Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

Kuna sehemu moja ya kuuza supu na nyama za uchagani juzi nimemkuta pedejee Jack pemba nilipomuona tuu nikajua kama na yeye katoka marekani karudi basi nchi inarudi zama zile za mkwere.

Wapigaji wanarudi kama woteee. Mafuta mama hawezi kuchomoa wameshaupiga mwingi pamoja na zuga yetu ya Bulk procurement. Ila kwa ukweli Mama tumsaidie amalize ngwe yake hakuna maajabu atakayoyaleta isipokuwa utawala nusu wa sheria wa kutoka uamsho,kina ndama, mdude lakini wapo watumishi wa umma wameonewa na kuenguliwa sababu walikuwa karibu na mwendazake mama hajatia neno.
Acheni huu ujinga Chini ya cccm hakuna kitu kitabadilika
 
Mkuu hongera Kwa bandiko zuri!
Magu walikuwa wanamuogopa Kuliko...
Walikuwa hawathubutu kwa “Sababu yeyote kupandisha Bei” justification ya Kupanda bei ilikuwa ngumu mnoo kwa magu!
2.Mkuu kwanini Unafikiri TPDC watashindwa kuuza Mafuta Kwenye vituo vyao kama ulivyosema?nini Kitawazuia wakwame?
Au Hao big Oil companies?
Serikali haiwezi kufanya Biashara
 
Nyie watu mnapenda sana Magu kumpa sifa zisizo zake!!! Magu hakuwa na uwezo wa ku-control bei ya mafuta, bali ilikuwa ukiona ipo chini, basi bei hata soko la dunia ipo chini!!

Magu angekuwa na uwezo wa ku-control bei za soko la dunia basi angefanya hivyo hata kwa mazao ya wakulima!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wewe ukiona Magu anasifiwa unaumwa kabisa!

Magufuli katika kipindi chake hakuwahi kupunguza kodi za kubet na pombe alafu anaongeza kodi kwenye mafuta!

Ni katika kipindi hiki tu
 
One of the best reading of the pertaining situation, I would say.

"Tunafungua nchi",; na bado!

Unafungua nchi na hukuandaa chochote kukabiliana na ufunguzi huo, lazima upigwe tu.
Ngoja tusubiri kuona nani "atamzingua" mwingine, 'cartels' au Samia?
Ndugu kuweka MIKODI Mingi kwenye Mafuta mlitegemea nini?
 
Hii nchi ni ngumu sana!!wewe bajeti ya maendeleo ni 20%halafu matumizi ya kusimamia hayo maendeleo iwe 80% hapo kuna nini? Ndicho kinachopelekea kuumiza wananchi tu.
Kweli hapo kuna shida katika hiyo 80% ndio kuna mishahara na marupurupu ya wabunge waliopitisha hiyo bajeti

Kwa lugha rahisi hili bunge halina faida yoyote kwa wananchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani wewe ukiona Magu anasifiwa unaumwa kabisa!

Magufuli katika kipindi chake hakuwahi kupunguza kodi za kubet na pombe alafu anaongeza kodi kwenye mafuta!

Ni katika kipindi hiki tu
The problem, unachukulia mambo too personal!!

Sasa unataka niseme "kweli, enzi za Magu ali-control bei ya mafuta" hata kama hakufanya hivyo! Na hakufanya hivyo sio kwa HAKUTAKA kufanya hivyo, bali kama nilivyosema, NO ONE can have a control on oil price unless tufute au kupunguza kodi!!

Au kama unataka nijitie upofu na kushangilia Magu alivyokuwa ame-control bei ya mafuta hata kama si kweli, je tumlaani pale bei ilipopanda soko la dunia, na hatimae Tanzania bei kuwa Sh 2,409? Na kama kufuta bei kwenye betting na kuongeza kwenye mafuta, mbona bado hiyo 2018 mafuta yalikuwa juu?!

Unajua tofauti yangu na wewe ni ipi?! Wakati wewe unachukulia mambo too personal, na kuwa tayari kupotosha ukweli kama pale uliposema Magu alihakikisha bei haivuki 2200, mimi nayaelezea kwa uhalisia wake!!

It doesn't matter mada husika iwe inamhusu Magu or anyone else!!! Lakini mara kwa mara inatokea kum-challenge Magu kwa sababu ni Wafuasi wa Magu ndio wenye tabia ya kumpamba Magu hata pale asipostahili!!

