Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Mama anafungua nchi jamani, wawekezaji wanakuja kwa kasi, mama anazidi kuupiga mwingi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Wanawake wanaweza[emoji23][emoji23]
 
Ulichoandika hapa Mkuu Boss ni sababu tosha ya kumkabili Maza na kupinga bajeti yake ambayo ina kodi kubwa sana kwa walipa kodi. Kama nchi zote zinanunua Petroli kutoka soko lile lile la iweje bei ya petroli nchini iwe kubwa sana kuliko nchi nyngine?
Wameshindwa kukusanya kodi hawana pesa kwa hio wamekuja na ubakaji jumuishi kwa maskini huku matajiri wakipumzishwa kulipa kodi stahiki. Na Uchumi bila hio akili mbovu ya kibeberu hadi octoba TZ inaanguka. Anyway naishia hapa
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Cartel ndiyo hao hao CCM wenyewe akiwamo mwenyekiti wake. They bloody well know what they're doing.
Ni cartel hiyo hiyo ndiyo imeruhusu wale wabunge 19 wasio na vyama waendelee kupokea rushwa ili wakae bungeni isivyo halali.

Kusema mama amezidiwa ujanja katika yote haya will be naivety of the highest order!
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
For comparison, the average price of gasoline in the world for this period is 166.46 Kenyan Shilling.
...
Kenya Gasoline prices, 28-Jun-2021.
Kenya Gasoline pricesLiterGallon
KES129.130488.810
USD1.1984.535
EUR1.0063.808
ukiconvert bei ya kenya kwa lita moja ya petrol hesabu zinakuwa hivi:KES21.47 x 129.130=2772.4211 kwa rate ya 1TZS = KES 21.47 hapo naona bei ya kenya ipo juu sana, jibu ninalolipata hapa kwa akili yangu kidogo ni labda kuna Government subsidies, sina hakika
 
Mwacheni aendelee kupanua wawekezaji waweze kuingiza vizuri, na hizi ni rasha rasha tu. Hadi sindano iwaingie vizuri. Hii nchi ilikuwa na import cover ya miezi 6. Chijui hivi sasa kuna nini huko hazina.
 

Tanzania Gasoline prices, 28-Jun-2021​

Tanzania Gasoline prices
Liter
Gallon
TZS
2,249.000​
8,513.387​
USD
0.970​
3.672​
EUR
0.814​
3.081​
U.S. Gallon
Gasoline prices per liter, octane-95: We show prices for Tanzania from 22-Mar-2021 to 28-Jun-2021. The average value for Tanzania during that period was 2,155.27 Tanzanian Shilling with a minimum of 1,981.00 Tanzanian Shilling on 22-Mar-2021 and a maximum of 2,249.00 Tanzanian Shilling on 28-Jun-2021. For comparison, the average price of gasoline in the world for this period is 3,580.89 Tanzanian Shilling. Use the drop menu to see the prices in gallons.
sielewi vizuri hapa wajuzi tupeni elimu hapa
 
Naona itakuwa ni maandalizi ya hela kwa ajiri ya uchaguzi, maana ndio sehemu ambayo unaweza chota kwa urahisi bila kustukiwa.
 
Kwa maoni yangu Mkuu Boss maza hajiamini hivyo wahuni ndani ya Serikali wamegundua hilo sasa wanamburuza tu watakavyo na yeye kwa kutaka kujionyesha anatoa ushirikiano basi ANADEMKA tu. Akiendelea hivi bila kuwa makini watapitisha vitu vya ajabu ajabu sana kwake kwa faida ya hao wahuni ndani ya Serikali na maccm. Ingekuwa vizuri awe na mtu kama CAG Assad ambaye anazijua namba kwa kina na athari zake kwa Taifa kwa namna moja au nyingine na pia atauliza maswali muafaka kabla hajamruhusu maza atie wino, vinginevyo itakula kwake.
Kwa maana hiyo umekiri kua Kama JPM angekua bado madarakani tusingefika hapa tunapoelekea!!?
 
Birds 🦅 of the same feathers 🪶………
You seem to have the same feathers with a little bit of some structural adjustment.

You just need to denounce the Northern Gang and be a patriot.

At that point you 'shall' have freed your soul for you to live your true-self.
 
You don’t know me so stop your stupid conclusion about me.

You seem to have the same feathers with a little bit of some structural adjustment.

