Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
kwani tatizo ni nini?
 
Kiama kinakuja dola itakapofika 3000 by december, kila ki2 kitakuwa double digit. Ngoja tuone picha hili linasomekaaje.
 
Wapotoshaji hao mataga na wengi wao Wana ajenda za kumkwamisha mama
Me nadhani huyu jamaa angeuliza kwanza,hakuna nchi bei za mafuta haijapanda, za inategemeana na soko la dunia, sio kila mtu au kampuni binafsi anajiamulia, Corona inatikisa vitu vingi sana, ndo maana bei zinapanda.
 
Kiama kinakuja dola itakapofika 3000 by december, kila ki2 kitakuwa double digit. Ngoja tuone picha hili linasomekaaje.
tutatafutana, another Dow is coming by 2030, wajuzi wa mambo wanatabiria kutokea kwa mfumuko wa bei
 
Me nadhani huyu jamaa angeuliza kwanza,hakuna nchi bei za mafuta haijapanda, za inategemeana na soko la dunia, sio kila mtu au kampuni binafsi anajiamulia, Corona inatikisa vitu vingi sana, ndo maana bei zinapanda.
Hao ni mataga Wana Marengo yao ya kisiasa saizi wanashirikiana na akina Mbowe kusukuma ajenda zao.
 
Yaani mshenzi yule aluyeharibu uchumi kwa miaka 5 hakuna cha kuonesha, yaani unaanza humalizi unatafuta justification ya kubadili Katiba Ili uendelee kuwa dikteta..nikajua mnakuja na hoja ya uchumi kuharibiwa,miradi kusimama kumbe unaongelea bei ya mafuta?

Unadhani kila mtu atajenga vituo vya afya 400 kwa miaka 5? Maza anaenda kuwaabisha nyie mataga na kufuta legacy, kwani bei ikiwa kubwa na tija ikaonekana kuna shida gani? Mbona nauli hazijapanda?
Mwehu mwenyewe na chuki zako zitakuua. Magufuli anakuhangaisha wakati kashakufa. Unapambana na mzimu wake mwehu wewe.
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Kwani hizo bei si vilevile zinachangia na local currency dhidi ya dola au?
 
Wewe na wapumbavu wenzio mnatumia vibaya jina la marehemu ndio maana tunaweka rekodi sawa.
Wewe mi usinihusishe na upumbavu wako. Badala ya kuzungumzia ndugu zako walio kufa unazungumzia Magufuli kila siku pumbavu sana unafikiri wewe na hao ndugu zako hamtakufa? Uko kama mzimu kafie mbaki usinizoee we mpumbavu.
 
Wewe mi usinihusishe na upumbavu wako. Badala ya kuzungumzia ndugu zako walio kufa unazungumzia Magufuli kila siku pumbavu sana unafikiri wewe na hao ndugu zako hamtakufa? Uko kama mzimu kafie mbaki usinizoee we mpumbavu.
Wajane bwana,uliachiwa watoto wangapi usaidiwe hasira ziishe? 😆😆😆😆 ,Usitufokee kwani sisi ndio tulimwambia afanye dhihaka na ugonjwa? Papai linaweza kupata corona? 😂😂
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Kwani hizo bei si vilevile zinachangia na local currency dhidi ya dola au?
 
For comparison, the average price of gasoline in the world for this period is 166.46 Kenyan Shilling.
...
Kenya Gasoline prices, 28-Jun-2021.
Kenya Gasoline pricesLiterGallon
KES129.130488.810
USD1.1984.535
EUR1.0063.808
ukiconvert bei ya kenya kwa lita moja ya petrol hesabu zinakuwa hivi:KES21.47 x 129.130=2772.4211 kwa rate ya 1TZS = KES 21.47 hapo naona bei ya kenya ipo juu sana, jibu ninalolipata hapa kwa akili yangu kidogo ni labda kuna Government subsidies, sina hakika
Uko sawa.

Kuna mataga hapa kazi yao kumsema vibaya mama. Hawana ajenda yoyote. Ni upotoshaji tu eres anafanya. Mataga ni maongomaongo kama baba yao alivyokuwa muongo!
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Kwani hizo bei si vilevile zinachangia na local currency dhidi ya dola au?
 
Uko sawa.

Kuna mataga hapa kazi yao kumsema vibaya mama. Hawana ajenda yoyote. Ni upotoshaji tu eres anafanya. Mataga ni maongomaongo kama baba yao alivyokuwa muongo!
Kwa hiyo mafuta na wizi ukishamiri MATAGA peke yao wanaadhirika mkuu? mkuu punguza unyumbu tafadhari.
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Tatizo la Tz ni MIKODI Mingi kwenye Mafuta hakuna kingin e
 
Back
Top Bottom