The problem, unachukulia mambo too personal!!
Sasa unataka niseme "kweli, enzi za Magu ali-control bei ya mafuta" hata kama hakufanya hivyo! Na hakufanya hivyo sio kwa HAKUTAKA kufanya hivyo, bali kama nilivyosema, NO ONE can have a control on oil price unless tufute au kupunguza kodi!!
Au kama unataka nijitie upofu na kushangilia Magu alivyokuwa ame-control bei ya mafuta hata kama si kweli, je tumlaani pale bei ilipopanda soko la dunia, na hatimae Tanzania bei kuwa Sh 2,409? Na kama kufuta bei kwenye betting na kuongeza kwenye mafuta, mbona bado hiyo 2018 mafuta yalikuwa juu?!
Unajua tofauti yangu na wewe ni ipi?! Wakati wewe unachukulia mambo too personal, na kuwa tayari kupotosha ukweli kama pale uliposema Magu alihakikisha bei haivuki 2200, mimi nayaelezea kwa uhalisia wake!!
It doesn't matter mada husika iwe inamhusu Magu or anyone else!!! Lakini mara kwa mara inatokea kum-challenge Magu kwa sababu ni Wafuasi wa Magu ndio wenye tabia ya kumpamba Magu hata pale asipostahili!!
In short, nampa mtu kile anachostahili... Magu hatunae na sasa tunae Samia!! Huyu nae akifanya nisiyokubaliana nayo (haijalishi niwe nipo sahihi au hapana), nae tutamfanya kama Magu tu!!!