In short, nampa mtu kile anachostahili... Magu hatunae na sasa tunae Samia!! Huyu nae akifanya nisiyokubaliana nayo (haijalishi niwe nipo sahihi au hapana), nae tutamfanya kama Magu tu!!!
 
The problem, unachukulia mambo too personal!!

Sasa unataka niseme "kweli, enzi za Magu ali-control bei ya mafuta" hata kama hakufanya hivyo! Na hakufanya hivyo sio kwa HAKUTAKA kufanya hivyo, bali kama nilivyosema, NO ONE can have a control on oil price unless tufute au kupunguza kodi!!

Au kama unataka nijitie upofu na kushangilia Magu alivyokuwa ame-control bei ya mafuta hata kama si kweli, je tumlaani pale bei ilipopanda soko la dunia, na hatimae Tanzania bei kuwa Sh 2,409? Na kama kufuta bei kwenye betting na kuongeza kwenye mafuta, mbona bado hiyo 2018 mafuta yalikuwa juu?!

Unajua tofauti yangu na wewe ni ipi?! Wakati wewe unachukulia mambo too personal, na kuwa tayari kupotosha ukweli kama pale uliposema Magu alihakikisha bei haivuki 2200, mimi nayaelezea kwa uhalisia wake!!

It doesn't matter mada husika iwe inamhusu Magu or anyone else!!! Lakini mara kwa mara inatokea kum-challenge Magu kwa sababu ni Wafuasi wa Magu ndio wenye tabia ya kumpamba Magu hata pale asipostahili!!

In short, nampa mtu kile anachostahili... Magu hatunae na sasa tunae Samia!! Huyu nae akifanya nisiyokubaliana nayo (haijalishi niwe nipo sahihi au hapana), nae tutamfanya kama Magu tu!!!
Ningekuona una akili kama ungeungana na wanaolalamikia bei kupanda badala yake unatetea tu ukilinganisha na kipindi cha Magu kwamba nako ilikuwa hivyo hivyo.

Yani wewe ukiona watu wanalalamika sasa hivi unahisi wanamuonea Samia na kumpa ujiko Magu! [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu hiyo bei ya 2400 hata kwa Magu watu walilia!

Ungekuwa na akili zaidi ungeunagana nao na kujiuliza kwanini Zambia na Burundi na Rwanda wanaochukua mafuta hapa bei zao zipo chini kuliko sisi
 
Ndo maana wamegawa gesi kwa mchina ili waendelee kutupiga kwenye mafuta, na sasa wanatafuta kumpa bandari ya bagamoyo ili aue bandari zetu na akusanye kila kitu.......yaani tunajiweka rehani kwa mchina ili baadaye tuishi kwa kutegemea fadhila zake tu, baaaasi!
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
Mnyororo wa upigaji ni mrefu sana, ukute hata hao unaodhani watasimamia haki pia ni sehemu ya huo mnyororo wa upigaji!! Eleweni mnapoona watu wanaununia mradi wa standard gauge!!
 
Ningekuona una akili kama ungeungana na wanaolalamikia bei kupanda badala yake unatetea tu ukilinganisha na kipindi cha Magu kwamba nako ilikuwa hivyo hivyo.

Yani wewe ukiona watu wanalalamika sasa hivi unahisi wanamuonea Samia na kumpa ujiko Magu! [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu hiyo bei ya 2400 hata kwa Magu watu walilia!

Ungekuwa na akili zaidi ungeunagana nao na kujiuliza kwanini Zambia na Burundi na Rwanda wanaochukua mafuta hapa bei zao zipo chini kuliko sisi
Yaani unataka niongee kama nisiyejua ninachoongea, sio?! Yaani naona kabisa bei ya mafuta soko la dunia imepanda maradufu, halafu bado unatarajia nishangae kuona bei Tanzania imepanda?

As economist, mambo ya kiuchumi huwa naongea kiuchumi na sio kisiasa!!

Btw, unaweza kunionesha post yako ya kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta July 2018!!

Kwamba eti nikiona watu wanalalamika naona wanamuonea Samia, kuna mangapi nimemkosoa huyo huyo Samia?!

Halafu kama kawaida yako... tayari umeshaanza matusiin other way round, jambo ambalo mara kwa mara huwa napishana na wewe!!!
 
