Google mwenyewe kwa kupata official sources u-verify hayo niliyokutajia!!!
 
Back
Top Bottom