jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Ukimya sawa na pengine ana kazi nyingi ambazo kwalo huenda wasaidizi wake wanamjazia mafaili ili kumzubaisha na ili asitambue changamoto za hapa na pale ziwahusuzo Watanzania.
Lakini kwa changamoto ya umeme na maji inaloikumba Taifa kwa sasa si kitu kilichojificha na ni ukweli kwamba Samia anafahamu ila amechagua kuwa kimya kwa makusudi kabisa kwa sababu anazozijua yeye.
Jamani tupeni maji na umeme hayo mengine kama upigaji wa Bandari ya Bagamoyo endeleeni nayo wala hayupo wa kuwauliza.
Lakini kwa changamoto ya umeme na maji inaloikumba Taifa kwa sasa si kitu kilichojificha na ni ukweli kwamba Samia anafahamu ila amechagua kuwa kimya kwa makusudi kabisa kwa sababu anazozijua yeye.
Jamani tupeni maji na umeme hayo mengine kama upigaji wa Bandari ya Bagamoyo endeleeni nayo wala hayupo wa kuwauliza.