You just need to denounce the Northern Gang and be a patriot.

At that point you 'shall' have freed your soul for you to live your true-self.
 
Mkuu Bei ya Petrol mwezi march ilikuwa chini ya Rwanda/Zambia? Means 1800? Kama ndio basi sawa ila kama ilikuwa juu ya beiz hizo za rwanda/zambia basi cratel ilikuwa inafanya hujuma hadi kipindi cha ankali.
 
Kwa maoni yangu Mkuu Boss maza hajiamini hivyo wahuni ndani ya Serikali wamegundua hilo sasa wanamburuza tu watakavyo na yeye kwa kutaka kujionyesha anatoa ushirikiano basi ANADEMKA tu. Akiendelea hivi bila kuwa makini watapitisha vitu vya ajabu ajabu sana kwake kwa faida ya hao wahuni ndani ya Serikali na maccm. Ingekuwa vizuri awe na mtu kama CAG Assad ambaye anazijua namba kwa kina na athari zake kwa Taifa kwa namna moja au nyingine na pia atauliza maswali muafaka kabla hajamruhusu maza atie wino, vinginevyo itakula kwake.


Na ndio maana Wakenya walifurahi sana mama aliposhika nchi, wanajua uwekezaji wao huku umetiki

Walikuwa wanaimport vitu vingi, mfano maziwa ya BROOKSIDE kwa miaka yote, Magu akapiga marufuku na kweli Tanga Fresh na Asas zikaanza kufanya vizuri sana

Akapiga marufuku Vifaranga vya KENCHICK kuingizwa nchini ili tuzalishe vya kwetu, na kweli NAPOKO, TANCHICK, KIBO n.k vikazalisha kwa wingi

Wakenya wakachukia sanaaa

Ila tangu Magu ameondoka sasa Wakenya wanafurahi sana kutupiga kwakuwa wanatuletea bidhaa na huku viwanda vyetu japo vichache vinakufa.

Mama anatakiwa atafakari sana, amekuwa mpole mno akitaka kumridhisha kila mtu hasa Wawekezaji.
 
Unapingaje kitu ambacho kimeshapitishwa bungeni?


Wakati Mwiguli anasoma bajeti pale bungeni nyie mlikuwa busy kusaini petition ili Diamond atolewe kwenye tuzo za BET,!

Sikia! Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya nchi uzi wake hapa ulikuwa na coments 90, uzi wa Sabaya ulikuwa na coments elfu 1 na ule wa kusaini petition ya kumtoa Mondi kwenye tuzo za BET ulikuwa na coments 800

Sisi ni [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Kweli kabisa

Wasomi wa Tanzania wametekwa na Ushabiki na Ushambenga

Hawajudge mambo makubwa kama bajeti ya Taifa inavyoumiza Wananchi, wapo wapo tu wanajadili habari za kina Hamisa Mobeto na Diamond
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...


Hapa ukiangalia siyo cartel ya wauza mafuta bali ni utitiri mkubwa wa kodi katika bidhaa ya mafuta. Mfano, mwezi huu pekee, CIF ya petroli ni TZS 1,216 hivi. Baada ya hapo kuna kodi baada ya kodi hadi imefika TZS 2,405
lita kwa Dar es Salaam kwa petroli pekee. Na ukisoma ukurasa wa nane wa tangazo la EWURA utaona utitori wa kodi hizo. Utakuta hata faida kwa wauza mafuta wamewekewa,mfano petroli ni kama shs 128 kwa lita. Sasa ukichukua bei ya rejareja kwa DSM utoe na CIF na faida kwa whole sellers na retailers inayobakia ni kodi na tozo mbalimbali.
Miaka ya nyuma serikali ilikuwa na kawaida ya kila budget kupandisha ushuru kwenye vinywaji hasa vileo na soda, sasa imeanzisha huu utaratibu kwenye bidhaa za mafuta. Ndiyo maana utaona hata enzi za Magufuli, petroli haijaweza kuwa chini kuliko inavyokuwa nchi jirani ambazo zinapitisha mafuta hapa kwetu.
Shida kubwa ya watoza kodi wetu siyo kupanua wigo mkubwa wa walipa kodi ikiwa ile stamilivu, ni kutoza kodi kubwa kwenye bidhaa zile zile bila kujali kuwa anayeumia ni mlaji wa mwisho.
 
Back
Top Bottom