Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Siku hizi mateja wameanza onekana pia maana yake madawa ya kulevya pia yako nje nje...
Mama ni changa, bure kabisa mateja wamejaa ndani ya siku 100 tu magu alimwachia nchi ikiwa imenyooka ila sasa mambo yanatisha bado miezi mitatu tu uchumi unaanza kuanguka vibaya
 
Ila CCM bana. Mwaka wa sita huu mishahara iko palepale ila kodi zinazidi kuongezeka wakati hao hao watumishi ndo wanapasuka kwa kuongezeka gharama za maisha. Unalipa income tax kubwa ukija mtaani mfanyabishara anampasua tena kwa bei za bidhaa. Ni kama unalipa kodi mara kumi kumi wangekuwa wanawafikiria watumishi wangeondoa kodi (income tax) kama mishahara wamegoma kuongeza
Nyinyi ni wapuuzii sana magu alipunguza gharama za maisha kwa kuzuia mfumuko wa bei na kuondoa gharama nyingi kwa watz bado mkalia mishahara kupanda ,elimu ilikuwa bure umeme bei nzuri haupandishwi nauli za mabasi zilitulia petrol bei chini ,ila amkuelewa logic ya hayo mamba sasa tutapata tabu sana
 
Magu ni suala la muda tu atapewa heshima anayostahili.
Wajinga awawezi kukuelewa ,tusimfananishe magu na takataka hata mmiliki jf atajua tu na kumpa magu heshima japo Leo wamejipanga kuzima nuru ya jpm ila muda utaongea very soon tumpe muda mama wa mwaka tu uone
 
Nyinyi ni wapuuzii sana magu alipunguza gharama za maisha kwa kuzuia mfumuko wa bei na kuondoa gharama nyingi kwa watz bado mkalia mishahara kupanda ,elimu ilikuwa bure umeme bei nzuri haupandishwi nauli za mabasi zilitulia petrol bei chini ,ila amkuelewa logic ya hayo mamba sasa tutapata tabu sana
Wewe matak.o kupanda mishahara iko.kisheria sio huruma ya mtu Mpuu.zi mmoja wewe.

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Wewe matak.o kupanda mishahara iko.kisheria sio huruma ya mtu Mpuu.zi mmoja wewe.

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
We punyu tumia akili kama mshahara ukipanda kwa sh50000 ila bei ya umeme na mafuta na chakula na viwanja ikapanda na exchange rate ya dola 1 ikawa tsh4000 huoni kuwa mshahara utakuwa umeshuka
 
We punyu tumia akili kama mshahara ukipanda kwa sh50000 ila bei ya umeme na mafuta na chakula na viwanja ikapanda na exchange rate ya dola 1 ikawa tsh4000 huoni kuwa mshahara utakuwa umeshuka
Tulia wewe mala.ya mzee, petrol imepanda mialama imepanda, vipi mishahara nayo imepanda au inapungua zaidi? Vipi tusubiri busara ya mtu mmoja kupata haki ambayo iko kisheria.
 
Tulia wewe mala.ya mzee, petrol imepanda mialama imepanda, vipi mishahara nayo imepanda au inapungua zaidi? Vipi tusubiri busara ya mtu mmoja kupata haki ambayo iko kisheria.
Hiyo ndiyo tofauti ya magufuli na ccm kama umejua hivyo basi ujue wakati wa magu kulikuwa kuna unafuu zaidi licha ya mishahara kuto kupanda
 
Back
Top Bottom