Bei ya Petroli kwa lita
Zambia 1800
Rwanda 1800
Kenya 2000
Tanzania 2400

Naona Mama keshaanza kuzidiwa mapema sana na wapigaji
Oil cartel hii imeshasambaza 'hela'za kutosha huko Ewura na kwingineko now
Wana panga bei wanavyotaka...

Hii Cartel ina watu jeuri Sana waliwahi kumgomea Kikwete kushusha bei kama mnakumbuka. Wanataja sababu zao za kupandisha bei lakini ukitazama nchi jirani ambazo zingine mafuta yanapitia kwetu unashindwa kabisa kuelewa.Ewura wanaitumikia serikali na wananchi au wanawatumikia hawa Oil cartel.

Kenya kwa kulazimisha big oil companies ziwe listed Stock exchange imewasaidia Sana transparency na kuwadhibiti..

Sisi niliona Magufuli alikuwa anajaribu TPDC wauze mafuta kwa kuwa na vituo kila mkoa lakini naona now hiyo policy nayo itakufa na sidhani kama ingesaidia sana.

Dawa ilikuwa kuwalazimisha kama Kenya wawe listed kwenye soko la hisa.

Na serikali inunue hisa kwa baadhi ya hizo kampuni kulazimisha transparency.

Otherwise naona Mama washamzidi na Ewura isharudi mifukoni mwa hawa wapigaji...
The Boss, bila shaka wewe ni Mtanzania. Ninasikitika sana kwamba sisi Watanzania hatujielewi au hatueleweki. Bajeti ilisomwa vizuri na kuainisha ongezeko la baadhi ya bidhaa ikiwemo mafuta kwa shilingi 100 na lengo likiwa limewekwa bayana. Je, tulitarajiwa huo mzigo utamwangukia nani kama sio sisi walaji Watanzania? Sasa hii hamaki inayokuja baada ya kuanza kutekelezwa kwa bajeti inatoka wapi? Tuache unafiki!
 
Yaani unataka niongee kama nisiyejua ninachoongea, sio?! Yaani naona kabisa bei ya mafuta soko la dunia imepanda maradufu, halafu bado unatarajia nishangae kuona bei Tanzania imepanda?

As economist, mambo ya kiuchumi huwa naongea kiuchumi na sio kisiasa!!

Btw, unaweza kunionesha post yako ya kulalamikia kupanda kwa bei ya mafuta July 2018!!

Kwamba eti nikiona watu wanalalamika naona wanamuonea Samia, kuna mangapi nimemkosoa huyo huyo Samia?!

Halafu kama kawaida yako... tayari umeshaanza matusiin other way round, jambo ambalo mara kwa mara huwa napishana na wewe!!!
Rwanda, Burundi na Zambia wanaochukua mafuta hapa na bei zao zipo chini wao mafuta yao yanatoka soko tofauti na la dunia hii?
 
Nchi hii hatutakaa tupate maendeleo chini ya tawala zinazofanya biashara

Unategemea nini kwa mpanga bei ya Mafuta ndiye mfanyabiashara ya mafuta.

Leo nimesikitika sana kuona dar es salaam mafuta 2400 Je mikoa ya Songwe, Katavi,Rukwa na Kigoma Bei itakuwaje?

Maajabu ni kuwa Zambia mafuta bei rahisi wakati mafuta yao yanapita hapa na wanatulipa kodi

Haya ni maajabu ya Dunia!.
Hata Kama Watu Wataendelea Kubisha Ukweli ni Kwamba CCM ndo tatizo Nchi hii....
 
"...Wakati Mwiguli anasoma bajeti pale bungeni nyie mlikuwa busy kusaini petition ili Diamond atolewe kwenye tuzo za BET,!"
By Crimea
 
The Boss, bila shaka wewe ni Mtanzania. Ninasikitika sana kwamba sisi Watanzania hatujielewi au hatueleweki. Bajeti ilisomwa vizuri na kuainisha ongezeko la baadhi ya bidhaa ikiwemo mafuta kwa shilingi 100 na lengo likiwa limewekwa bayana. Je, tulitarajiwa huo mzigo utamwangukia nani kama sio sisi walaji Watanzania? Sasa hii hamaki inayokuja baada ya kuanza kutekelezwa kwa bajeti inatoka wapi? Tuache unafiki!
Wakati bajeti inasomwa wao walikuwa busy kushangilia Sabaya kupelekwa kisongo na kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za BET
 
Back
Top Bottom